DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 2,011
- 4,705
ni mwanaume anayepakuliwa kama demu tuHivi huyu cocastic ni dem au mwanaume? Mambo ya ushoga anayapenda sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni mwanaume anayepakuliwa kama demu tuHivi huyu cocastic ni dem au mwanaume? Mambo ya ushoga anayapenda sana!
Hahahaaa!dadek 🤣🤣🤣🤣🤣
Unataka niseme jambo nionekane chizi. I am not saying anything
Ila mbona kasoma mazinde juu huyu inamaanisha hiyo shule wanapokea mashoga au 😳🤔ni mwanaume anayepakuliwa kama demu tu
itakuwa alijifunzia nyumbani kabla hajaenda shule, au alijifunzia shuleni ama Maisha yalimpiga mtaani akaamua kurahisisha mamboIla mbona kasoma mazinde juu huyu inamaanisha hiyo shule wanapokea mashoga au 😳🤔
[emoji106][emoji106][emoji106]luambo makiadi Nakuona Nakuona mkuu....[emoji3590][emoji3590]
Filta za aifon 😂😂😂😂Dyadya uko na mguu soft, unapakaga nini?
Mossimo imekaa mahala pake😍
Madem wa Chuga aliwajaribu wote?Mara ooh
Madem wa sinza tabata na UTI,nyoo
Madem wa chuga kiuno kigumu ,nyoo
Madem wembamba wanaomba vocha
Madem wafupi eti wabishi ,nyoo,
Nyooo
Mabantu 🙌🙌
waulize mabantu 😂Madem wa Chuga aliwajaribu wote?
Shukrani kipenzi changu mtani wangu tunakupenda sanaaaaa [emoji8][emoji8] hata kama hautupendi mashabiki wa simba [emoji23][emoji23][emoji23] Kalpana MakiwendoKapeace mrembo mwenye madini ya maneno ya busara... [emoji8][emoji8][emoji8]
Hannah karembo kapenda umbea na watu wagombane [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Antonnia mrembo mpole, mpenda simulizi. Mkali wa kutag [emoji8][emoji8][emoji8]
Kalpana Shunie Makiwendo warembo wa Simba [emoji8][emoji8][emoji8]
Shadeeya Numbisa Dream Queen warembo wangu wa Yanga [emoji169][emoji172]
HAPPY WOMEN'S DAY [emoji7][emoji7][emoji7]
Karibu luv, 😂😂😂😂😂 mashabiki nawapenda sana. Timu yenu ndiyo siipendi. Leo Yanga katupa zawadi wanawake wote. Kwa ushindi wa leo tusheherekee kwa pamoja. Penda sana wewe Shunie 😘😘😘
[emoji23][emoji23] Hapo kwenye kusherehekea pamoja hapo mtihani kipenzi hamna kitu nilikua naombea kama mfungwe yaaniKaribu luv, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mashabiki nawapenda sana. Timu yenu ndiyo siipendi. Leo Yanga katupa zawadi wanawake wote. Kwa ushindi wa leo tusheherekee kwa pamoja. Penda sana wewe Shunie [emoji8][emoji8][emoji8]
Nawajua mtani wewe na Kalpana lenu moja. Mmetuombea tufungwe 😅😅😅😅 ila bahati ikawa kwetu.[emoji23][emoji23] Hapo kwenye kusherehekea pamoja hapo mtihani kipenzi hamna kitu nilikua naombea kama mfungwe yaani
Hunizidi mimi kweli maombi yanazidi laana..[emoji23][emoji23] Hapo kwenye kusherehekea pamoja hapo mtihani kipenzi hamna kitu nilikua naombea kama mfungwe yaani