Hawa ndio Wana JF wenye Ligi na wenye falsafa zao humu ndani

CAPO DELGADO na Wewe jitahidi sana uwe unakuwa Credited hivi kwani ni dalili tosha kuwa una Umuhimu, Thamani na Madini mengi Kichwani.
 
Ni hao ........wewe je?
 
m.bona m.m. hujanwweka hapo
 
I
Mimi siudhiwi na vitu vya namna hiyo
Isipokuwa umeona bdiyo kigezo chako chako cha kuniandika?

Ikiwa wewe unatema mate mbele za watu au sehemu wanazopitapita au kukaa watu, elewa kuwas Uilam unakataza hilo kuwa ni karaha kwa wengine.

Uislam umesisitiza sana kutokukirihisha wengine.

Baya hilo?
 
Lara1 huyu kapotelea wapi?
 

Humu ndàni hata ukifa Leo Jambo kûbwa àmbalo utakumbukwa ni Kumiliki Ligi ya kutetea Dini yako ya kiislam.

Sijasema kwamba NI Jambo Baya au nzuri.
Mimi nazungumzia ishu ya Ligi kama Ligu.
Kuhusu ubaya au ûzuri unàtaka Mada ñyiñgine.

Sitaki kubishana Leo
 
Huwezi kuwa kama shoga, ambae hajielewi kulawitiwa ni kuzuri au kubaya.

Au ulichoandika ni kizuri au kibaya, hilo uwe mkweli.

Usijaribu kucheza na mimi kwa maneno, mimi siyo kondoo.
 
Huwezi kuwa kama shoga, ambae hajielewi kulawitiwa ni kuzuri au kubaya.

Au ulichoandika ni kizuri au kibaya, hilo uwe mkweli.

Usijaribu kucheza na mimi kwa maneno, mimi siyo kondoo.

Acha Bangi.

Kama Una stress zako usiniletee Mimi.

Kipi ambacho nimesema kukuhusu ambacho siô kwèli?
Hupendi Ligi za kidini hasa kutetea Uislam wako?

Mbona kûna Waislam humu kibao àmbao huenda wamekuzidi Karibu kîla kitu kuanzia Elimu ya Dini, uchaji Mungu na kufuata Uislam lakini waô huwakuti kwèñye hizô Ligi za kutetea Dini?

Acha Bangi Budah
 
Hik9njwako z
Hilo kwako zuri au baya?

Ikiwa ni "stress" zangu mimi, ikiwa ni bangi zangu mimi, wewe zinakuhusu nini?
. Mimi nasema, kama ushoga ni wako wewe sikuingilii nao hata kidogo.

Kumbuka tu, mimi ni Muislam na najivunia Uislam wangu.
 
Kwa sababu unaniletea Mimi.

Nimekuuliza, wewe siô kinara kubishania Dini yako humu?
Soma bichwa lakonla habari, halagu nikuulize, Uislam ni falsafa yangu?

Kumbuka, mimi ni Muislam na najivunia Uislam wangu, Uislam siyo falsafa yangu, nimeukuta Uislam na nimeupenda Uislam.

Hilo zuri au baya kwako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…