Hawa ndio Warembo waliouawa kwa kutembea uchi huko Iran

Hawa ndio Warembo waliouawa kwa kutembea uchi huko Iran

Biblia na Qur'an ziko pamoja na nchi ya Iran, unaweza usitamani kutembea uchi lakini ukawatetea wanaotembea uchi. Kufurahia mwanamke kutembea uchi elewa umefurahia mama wa mtu kuwa uchi.

Naanza kwa kumnukuu mwana JF Donatila aliwahi kuandika humu

''Kama mjuavyo utandawazi umezidi kukua, umekuja na faida lakini pia umekuja na hasara zake hasa katika upande wa mavazi ya wanawake yamezidi kuwa ya utupu.

Sasa mavazi ya utupu yamekuwa yanaonekana ya kawaida ila kiuhalisia ni aibu tena aibu kubwaa sana. Wanaume saivi wameshakomaa yani hata hawavurugwi tena na maungo ya kike. Sababu ni kuonyesha maungo hayo wazi, sasa hawaoni jipya maana wanaona hadharani kwa sana.

Yani sasa ivi utakuta mama mtu mzima anavaa nguo fupi ukiangalia utupu ulee. Njoo sasa maofosini utakuta wadada wanavaa visiketi yani akikaa unaona maini yaleeeee... Huko barabarani sasa utakuta vibinti yani vinejaliwa nyama sasa yani wanavaa vazi unaona utumbo ulee...

Sasa ukija kwa upande wa hawa watoto wetu wadogo wanaokuwa, wanajifunza vile vile...

Tunatengeneza kizazi cha namna gani? Kama watoto nao wataona ni kawaida.''

Mwisho wa kunukuu
.........................................
Leo hii dunia nzima imesimama juu ya kupinga vazi la hijabu na huku likihusishwa tukio la kuuwawa kwa Mahsa Amini ndani ya Iran na maandamano yake kua ni chachu ya kuvunjwa kwa haki za kibinaadamu.

Ajenda hii imekua kubwa ndani na nje ya Irani, na hasa kutokana na kubebwa na vyombo kadhaa vya habari ambavyo ajenda ya vyombo hivyo ni kuhakikisha wanasimamia na kuupeleka mbele ustaarabu wa kimagharibi ulimwenguni, kwa kuupamba na kuonyesha ubaya wa ustaarabu wowote ambao unapingana na wa kwao na hasa unalengwa sana uislamu kwasababu ukristo wamesha malizana nao.

Leo wanaadamu watakua sambamba na wamagharibi juu ya miito yao ya kutetea kuvuliwa kwa vazi la hijabu, lakini kesho watakua kinyume nao juu ya ajenda zao ima za ushoga au nyenginezo.

Imani hizi hizi ndio zimefundisha stara (mavazi ya heshima) lakini tunapinga hilo, ila imani hizi ndio zilizokataza ushoga, hapa tunaunga mkono dini.

Bila ya shaka mwanaadamu yupo njia panda hajui wapi pakuelekea.
Na pia mwanaadamu wa sasa amepoteza uwezo wake wa kufikiri, hali inayopelekea hata kutoelewa muelekeo wa siasa na ustaarabu wake ulimwengu unaelekea muelekeo gani.

Tafakari, tusaidiane kutafakari pia.


Nika Shakarami (16)
View attachment 2382504

Hadis Najafi (23)
View attachment 2382508
View attachment 2382509

Sarina Esmailzadeh (16)
View attachment 2382521

Hana Kia (20)
View attachment 2382529
Mbona sioni uchi au uzee umeshaingia
 
Watajuana na lidini lao hilo la kishetani
Mkuu
Aina hii ya mawazo ni wazi unajiona wa thamani kuliko wanadamu wenzako.

Tuwaache Waislam na ibada zao na siyo kuwafanyia dhihaka. Imani ya kweli ni ile inayosimamia kumcha Mungu na kuwaombea wengine wakutane na Neema ya Mungu
 
Kwani kuvaa hijabu ndio kuwa mcha Mungu!? Mioyo yetu anaijua Mwenyezi Mungu, kumhukumu mtu kwa kumuua kisa eti hajavaa hijabu ni ujinga wa hizi imani zilizoletwa kwenye majahazi
Ndugu, hivi Ni jambo gani ambalo ww unalifanya hukuletewa kutoka kwa mtu mwingine??

Kila jamii na nchi huwa na utaratibu wake ambao kwa jamii nyingine au nchi nyingine huenda unaweza ukawa sawa amaa laa!

Binadam ili aweze kwenda vzur lazim apunguziwe uhuru wake na kumwekea sheria na utaratibu bila hivo hi dunia itageuka kuwa mbuga..

Wao wanautaratibu wao ambao kwao sio mgeni ulikuwepo tangia enzi na enzi na huenda kwao wanauona unafaa! Huwez kuwapangia namna yakuishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uislamu ni Dini ya Shetani, nasikitika Waislamu wengi hawaijui hii habari.

Wameletewa tu maandishi ya Kiarabu wayakariri hata bila kujua maana yake.

Rushdie kawaambia wazi kabisa wanaishia kumtafuta ili wamchinje.

Kwanini hawamjibu ?
Ni kwamba wameshindwa hoja.

Nawapa pole sana
 
Ni swala la muda tu, jiandae kufikiwa na utawala wa kimagharibi unaohalalisha ushoga na kutembea uchi.

Mwanzilishi wa mavazi ni Mungu mwenye aliyetufanyia sisi mavazi wanadamu [MWANZO 3:21]. Na kama Mungu hangekuwa hajali Wala haangalii issue ya mavazi, basi kwanini asingewaacha wanadamu bado wakaeendelea kuwa uchi?
Lakini Mungu hakufanya hivyo, bali aliwafanyia mavazi yake yaliyokuwa bora zaidi tofauti na yao yaliyokuwa hayawasitiri vizuri uchi wao [ MWANZO 3:7, 21]. Mwanamke asivae MAVAZI YAMPASAYO mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo NI MACHUKIZO KWA BWANA, Mungu wako. Tena bado hata katika Agano jipya kwa kukazia issue hiyo hiyo ya mavazi vilevile akaendeleaa kusema mwanamke na ajipambe kwa mavazi ya kujisitiri [1 TIMOTHEO 2:9]
Biblia mara muipinge mara muikubali. Kazi kweli kweli.
 
Unamchinja mtu kwa sababu ya Allah ?
Kwani huyo Allah hayupo ili awaadhibu kama wamemkosea.

Dunia sasa hivi inanabadilika kila uovu utawekwa hadharani.

Mathayo 5:14 Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji hauwezi kusitirika ukiwa juu ya mlima.

15 Wala watu hawawashi taa na kuiweka chini ya pishi, bali juu ya kiango; nayo yawaangaza wote waliomo nyumbani.

16 Vivyo hivyo nuru yenu na iangaze mbele ya watu, wapate kuyaona matendo yenu mema, wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni.
 
Sheria nyingine ni non-sense.

Kwani kuvaa Hijab au baibui kufunika mwili wote ndio unakuwa sio muhuni?
Kuna demu mmoja anajiuza, nilimla mwaka juzi... anakaniambia yeye mchana huwa anavaa baibui ile ya Juba kabisa ya kuacha macho tu...

ukikutana naye mchana utasema mke wa kuoa huyu hapa, ila usiku ni ana danga kwenye baa pale Tabata
 
Daaah huu uzi bwana umekaa kisiniper , yaani ukitoa kichwa tu unavutiwa trigger unakula kitu.
 
Biblia inasema nini kuhusu mavazi ya wanawake? Basi ukristo ndio itakuwa dini ya kishetani kama ni hivyo.

Suruali ni mojawapo ya mavazi yasiyo na adabu kwa wanawake.
Mwanzilishi wa mavazi ni Mungu mwenye aliyetufanyia sisi mavazi wanadamu [MWANZO 3:21]. Na kama Mungu hangekuwa hajali Wala haangalii issue ya mavazi, basi kwanini asingewaacha wanadamu bado wakaeendelea kuwa uchi?
Lakini Mungu hakufanya hivyo, bali aliwafanyia mavazi yake yaliyokuwa bora zaidi tofauti na yao yaliyokuwa hayawasitiri vizuri uchi wao [ MWANZO 3:7, 21]. Mwanamke asivae MAVAZI YAMPASAYO mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo NI MACHUKIZO KWA BWANA, Mungu wako. Tena bado hata katika Agano jipya kwa kukazia issue hiyo hiyo ya mavazi vilevile akaendeleaa kusema mwanamke na ajipambe kwa mavazi ya kujisitiri [1 TIMOTHEO 2:9].
Je kuna sehemu kwenye ayo Maandiko uliyoyanukuu kumeelezea ni aina gani ya mavazi(yalikuwa ya mitindo upi ) Mungu alimpatia Adam na hawa? Je mavazi yampasayo mwanaume ni yapi? na yampasayo mwanamke ni yapi? Maana hapa naona kuna contradiction za mila na desturi za watu kuingiliana na imani.

Turudi kwenye mada Tofauti ya bibilia na Quran ipo kwenye kujistiri miili yao (wanawake) upande wa vichwa.
"Basi nawasifu, kwa sababu mmenikumbuka katika mambo yote, nanyi mmeyashika yale mapokeo vile vile kama nilivyowatolea. Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu. Kila mwanamume, asalipo, au anapohutubu, naye amefunikwa kichwa, yuaaibisha kichwa chake. Bali kila mwanamke asalipo, au anapohutubu, bila kufunika kichwa, yuaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa. Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe. Kwa maana kweli haimpasi mwanamume kufunikwa kichwa, kwa sababu yeye ni mfano na utukufu wa Mungu. Lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume. Maana mwanamume hakutoka katika mwanamke, bali mwanamke katika mwanamume. Wala mwanamume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke, bali mwanamke kwa ajili ya mwanamume. Maana kama mwanamke alitoka katika mwanamume, vile vile mwanamume naye huzaliwa na mwanamke; na vitu vyote asili yake hutoka kwa Mungu. Hukumuni ninyi wenyewe katika nafsi zenu. Je! Inapendeza mwanamke amwombe Mungu asipofunikwa kichwa? Je! Hayo maumbile yenyewe hayawafundishi ya kwamba mwanamume akiwa na nywele ndefu ni aibu kwake? Lakini mwanamke akiwa na nywele ndefu ni fahari kwake. Kwa sababu amepewa zile nywele ndefu ili ziwe badala ya mavazi. Lakini mtu ye yote akitaka kuleta fitina, sisi hatuna desturi kama hiyo, wala makanisa ya Mungu.
1 Korintho 11:2‭-‬9‭, ‬12‭-‬16
Hapo unaona mwanamke kufunika kichwa ni wakati wa ibada tu

maaandanao yanayo endelea huku yametokana na mwanamke kufia mikononi mwa polisi kisa aliachia nywele wazi.
 
Kuna demu mmoja anajiuza, nilimla mwaka juzi... anakaniambia yeye mchana huwa anavaa baibui ile ya Juba kabisa ya kuacha macho tu...

ukikutana naye mchana utasema mke wa kuoa huyu hapa, ila usiku ni ana danga kwenye baa pale Tabata
Kabisa nachojua hakuna uhusiano wa kuvaa hijabu/nikab/baibui na tabia nzuri......ndio maana yule dada wa IFM anavaa hijabu anafunika nywele lakini anatoa Iphone 13 -Jito la 3.
 
Unamchinja mtu kwa sababu ya Allah ?
Kwani huyo Allah hayupo ili awaadhibu kama wamemkosea.

Dunia sasa hivi inanabadilika kila uovu utawekwa hadharani.

Mathayo 5:14 Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji hauwezi kusitirika ukiwa juu ya mlima.

15 Wala watu hawawashi taa na kuiweka chini ya pishi, bali juu ya kiango; nayo yawaangaza wote waliomo nyumbani.

16 Vivyo hivyo nuru yenu na iangaze mbele ya watu, wapate kuyaona matendo yenu mema, wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni.
Wangewaacha allah awahukumu
 
Hizo picha ndio zilizowafanya wakauwawa, hivi ni kweli hapo wapo uchi, inasikitisha sana
 
Biblia na Qur'an ziko pamoja na nchi ya Iran, unaweza usitamani kutembea uchi lakini ukawatetea wanaotembea uchi. Kufurahia mwanamke kutembea uchi elewa umefurahia mama wa mtu kuwa uchi.

Naanza kwa kumnukuu mwana JF Donatila aliwahi kuandika humu

''Kama mjuavyo utandawazi umezidi kukua, umekuja na faida lakini pia umekuja na hasara zake hasa katika upande wa mavazi ya wanawake yamezidi kuwa ya utupu.

Sasa mavazi ya utupu yamekuwa yanaonekana ya kawaida ila kiuhalisia ni aibu tena aibu kubwaa sana. Wanaume saivi wameshakomaa yani hata hawavurugwi tena na maungo ya kike. Sababu ni kuonyesha maungo hayo wazi, sasa hawaoni jipya maana wanaona hadharani kwa sana.

Yani sasa ivi utakuta mama mtu mzima anavaa nguo fupi ukiangalia utupu ulee. Njoo sasa maofosini utakuta wadada wanavaa visiketi yani akikaa unaona maini yaleeeee... Huko barabarani sasa utakuta vibinti yani vinejaliwa nyama sasa yani wanavaa vazi unaona utumbo ulee...

Sasa ukija kwa upande wa hawa watoto wetu wadogo wanaokuwa, wanajifunza vile vile...

Tunatengeneza kizazi cha namna gani? Kama watoto nao wataona ni kawaida.''

Mwisho wa kunukuu
.........................................
Leo hii dunia nzima imesimama juu ya kupinga vazi la hijabu na huku likihusishwa tukio la kuuwawa kwa Mahsa Amini ndani ya Iran na maandamano yake kua ni chachu ya kuvunjwa kwa haki za kibinaadamu.

Ajenda hii imekua kubwa ndani na nje ya Irani, na hasa kutokana na kubebwa na vyombo kadhaa vya habari ambavyo ajenda ya vyombo hivyo ni kuhakikisha wanasimamia na kuupeleka mbele ustaarabu wa kimagharibi ulimwenguni, kwa kuupamba na kuonyesha ubaya wa ustaarabu wowote ambao unapingana na wa kwao na hasa unalengwa sana uislamu kwasababu ukristo wamesha malizana nao.

Leo wanaadamu watakua sambamba na wamagharibi juu ya miito yao ya kutetea kuvuliwa kwa vazi la hijabu, lakini kesho watakua kinyume nao juu ya ajenda zao ima za ushoga au nyenginezo.

Imani hizi hizi ndio zimefundisha stara (mavazi ya heshima) lakini tunapinga hilo, ila imani hizi ndio zilizokataza ushoga, hapa tunaunga mkono dini.

Bila ya shaka mwanaadamu yupo njia panda hajui wapi pakuelekea.
Na pia mwanaadamu wa sasa amepoteza uwezo wake wa kufikiri, hali inayopelekea hata kutoelewa muelekeo wa siasa na ustaarabu wake ulimwengu unaelekea muelekeo gani.

Tafakari, tusaidiane kutafakari pia.


Nika Shakarami (16)
View attachment 2382504

Hadis Najafi (23)
View attachment 2382508
View attachment 2382509

Sarina Esmailzadeh (16)
View attachment 2382521

Hana Kia (20)
View attachment 2382529
Mkuu unajua nguo zimekuja ama zimegunduliwa na biandamu mwaka gani. Majuzi tu hapa watu walikuwa uchi na Ni kawaida mbona. Ukienda umasaini kuona Tori nje Ni ishu ya kawaida kabisa.
Waulizie watu waliokuwa wanajitambua kiufahamu around 1940/50 wazazi wetu wengine walikuwa uchi tu.


Ina Mana inabidi sie Wana ume tujidhibiti tusiwaangalie wanawake wanapokuwa uchi ili tusinanahii oftentimes ili kuharibu nguvu zetu ama unasemaje.


Ni sawa ulichosema sema nawewe umekuwa biased.
Ke anabanwa mno wakati shida iko kwa me.
Yaani mtu akauwa kisa unywele kuonekana kweli wewe mbona hujaficha macho yako yasiuone huo unywele.


Dini ya kuhukumiana wenyewe kwani Mungu yeye hayupo hatakuja jihukuhumu ama ndio kazi yako.
Utadai kitabu chake hata wahindi wajapan wachina wazungu waarabu wazungu ama waulaya na waafrika Wana kitabu chake pia.
Kwani hatukuishi vizuri mno afrika kabla hii mijamaa yenye ngozi ya nguruwe haijaja hapa afrika Kuja kutuchafulia kacha yetu?
 
Back
Top Bottom