Yah ni kweli, wachezaji zamani kdg walikuwa na ukasumba wa kukubaliLunyamila ni WA miaka ya 90 hv, nafikiri ni mmoja wa wachezaji Bora kabisa kutokea Tanzania, alitokea Shinyanga huyu kama sikosei, Jamaa alikuwa na chenga balaa,kuna story nilisikia kwamba Marehemu Abbas Gulamali alihakikisha Jamaa anarudi kutoka Germany alipokwenda kujaribu kucheza soka la kulipwa ili tu aje acheze game na Simba, sikupata uhakika wa hii story ila Jamaa Mpira alikuwa anaujua Sana.
basi mshikaji alikua na mwonekanoUlikua ujaelewa kumbe!
hii nahisi imewagharimu sana kimaishaYah ni kweli, wachezaji zamani kdg walikuwa na ukasumba wa kukubali
Ana na matajiri wao huku wacheze tu bongo....
Wakati tayari walishapata nafasi nje
Ova
Sasa hivi atakua ashazeeka! Ila ng'ombe hazeeki mainibasi mshikaji alikua na mwonekano
Umepiga na goti kabisa [emoji1787]duuh haloo , shikamoo uncle!
Sana walishazoea sifa huku nyumbanihii nahisi imewagharimu sana kimaisha
Kabisa mie ni wale wa mtakuja primary school 😂Una kaulegend kiaina kama ulimsikia Lunya na Mogella.
mkuu una data nyingi sana za soka la nchi hii. vp unaweza simulia chanzo cha mchezaji wa simba kufia uwanjani miaka hiyo?Said mwamba kizota ilikuwa machine ya ufungaji nayo
Nmewakumbuka wakina gagarino,kuna huyu wa nyuma kdg
John makelele zigzag
Ova
1. Steven Nemes1.Nurdin Bakari
2.Abdi Kassim Babi
3.Joseph Kaniki
4. Niko Nyagawa
5. Fredrick Mbuna
6. Juma Jabu JJ
7. Meshack Abel
8.Shamte Ali
9. Said Bahanuzi
10.Emmanuel Gabriel Mwakyusa
11.Mrisho Khalfani Ngasa
Hawa wakongwe nataka kujua kwa sasa wako wapi! je vilabu vina thamini mchango wao kwenye soka.
huyu 14:Said maulid SmG nasikia ulikua moto wa tanuru ,kaa nae mbali kabisa1. Steven Nemes
2. Bakari Malima Jembe Ulaya
3. Slyvatus Ibrahim Polisi
4. Banza Tshikala
5. Eustas Isack Bajwala
6. Anwar Awadh Kaicho
7. King Ken Mkapa Dalglish
8. Salvatory Edward Augustino
9. Sekilojo Johnson Chambua
10. Mohamed Husein Mmachinga
11. Ebily Jonas Lunyamila
12. Yusuf Fundi
13. Efraem Makoye
14. Said Maulid SMG
15. Chibe Chibe Chibindu
16. Mzee Abdalah
17. Mohamed Abdulkadir Tash
18. Abubakar Kombo
19. Henry Moris Ng'oye
20. Ally Yusuf Tigana
21. Abdul Maneno
22. Paul Jonh Masanja
23. Peter Manyika
Inasikitisha sana, wangezaliwa mbele huko kwa vipaji walivyokuwa navyo wangekuwa mbalihii nahisi imewagharimu sana kimaisha
Lile tukio la husein tindwamkuu una data nyingi sana za soka la nchi hii. vp unaweza simulia chanzo cha mchezaji wa simba kufia uwanjani miaka hiyo?
kumbe ni muda mrefu sana , umri wa faza kabisa.Lile tukio la husein tindwa
Duh aise ilikuwa miaka 70
Tulihadisiwa
Ova
sahihi kabisa, huku mtaani njaa itawauaInasikitisha sana, wangezaliwa mbele huko kwa vipaji walivyokuwa navyo wangekuwa mbali
Sijui kilimkuta nini one season wonder kama Said Sued 'Scud'.wewe rika yangu, huyo bahanuzi alikua wa moto.
nahisi bahanuzi angewika kipindi hiki cha social media sijui ingekuwaje. na alishaini sana kagame cup pekee
Wewe tutakuwa tunalingana kiumri, mimi pia nilikuwa shule ya msingi na nilimpenda zaidi Nadir Haroub Cannavaro.1.Nurdin Bakari
2.Abdi Kassim Babi
3.Joseph Kaniki
4. Niko Nyagawa
5. Fredrick Mbuna
6. Juma Jabu JJ
7. Meshack Abel
8.Shamte Ali
9. Said Bahanuzi
10.Emmanuel Gabriel Mwakyusa
11.Mrisho Khalfani Ngasa
Hawa wakongwe nataka kujua kwa sasa wako wapi! je vilabu vina thamini mchango wao kwenye soka.
Ni kweli, mi nikiwa A Shy yeye Alex Nashon alikuwa O level nadhani F1 Buhangija Sec School. Ila alisumbua sana Umiseta toka akiwa F1 alikuwa anachaguliwa hadi taifa. Gulamali alimpandia dau akiwa F4 mwaka 92.Lunyamila ni WA miaka ya 90 hv, nafikiri ni mmoja wa wachezaji Bora kabisa kutokea Tanzania, alitokea Shinyanga huyu kama sikosei, Jamaa alikuwa na chenga balaa,kuna story nilisikia kwamba Marehemu Abbas Gulamali alihakikisha Jamaa anarudi kutoka Germany alipokwenda kujaribu kucheza soka la kulipwa ili tu aje acheze game na Simba, sikupata uhakika wa hii story ila Jamaa Mpira alikuwa anaujua Sana.