Hawa ndio Wenye Kurithi Pepo ya Firdaus

Binadamu ni nini? Hata Mungu akukumbuke jamani japo kuna Mungu ila dunia inafanya nisione thamani ya kuwa binadamu
Biandamu ndio khalifa au kiongozi wa duniani hii hivyo ni lazima akumbukwe na Muumba wake na kuangaliwa je anaishi katika muongozo anao takiwa aishi au ndio anajifanyia mambo kama anaavyotaka?

Kwanini dunia inakufanya usione thamani ya kuwa mwanadamu mkuu?
 
Aisee mtu amekwambia haswali hlf unamuitikia dua eti muingie peponi

Apo mm naona pana mushkila kidogo
Mkuu natambua unajua fika kuwa si swala Tu ambayo itampelekea mtu peponi,na ndio maana mwenye ulimwengu wake anasema si wema Tu huo kuelekea qibla na kuswali Bali kuna wema mwingine zaidi ya huo,mfano ni kutoa vile tulivyo rudhukiwa na Allah.

Na natambua unajua fika kuwa siku zote Tunatakiwa kuomba tuwe na mwisho mwema, kwani ambaye haswali Leo huenda akaswali kesho na unayeswali Leo huenda ukaacha kesho na umauti ukakukuta katika Hali hiyo,Mungu atuepushe na Hilo.

Kwahiyo ni jukumu letu kuombeana mema kama wanadamu
 
Usisahau kutafuta pesa mkuu
Mkuu kuna watu walitafuta hela mpaka wakawa hawajui watazitumia vipi

Lakini kumbuka Mali na watoto hakika ni starehe ya dunia na vitendo vizur vibakiavyo ndio Bora zaidi baada ya kufa kwako
 
Mkuu asante Kwa maoni yako

Kwanza huwa siku hizi sipendi Sana mijadala ya Dini kwasababu moja, watu huwa hawajadili hoja Bali huleta matusi na kejeli kitu ambacho ni upuuzi.

Sasa siwezi kukuhukumu kuwa nawe ni mmoja wapo labda mpaka nikusikilize.

Sasa kama ni mjadala naomba tujikite Kwa nini unadhani kuna Mungu wengi, tusijadili Mungu yupi ni sahihi kwasababu Imani yangu inaniambia Mungu ni mmoja Tu.

Kama unaafikiana na hili basi naomba
Usimame kwenye Podium na uchukue microphone.

Nakusikiliza.
 
Nani alisema hayo? Namaanisha Mtume gani katika mitume yote aliyoileta Mwenyezi Mungu?
 
Yani tuache kujadili siasa inayoaffect maisha yetu 24/7 on a daily basis tuanze kujadili stori za kusadikika ambazo sio tu hatuna ushahidi nazo, ila hatuwezi kubadilisha chochote, wewe pepo hata uijadilije, huwezi kuitengeneza au kuibadilisha.
 
Kiongozi gani hana nguvu hata ya kupeperuka , kupotea kuaffect vitu bila kushika bado kunaadui yake ambaye ananguvu mara billion zaidi yake
 
Kiongozi gani hana nguvu hata ya kupeperuka , kupotea kuaffect vitu bila kushika bado kunaadui yake ambaye ananguvu mara billion zaidi yake
Kuhusu kupeperuka na kuaffect sina neno hapo kwakuwa sijui unamaanisha nini

Ni adui gani ana nguvu mara billion
 
Najua fika unajua nazungumzia Nani

Labda kama Una jambo lingine
Mkuu ,uislam ulikuwepo kabla ya ujio wa Mtume Muhammad SAW.

kwamba waislam wa mwanzo hawakujua juu ya uwepo wa hizo pepo kwa vile tu Mtume Muhammad alikuwa hajazaliwa?
 
Shetani na Mapepo
Mkuu shetani na mapepo hawana nguvu Kwa mwanadamu ambaye amejikita katika kumwabudu Mungu wake na akashikamana nae kisawasawa..

Shetani ana nguvu Kwa mtu ambaye ni muovu na ambaye yupo mbali na utukufu WA Mungu

Mara baada ya shetani kuhukumiwa kwenda motoni,alimwomba Mola wake Ampe wasaa WA kuishi Mda mrefu kidogo na Mungu akampa wasaa,na shetani akasema Hakika nitawapoteza waja wako ili niingie nao Motoni.

Mola wake akamwambia hauna nguvu ya kuwalazimisha kukufuata isipokuwa wale wachache ambao watakuwa radhi kukufuata.

Kwahiyo shetani Hana nguvu juu yako Bali anachofanya ni kukushawishi na wewe mwenyewe unaingia katika anga zake.

Kwahiyo Mwanadamu ana mamlaka juu ya shetani labda atake mwenyewe
 
Mbona wewe unajenga hoja hata unatamani kujifunza,hao wenzio wanakazhifi na kubeza na kukebehi ni waislam Kama wewe au wanakosa Moja ya sifa tajwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…