Hawa ndio Wenye Kurithi Pepo ya Firdaus

baby zu haya mambo mengine yanataka ukae darasani kabisa, anyway kuna fursa ya zaka huko? ili tuiwahi hahahaah.
Akhy ni moja ya kumi? Kuna shekh niliwahi kumsikiliza alisema sijui kile kiasi unakigawanya mara nne kama sio nane sasa ile moja ya nane ndo unatoa zaka, elimu hii ya zaka sijawahi kuisoma kwa mazingatio
 
Hapana mkuu sio 10% bali ni moja ya 4 ya 1 ya 10.
 
Nilivyomaliza kukoment nilangalia sahihi muslim hadithi kama tati nimeona zimesema 1/ 10 shukuran pia maana umenifanya nifungua app ya sahihi kuangalia hadithi zinasemaje
 
M
baby zu haya mambo mengine yanataka ukae darasani kabisa, anyway kuna fursa ya zaka huko? ili tuiwahi hahahaah.View attachment 2440802
Mwenyewe natafta watoa zaka waniletee 🤣🤣🤣🤣
Naam elimu hii inahitaji ukae isome niliwahi kuisoma mda lkn wakti huo hata kula yangu ilikua ya shida hvyo hata mazingatio siku nayo maana sikua najiona kama ntafikia hatua ya kutoa zaka😂😂😂😂
Naam nimepitia sahihi muslim nimeona ni 1/10 shukran sana. Huku tunapata elimu kwa kwel
 
Hahaha uko wapi kwanza nikuelekeze darasa mambo ya kujifungulia swahih muslim peke yako utakuja kukutana na nyota nyota tukukose.
 
Sasa basi ungemuombea kwanza Aswali ety
Mna hadithi ile ipo wazi
Kitakachohesabiwa cha mwanzo siku ya qiama ni swala
 
Nimefny reasoning kupitia maswali yangu nilohoji apo ,i hope unaweza kuwa mwanzo mzuri wa hoja
 
Vipi yule al hajji muuza madawa ya kulevya?
Hakuna mwanadamu anaeweza sema huyu wa peponi au laa hvyo atakae muhukumu ni Allah, na Allah alichotubainishia ni kua pepo yake hawakai wenye dhambi hvuo akasema tufanye kadha wakadha ili tuipate pepo na tukiteleza ametufungulia mlango wa toba hvyo anaweza kua muuza dawa lkn hujui hatma yake itakuaje, anaweza akatubia na ukamkuta peponi, japo hata sijui ni al hajji yupi unamzungumzia
 
Yani roho inakutoka
Yani roho inakutoka ukumbuke hujatoa sadaka tutolee uongo wako.
 
naomba Makamba sr, Kikwete na Kinana wasisahaulike
 
Yani roho inakutoka

Yani roho inakutoka ukumbuke hujatoa sadaka tutolee uongo wako.
Unajua kwanini unakumbuka kutoa sadaka kwasababu ndio ibada nyepesi Kwa utekelezaji na unajutia haukuifanya
 
Mkuu naomba kujua katika quraan nitakapoweza kusoma habari za mfalme suleiman.asante
 
Hahaha uko wapi kwanza nikuelekeze darasa mambo ya kujifungulia swahih muslim peke yako utakuja kukutana na nyota nyota tukukose.
Umekumbusha jambo muhimu sana akhy.

Hili nalo ni muhimu sana kulizingatia, na Maulamaa wanasema

من دخل في العلم وحده خرج وحده
Mwenye kuingia kwenye elimu(vitabu) pekeyake basi atatoka pekeyake.

Mambo ya kujifungulia vitabu pasi na muongozo wa wenye elimu, utatokana ufahamu usio sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…