Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
Akhy ni moja ya kumi? Kuna shekh niliwahi kumsikiliza alisema sijui kile kiasi unakigawanya mara nne kama sio nane sasa ile moja ya nane ndo unatoa zaka, elimu hii ya zaka sijawahi kuisoma kwa mazingatio
Hapana mkuu sio 10% bali ni moja ya 4 ya 1 ya 10.Ukhty ni asilimia Kumi
Kuna masheikh wengine utasikia wanasema ukiwa na milioni moja waeza Toa zaka,kitu ambacho sio Sawa lazima kuna hesabu ifikie Kwa kulinganisha na thamani ya dhahabu kwasasa wanasema ni gramu 85 za dhahabu lakini hii ni Kwa pesa.
Sio mbaya ukhty ukifanya home work huenda tukapata jingine la kujifunza
Shukrani mkuu Kwa kuliweka sawaHapana mkuu sio 10% bali ni moja ya 4 ya 1 ya 10.
Tuko pamoja sana.Shukrani mkuu Kwa kuliweka sawa
Nilivyomaliza kukoment nilangalia sahihi muslim hadithi kama tati nimeona zimesema 1/ 10 shukuran pia maana umenifanya nifungua app ya sahihi kuangalia hadithi zinasemajeUkhty ni asilimia Kumi
Kuna masheikh wengine utasikia wanasema ukiwa na milioni moja waeza Toa zaka,kitu ambacho sio Sawa lazima kuna hesabu ifikie Kwa kulinganisha na thamani ya dhahabu kwasasa wanasema ni gramu 85 za dhahabu lakini hii ni Kwa pesa.
Sio mbaya ukhty ukifanya home work huenda tukapata jingine la kujifunza
Mwenyewe natafta watoa zaka waniletee 🤣🤣🤣🤣baby zu haya mambo mengine yanataka ukae darasani kabisa, anyway kuna fursa ya zaka huko? ili tuiwahi hahahaah.View attachment 2440802
Hahaha uko wapi kwanza nikuelekeze darasa mambo ya kujifungulia swahih muslim peke yako utakuja kukutana na nyota nyota tukukose.M
Mwenyewe natafta watoa zaka waniletee 🤣🤣🤣🤣
Naam elimu hii inahitaji ukae isome niliwahi kuisoma mda lkn wakti huo hata kula yangu ilikua ya shida hvyo hata mazingatio siku nayo maana sikua najiona kama ntafikia hatua ya kutoa zaka😂😂😂😂
Naam nimepitia sahihi muslim nimeona ni 1/10 shukran sana. Huku tunapata elimu kwa kwel
Maana yakeWaarabu wanasema
Ib"aad aan shar u qhanilu
Sasa basi ungemuombea kwanza Aswali etyMkuu natambua unajua fika kuwa si swala Tu ambayo itampelekea mtu peponi,na ndio maana mwenye ulimwengu wake anasema si wema Tu huo kuelekea qibla na kuswali Bali kuna wema mwingine zaidi ya huo,mfano ni kutoa vile tulivyo rudhukiwa na Allah.
Na natambua unajua fika kuwa siku zote Tunatakiwa kuomba tuwe na mwisho mwema, kwani ambaye haswali Leo huenda akaswali kesho na unayeswali Leo huenda ukaacha kesho na umauti ukakukuta katika Hali hiyo,Mungu atuepushe na Hilo.
Kwahiyo ni jukumu letu kuombeana mema kama wanadamu
Nimefny reasoning kupitia maswali yangu nilohoji apo ,i hope unaweza kuwa mwanzo mzuri wa hojaMkuu asante Kwa maoni yako
Kwanza huwa siku hizi sipendi Sana mijadala ya Dini kwasababu moja, watu huwa hawajadili hoja Bali huleta matusi na kejeli kitu ambacho ni upuuzi.
Sasa siwezi kukuhukumu kuwa nawe ni mmoja wapo labda mpaka nikusikilize.
Sasa kama ni mjadala naomba tujikite Kwa nini unadhani kuna Mungu wengi, tusijadili Mungu yupi ni sahihi kwasababu Imani yangu inaniambia Mungu ni mmoja Tu.
Kama unaafikiana na hili basi naomba
Usimame kwenye Podium na uchukue microphone.
Nakusikiliza.
Hahaha tabataHahaha uko wapi kwanza nikuelekeze darasa mambo ya kujifungulia swahih muslim peke yako utakuja kukutana na nyota nyota tukukose.
Hakuna mwanadamu anaeweza sema huyu wa peponi au laa hvyo atakae muhukumu ni Allah, na Allah alichotubainishia ni kua pepo yake hawakai wenye dhambi hvuo akasema tufanye kadha wakadha ili tuipate pepo na tukiteleza ametufungulia mlango wa toba hvyo anaweza kua muuza dawa lkn hujui hatma yake itakuaje, anaweza akatubia na ukamkuta peponi, japo hata sijui ni al hajji yupi unamzungumziaVipi yule al hajji muuza madawa ya kulevya?
Nenda kariakoo then.Hahaha tabata
Yani roho inakutoka ukumbuke hujatoa sadaka tutolee uongo wako.Alhamdulillah ijumaa imeingia tayar na ningependa tukumbushane mawili matatu ili tujiweke tayari kukutana na hiyo siku ya Mwisho tukiwa tumeridhiwa na Mwenyezi Mungu.
Firdaus ndio pepo ya juu zaidi kuliko zote Kwa maana nyingine hii ndio pepo ambayo ni first class,na hii watairithi Mitume na Wacha Mungu.
Kwa taarifa yako Tu inasemekana zipo takribani daraja Mia Moja za pepo (100) na mkubwa wao ni huyo Firdaus.
Lakini cha kusikitisha zaidi pamoja na kuwepo hizo pepo zenye daraja takribani Mia Moja bado kuna watu hawatofanikiwa kuingia na matokeo yake wataingia motoni, Ewe Mwenyezi Mungu utujaalie tusiwe miongoni mwao Amiin.
Je watu wenye sifa gani ambao watairithi au kuingia katika hii pepo?
Kwa mujibu wa Qur'an watu wenye sifa hizi ndio ambao watairithi pepo hiyo;
WA Kwanza ni waumini ambao ni wanyenyekevu katika sala zao,hawa ni Wale ambao wanapokuwa ndani ya sala basi mawazo Yao na fikra zao zote zinakuwa ndani ya ibada ya swala,hawa hakika wamefanikiwa,
lakini kuna baadhi yetu wawapo ndani ya swala basi wanajikuta wanawaza hiki na kile na mambo kibao yanatawala swala yake,ingawa ni vigumu Kwa asilimia Mia moja kutotoka kimawazo,lakini hata ukitoka basi iwe kidogo na mara moja ujikumbushe kuwa upo ndani ya swala na ujue unawasiliana moja Kwa moja na Mola wako.
Sifa ya pili ni ambao wanajiepusha na mambo ya kipuuzi
Sifa ya tatu,na ambao wanatoa zaka,hapa inaingia na sadaka pia,maana zaka ni sehemu ya sadaka. Kwahiyo hakika kutoa sadaka ni Jambo muhimu Sana na ni ibada ambayo ina faida kubwa Sana,kuna maradhi mengine unapona Kwa kutoa sadaka Tu,
Na sadaka ndio ibada ambayo mja ataikumbuka mara Tu atakapoanza kutokwa na roho, ataomba Ewe Mwenyezi Mungu naomba walau unipe nafasi kidogo niweze kutoa sadaka. Sasa usisubir mpaka wakati huo ufike huenda usipate huo Mda wa kutoa sadaka.
Sifa ya nne, ni ambao wanazilinda tupu zao, hapa ndio wale wanachama WA jukwaa la MMU wajitafakari vizuri Sana,maana Yale mambo ya kulana kimasihara basi ujue nawe utaikosa pepo kimasihara,wazee wa Michepuko hapa kazi kwenu,hapa inakatazwa Zinaa Kwa nguvu zote,kwahiyo tujitathimini Sana.
Sifa ya tano,ni Kwa wale ambao wanazitimiza Amana zao na ahadi zao,kuna watu Jambo la kuahidi wanalichukulia kimchezo mchezo Tu,tena hawa wanasiasa hawa mjue Mungu anawaona! Maana nyie Kwa kutupiga sound hamjambo basi endeleeni Tu kutupiga sound halafu muone huko kwa Mungu kama mtafanikiwa.
Hapa Napo Jambo la Amana limeingia pia,mtu amekupa Amana yake umuhifadhie basi fanya hivyo usiingie tamaa ya kuitumia Bila ridhaa au idhini yake.
Na sifa ya sita ni Wale ambao wanazihifadhi swala zao,inamaana ambao wanadumisha swala zao siku zote,maana kuna watu huwa wanaswali ijumaa mpaka ijumaa Tu,au idi mpaka idi Tu,au akiwa na shida basi yeye ndio utamuona anaswali na mambo yake yakiwa fresh Tu basi ndio nitolee na kuswali bye bye.
Hope sauti yangu imetosha na kusikika vizuri kabisa.
Ijumaa Mubaraka!
Ni hayo Tu!
Naomba uweke hoja yako kimjadala sasa au Lete hoja yakoNimefny reasoning kupitia maswali yangu nilohoji apo ,i hope unaweza kuwa mwanzo mzuri wa hoja
Unajua kwanini unakumbuka kutoa sadaka kwasababu ndio ibada nyepesi Kwa utekelezaji na unajutia haukuifanyaYani roho inakutoka
Yani roho inakutoka ukumbuke hujatoa sadaka tutolee uongo wako.
Mkuu naomba kujua katika quraan nitakapoweza kusoma habari za mfalme suleiman.asanteAlhamdulillah ijumaa imeingia tayar na ningependa tukumbushane mawili matatu ili tujiweke tayari kukutana na hiyo siku ya Mwisho tukiwa tumeridhiwa na Mwenyezi Mungu.
Firdaus ndio pepo ya juu zaidi kuliko zote Kwa maana nyingine hii ndio pepo ambayo ni first class,na hii watairithi Mitume na Wacha Mungu.
Kwa taarifa yako Tu inasemekana zipo takribani daraja Mia Moja za pepo (100) na mkubwa wao ni huyo Firdaus.
Lakini cha kusikitisha zaidi pamoja na kuwepo hizo pepo zenye daraja takribani Mia Moja bado kuna watu hawatofanikiwa kuingia na matokeo yake wataingia motoni, Ewe Mwenyezi Mungu utujaalie tusiwe miongoni mwao Amiin.
Je watu wenye sifa gani ambao watairithi au kuingia katika hii pepo?
Kwa mujibu wa Qur'an watu wenye sifa hizi ndio ambao watairithi pepo hiyo;
WA Kwanza ni waumini ambao ni wanyenyekevu katika sala zao,hawa ni Wale ambao wanapokuwa ndani ya sala basi mawazo Yao na fikra zao zote zinakuwa ndani ya ibada ya swala,hawa hakika wamefanikiwa,
lakini kuna baadhi yetu wawapo ndani ya swala basi wanajikuta wanawaza hiki na kile na mambo kibao yanatawala swala yake,ingawa ni vigumu Kwa asilimia Mia moja kutotoka kimawazo,lakini hata ukitoka basi iwe kidogo na mara moja ujikumbushe kuwa upo ndani ya swala na ujue unawasiliana moja Kwa moja na Mola wako.
Sifa ya pili ni ambao wanajiepusha na mambo ya kipuuzi
Sifa ya tatu,na ambao wanatoa zaka,hapa inaingia na sadaka pia,maana zaka ni sehemu ya sadaka. Kwahiyo hakika kutoa sadaka ni Jambo muhimu Sana na ni ibada ambayo ina faida kubwa Sana,kuna maradhi mengine unapona Kwa kutoa sadaka Tu,
Na sadaka ndio ibada ambayo mja ataikumbuka mara Tu atakapoanza kutokwa na roho, ataomba Ewe Mwenyezi Mungu naomba walau unipe nafasi kidogo niweze kutoa sadaka. Sasa usisubir mpaka wakati huo ufike huenda usipate huo Mda wa kutoa sadaka.
Sifa ya nne, ni ambao wanazilinda tupu zao, hapa ndio wale wanachama WA jukwaa la MMU wajitafakari vizuri Sana,maana Yale mambo ya kulana kimasihara basi ujue nawe utaikosa pepo kimasihara,wazee wa Michepuko hapa kazi kwenu,hapa inakatazwa Zinaa Kwa nguvu zote,kwahiyo tujitathimini Sana.
Sifa ya tano,ni Kwa wale ambao wanazitimiza Amana zao na ahadi zao,kuna watu Jambo la kuahidi wanalichukulia kimchezo mchezo Tu,tena hawa wanasiasa hawa mjue Mungu anawaona! Maana nyie Kwa kutupiga sound hamjambo basi endeleeni Tu kutupiga sound halafu muone huko kwa Mungu kama mtafanikiwa.
Hapa Napo Jambo la Amana limeingia pia,mtu amekupa Amana yake umuhifadhie basi fanya hivyo usiingie tamaa ya kuitumia Bila ridhaa au idhini yake.
Na sifa ya sita ni Wale ambao wanazihifadhi swala zao,inamaana ambao wanadumisha swala zao siku zote,maana kuna watu huwa wanaswali ijumaa mpaka ijumaa Tu,au idi mpaka idi Tu,au akiwa na shida basi yeye ndio utamuona anaswali na mambo yake yakiwa fresh Tu basi ndio nitolee na kuswali bye bye.
Hope sauti yangu imetosha na kusikika vizuri kabisa.
Ijumaa Mubaraka!
Ni hayo Tu!
Umekumbusha jambo muhimu sana akhy.Hahaha uko wapi kwanza nikuelekeze darasa mambo ya kujifungulia swahih muslim peke yako utakuja kukutana na nyota nyota tukukose.