Hawa ndiyo wanaume halisi nje ya hapa ni mvulana

Choosen85

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2022
Posts
1,143
Reaction score
2,475
Sifa kuu ya Wanaume ni kwamba wanaweza kukaa pamoja wakanywa, wakala, wakataniana, wakabeti, wakapiga story za simba na Yanga

Pia wakashauriana kuhusu, mambo mbalimbali yahusuyo maisha na hata kuhusu mwanamke hatari hapo kitaa.

Lakini hawajuani majina halisi.

Utasikia wakiitana, Bro, Mzee baba, Mwamba, we mwana YANGA, John Bocco, Bosi, Tolu, Kipara, we kolo. na majina mengine ya hovyo hovyo.

So smart, hakuna kufuatiliana maisha.

Sasa Kutana na wanawake wakiwa pamoja, weeeee 🀣🀣🀣πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Kawaida hiyo kuna jamaa tumebadilishana namba kama miezi mitatu imepita ye hajui jina langu na mimi sijui jina lake nimemsave "mwamba" mwanaume kumuuliza mwanaume mwenzako unaitwa nani? Huo ni umama jina huwa tunalijua baada ya kuskia akiwa anaitwa na watu wengine hapo ndo tunaanza kujuana majina

Mi mwanaume mwenzangu hata ukinitumia meseji ukaniandikia "usiku mwema" nakublock
 
Uko sawa kbs
 
Mimi Kwa upande wangu siwezi kuzoeana na mtu bila kumjua . Labda wale wa kukutana bar mkapiga stori then kila mtu kivyake.
Hata mteja anayenipigia lazima nimuulize jina na nitamsevu jina lake .

Kisaikolojia na kibiashara;
Mtu ukimpigia au akikupigia simu na ukamtaja jina lake mf. Mambo vipi Peter? au inakuwaje Juma? Una nafasi kubwa ya kumpanga akakuelewa kuliko kuitana majina ya mwamba,kifaru ,kipara etc
 
Sifa kuu ya Wanaume ni Kwamba wanaweza kukaa pamoja wakanywa, wakala, wakataniana, wakabeti, wakapiga story za simba na Yanga
Pia wakashauriana kuhusu, mambo mbali mbali yahusuyo maisha na hata kuhusu mwanamke hatari hapo kitaa.

Lakini hawajuani majina halisi.

Utasikia wakiitana, Bro, Mzee baba, Mwamba, we mwana YANGA, John Bocco, Bosi, Tolu, Kipara, we kolo. na majina mengine ya hovyo hovyo.

So smart, hakuna kufuatiliana maisha.

Sasa Kutana na wanawake wakiwa pamoja, weeeee 🀣🀣🀣πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Wanawake wanaonana leo na wananuniana leo hawa viumbe sijawai waelewa lakin sisi wanaume tunaeza kutana kwa mara ya kwanza kwenye usafiri ama mtaan tukaongea mambo mengi haswa kuhusu mpira,siasa,maisha mpaka ukadhani tunajuana ila kwa hawa wenzetu mambo ni tofauti japo si wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…