Nazi Ignition
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 1,740
- 4,859
Hao makandoo wa mbowe wakija mojamoja napiga wote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu iyo avatar kweli wewe Ni muuaji.Mafunzo ya ukomandoo Tanzania nayajua in and out mama angu. Nimeandika kitu nachokijua mtoto mzuri.
Hao wameajiriwa kwa ajili ya kumlinda Mbowe aliyeko mjini, huko msituni unataka wakafanye nini?Hata kazi yenyewe wanafanya kienyeji sana.
Kama mbowe anataka walinzi kweli wenye hadhi ya VIP protection awapeleke shule nje y nchi na pia wavae professional sio magwanda kama wauza mkaa.
Makomando hao wanachojua ni matumizi ya siraha na kupambana na hali ngumu msituni(survival skills) ndio mafunzo wanayopata pale 92KJ Ngerengere. Hakuna zaidi ya hapo.
Ukomandoo wao ungekua na faida kama wanapigana msitumi ila sasa threat wanayokutana nayo sio ya msituni na hawana hayo mafunzo.
Sayaret matkal ushawahi kuwaona riziki yao? Acha unanga wewe unaheshimika jfUmeshaanza nongwa zako!!
Uzito ni ukomandoo wa kizamani.
Ukomandoo wa kileo uko ndani ya kichwa zaidi.
Ndio maana pale kwa Pontio pilato akina Swilla walipewa za uso.
Mafunzo ya ukomandoo Tanzania nayajua in and out mama angu. Nimeandika kitu nachokijua mtoto mzuri.
... mahakama tukufu imethibitishiwa officially wahusika ni makomandoo waliopikwa wakaiva; mkufunzi wao kathibitisha hayo mbele ya mahakama tukufu. Imethibitishwa wameshiriki mission kali hadi nje ya nchi mara kadhaa na zikaenda successfully; halafu anatokea mlevi mmoja kajiharishia anadai "hakuna komandoo hapo".Hakuna komando hapo bali ufugaji wa kikundi cha kigaidi
Yale maonesho yao kwenye sherehe za kitaifa huwa tunadanganywa tu kumbe? Sijui ni kwanini ukiwa UVCCM akili zinahamia kwenye mnduku.Mafunzo ya ukomandoo Tanzania nayajua in and out mama angu. Nimeandika kitu nachokijua mtoto mzuri.
Na wewe ni komandoo?
I mean, WTF!!!
Huu ukomandoo Tanzania uko overrated sana.
Sasa kwa mfano hawa makomandoo wa Mbowe bila silaha wanaweza nini?
Kwa muonekano tu, hakuna hata mmoja mwenye uzito wa ratili 200.
Not impressed at all!
Mimi Nyani Ngabu ni jinamizi lako.Mahakama imewatambua kama makomandoo, Jeshi la Jwtz liliwatambua hivyo, Jeshi la Polisi Tanpol linawatambua hivyo, DPP na DCI wanajua hivyo.
We Nyani Ngabu ni nani?
Nakukumbusha mmoja hapo alikuwa mlinzi wa waziri wa ulinzi kipindi hicho MwinyiHata kazi yenyewe wanafanya kienyeji sana.
Kama mbowe anataka walinzi kweli wenye hadhi ya VIP protection awapeleke shule nje y nchi na pia wavae professional sio magwanda kama wauza mkaa.
Makomando hao wanachojua ni matumizi ya siraha na kupambana na hali ngumu msituni(survival skills) ndio mafunzo wanayopata pale 92KJ Ngerengere. Hakuna zaidi ya hapo.
Ukomandoo wao ungekua na faida kama wanapigana msitumi ila sasa threat wanayokutana nayo sio ya msituni na hawana hayo mafunzo.
... mahakama tukufu imethibitishiwa officially wahusika ni makomandoo waliopikwa wakaiva; mkufunzi wao kathibitisha hayo mbele ya mahakama tukufu. Imethibitishwa wameshiriki mission kali hadi nje ya nchi mara kadhaa na zikaenda successfully; halafu anatokea mlevi mmoja kajiharishia anadai "hakuna komandoo hapo".
Una uhakika kua alikunywa nyagi??wote waliomzushia Mbowe wako hoi,sabaya,makonda,ndugai na jiwe ndo basi tena.mlifurahi kweli.mkajua Mungu ni kama kabudi eeh??Makomandoo wa udongo
Walikuwa wapi wakati Mbowe anapiga mweleka kule Dodoma baada ya kugugumia nyangi?
Walikuwa wapi kuzuia polisi wasimiharass Mbowe?
Ningekuwa na uwezo ningemdelete Mbowe ķwenye uenyekiti wa CHADEMA.
Ashapitwa na wakati,tunahitaji mtu mpya mwenye maono mapya wa kuipeleka CHADEMA mbele.
Makomandoo uchwala wavaa pampasi
Alikunywa nyangiUna uhakika kua alikunywa nyagi??wote waliomzushia Mbowe wako hoi,sabaya,makonda,ndugai na jiwe ndo basi tena.mlifurahi kweli.mkajua Mungu ni kama kabudi eeh??
... nikajua unazungumzia hatia kumbe tuhuma? Wewe ni malaya; utakuwa malaya kweli kwa kuwa nimesema au nimekutuhumu? Mbona waliondoa kesi?Na mahakama hio hio ilimkuta mbowe ana tuhuma za ugaidi kabla ya msamaha kupita
Kwa ushahidi ule kulikuwa na kesi pale???? Naona mmeumia kweli DPP kukubali kuwa kuna utaahira ulifanyika na kuamua kutenda hakiNa mahakama hio hio ilimkuta mbowe ana tuhuma za ugaidi kabla ya msamaha kupita