Hawa ni watu waliomdhihaki Mungu na kupatwa na shida

Hawa ni watu waliomdhihaki Mungu na kupatwa na shida

Ndipo niliposema unatakiwa uwe na afya bora ya akili [emoji15][emoji15]
masuala ya kuabudu mizimu sijui mkoloni kuja na dini yanahusiana na lolote katika maswali hayo 4?
Halafu mbona unajichanganya sana hueleweki unacho sema. wale wanao abudu mizimu halafu kabala ya kuenezwa kwa dini kwani hao walio abudu mizimu ilikua sio dini yao na utaratibu wa kuamini kwao? kama ilikua ndio dini yao na kuabudu kwao hii smartest imetoka wapi? inabidi utulize kidogo akili ktk masuala haya.
dhana ya kifiko kukinzana kwa imani tofauti sawa narejea papohapo kwenye afya bora ya akili katika tafsiri ya hicho kifo.kwa tafsiri yako au kama ya mleta mada hii. ni tafsiri potofu na yenye maswali mengi baadae.
Hujajibu hata swali moja, wewe umeng'ang'ana na afya ya akili.
 
Hili linanistaajabisha mno! Kuna watu wanakwambia Mungu aliumba kiumbe(mwanadamu) kikiwa na Utashi, Uyakinifu, Umakini na Ustaarabu lakini hao hao waamini ukiwauliza kwa Uyakinifu na Utashi juu ya Mungu wanakujibu Mungu hajadiliwi hivyo. Hiyo Rational Logic ya Mungu ndiyo tunayoitaka hapa! Kuuliza na kuishi katika kufahamu sio dhambi waungwana!
Kwakweli dini hazitaki kabisa mtu anaehoji, ukianza kuhoji tu kwa kutumia huo utashi na Akili alizokupa Mungu unaonekana unakengeuka
 
Kwakweli dini hazitaki kabisa mtu anaehoji, ukianza kuhoji tu kwa kutumia huo utashi na Akili alizokupa Mungu unaonekana unakengeuka
Huo ujinga hatuutaki kabisa sasa hivi. Mambo ya ndioo, ameeen kwa sasa hayana nafasi
 
Kwani kama mimi sijajizaa mwenyewe hilo linamaanisha ni lazima baba yangu ni George W. Bush?

Unatoka vipi kusema mtu hajajiumba mwenyewe mpaka kusema mtu lazima kaumbwa na Mungu?

Huoni kwamba hapa kati kuna steps kibao za kuthibitisha umeziruka?

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?

Kusema mtu kaumbwa na Mungu kwa sababu hajajiumba mwenyewe ni "logical non sequitur".

Logical non sequitur ni kosa la kimantiki la kuunganisha vitu viwili ambavyo havina uhusiano wa moja kwa moja.

Hata kama mtu hajajiumba mwenyewe, hilo halina maana ni lazima kaumbwa na Mungu.

Ukisema mtu ni lazima kaumbwa na Mungu kwa sababu hajajiumba mwenyewe, unafanya kosa la kimantiki la non sequitur.

Kwa sababu inawezekana mtu hajajiumba mwenyewe na hajaumbwa na Mungu pia.

Sasa, thibitisha mtu kaumbwa na Mungu na hajatokea kwa njia nyingine yoyote.
Safi kabisa.
 
Nashindwa kuelewa Kwanini linapokuja swala la kuthibitisha uwepo wa Mungu inakuwa ni vigumu sana na mwisho wa siku watu kukimbilia kusema mtalaanika na mambo kama hayo

Miongoni kwa majibu mepesi kabisa ya kuthibitisha kuwa Mungu yupo ni kama haya, mtu atakuuliza we umetokea wapi? Nani kaumba dunia au dunia imetokea wapi? Na utaskia Kila kitu kina mwanzo wake

Sasa linapokuja swala la mie nimetokea wapi, au dunia imetokea wapi hivi ndo kweli uthibitisho wa uwepo wa Mungu? Inajulikana kuwa maandiko yanasema Mungu hakuumbwa Wala hajazaliwa, ila hapo hapo tumetoka kuambiwa Kila kitu kina mwanzo wake kwahiyo mwanzo wa Mungu ni upi?

Kama unaambiwa kuwa Mungu hakuumbwa na wala hakuzaliwa kwahiyo maana yake alitokea tu from no where na unaamini Kwanini ila kwa nini ukiambiwa kuwa dunia pia imetokea tu na yenyewe from no where hutaki? Kwanini namie nikisema nimetokea tu from no where hutaki kuamini ilihali unaamini Mungu ametokea tu from no where?

Huwezi kuthibitisha ulikotokea wewe pamoja na dunia uliyopo ila unataka kutetea na kupambaba kuthibitisha uwepo wa aliekuumba wewe na dunia uliyopo kwa kigezo cha Imani, hapo ndio shida inapokuja, acheni tuendelee tu kuishi na kuabudu tu hakuna namna labda kuna siku majibu ya kuridhisha yatakuja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ngoma haina majibu.
 
Ukiona anayesema Mungu hayupo pita upande wa pili, achana naye
 
Yaani Mungu kawaacha waliobariki Ndoa za jinsia moja kwa hilo kanisa akaja kumuua aliyeudhihaki Msalaba!? Tena unaouita Mtakatifu!!!! Unahitaji Akili zimekwisha kabisa!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mnakanyagana wenyewe hadi baas lol.
 
Hili linanistaajabisha mno! Kuna watu wanakwambia Mungu aliumba kiumbe(mwanadamu) kikiwa na Utashi, Uyakinifu, Umakini na Ustaarabu lakini hao hao waamini ukiwauliza kwa Uyakinifu na Utashi juu ya Mungu wanakujibu Mungu hajadiliwi hivyo. Hiyo Rational Logic ya Mungu ndiyo tunayoitaka hapa! Kuuliza na kuishi katika kufahamu sio dhambi waungwana!
Hawana majibu hata. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nipo nasubiri wapenda story za mavampure , majini ,mungu, shetani ,vibwengo,wachawi na vinyamkera niwafumbue macho kuwa hizo ni story za kutunga[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee mtu khaaaah.
 
Kwakweli dini hazitaki kabisa mtu anaehoji, ukianza kuhoji tu kwa kutumia huo utashi na Akili alizokupa Mungu unaonekana unakengeuka
Ajabu iliyoje sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo Mungu basi ni mpuuzi, Kama kashindwa kutatua kero za watu dunian Kama vile magonjwa na njaa, yeye analimbikiza hasira zake kwa wanaomkashifu yaan anatumia hasira zakitoto sana,
basi huyo Mungu/Mungu atakuwa mpumbavu kwa kutumia vibaya nguvu zake[emoji23].

Kama yupo kwel muiteni aje aniadhibu mm hapa[emoji23][emoji23]...

Fu*c*k Europea&Arabian Gods...
img_16_1617294569138.jpg
 
Huyo Mungu basi ni mpuuzi, Kama kashindwa kutatua kero za watu dunian Kama vile magonjwa na njaa, yeye analimbikiza hasira zake kwa wanaomkashifi, basi huyo Mungu/Mungu atakuwa mpumbavu kwa kutimia vibaya nguvu zake[emoji23].

Kama yupo kwel muiteni aje aniadhibu mm hapa[emoji23][emoji23]...

Fu*c*k Europea&Arabian Gods...View attachment 2054757
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mie nacheka hapa cna hata mbavu mweeeh.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mie nacheka hapa cna hata mbavu mweeeh.
Watu wajifie kwa matatizo huko alafu walokole na wafia dini waanze kuhusianisha na Mungu..very stupidity
 
Watu wajifie kwa matatizo huko alafu walokole na wafia dini waanze kuhusianisha na Mungu..very stupidity
Nliwahi ambiwa nimelaaniwa au nataka kuwa kichaa, kisa nlimuuliza katekista "anithibitishie uwepo wa Mungu" yaan had alifkisha kwa wazaz, sitasahau mama ang mzazi alilia km amefiwa eti mie mwanae nimekutwa na jambo gan au nini kipo ndani yangu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wazungu kwenye dini walituweza mno na hatuwezi kujinasua kamwee. Wachache sana tunaoanza kunasuka.
 
Nliwahi ambiwa nimelaaniwa au nataka kuwa kichaa, kisa nlimuuliza katekista "anithibitishie uwepo wa Mungu" yaan had alifkisha kwa wazaz, sitasahau mama ang mzazi alilia km amefiwa eti mie mwanae nimekutwa na jambo gan au nini kipo ndani yangu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wazungu kwenye dini walituweza mno na hatuwezi kujinasua kamwee. Wachache sana tunaoanza kunasuka.
Hahahahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanakuon Kama gaid ambalo limeuwa mamia ya watu..basi wangefikilia hata ushenz anaoufanya Mungu akishirikian na shetan kuwatesa watu.

Huyo Mungu aje ashuke mwenyewe ajitetee kuwa yupo, sio kuwatumia Hawa vibaraka wake mashehe na wachungaji.

Yaan mtaan ukitaka ukosane na jamii we ongelea ukwel unaohoji uwepo wa hizi kitu hiz znazoitwa Mungu na wakina yesu, yaan watakutenga mtaa mzma[emoji23]
 
Hahahahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanakuon Kama gaid ambalo limeuwa mamia ya watu..basi wangefikilia hata ushenz anaoufanya Mungu akishirikian na shetan kuwatesa watu.

Huyo Mungu aje ashuke mwenyewe ajitetee kuwa yupo, sio kuwatumia Hawa vibaraka wake mashehe na wachungaji.

Yaan mtaan ukitaka ukosane na jamii we ongelea ukwel unaohoji uwepo wa hizi kitu hiz znazoitwa Mungu na wakina yesu, yaan watakutenga mtaa mzma[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitasahau mama ang alilia km amefiwa yaan had kwikwi, ilibidi nipige goti na kumshika mguu mama anisamehe nilipitiwa tyuuh ila sio kusudi langu kufanya vile.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huku ukweli naujua mwenyewe moyoni. Ndo maan now siendi home sana, habari za kupelekwa pelekwa kanisani mie sitaki,

Yaan sijui wa Africa kwenye dini tumewekewa nn hatuoni wala hatusikii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom