Hawa ni watu waliomdhihaki Mungu na kupatwa na shida

Hujajibu hata swali moja, wewe umeng'ang'ana na afya ya akili.
 
Kwakweli dini hazitaki kabisa mtu anaehoji, ukianza kuhoji tu kwa kutumia huo utashi na Akili alizokupa Mungu unaonekana unakengeuka
 
Kwakweli dini hazitaki kabisa mtu anaehoji, ukianza kuhoji tu kwa kutumia huo utashi na Akili alizokupa Mungu unaonekana unakengeuka
Huo ujinga hatuutaki kabisa sasa hivi. Mambo ya ndioo, ameeen kwa sasa hayana nafasi
 
Safi kabisa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ngoma haina majibu.
 
Ukiona anayesema Mungu hayupo pita upande wa pili, achana naye
 
Yaani Mungu kawaacha waliobariki Ndoa za jinsia moja kwa hilo kanisa akaja kumuua aliyeudhihaki Msalaba!? Tena unaouita Mtakatifu!!!! Unahitaji Akili zimekwisha kabisa!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mnakanyagana wenyewe hadi baas lol.
 
Hawana majibu hata. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nipo nasubiri wapenda story za mavampure , majini ,mungu, shetani ,vibwengo,wachawi na vinyamkera niwafumbue macho kuwa hizo ni story za kutunga[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee mtu khaaaah.
 
Kwakweli dini hazitaki kabisa mtu anaehoji, ukianza kuhoji tu kwa kutumia huo utashi na Akili alizokupa Mungu unaonekana unakengeuka
Ajabu iliyoje sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo Mungu basi ni mpuuzi, Kama kashindwa kutatua kero za watu dunian Kama vile magonjwa na njaa, yeye analimbikiza hasira zake kwa wanaomkashifu yaan anatumia hasira zakitoto sana,
basi huyo Mungu/Mungu atakuwa mpumbavu kwa kutumia vibaya nguvu zake[emoji23].

Kama yupo kwel muiteni aje aniadhibu mm hapa[emoji23][emoji23]...

Fu*c*k Europea&Arabian Gods...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mie nacheka hapa cna hata mbavu mweeeh.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mie nacheka hapa cna hata mbavu mweeeh.
Watu wajifie kwa matatizo huko alafu walokole na wafia dini waanze kuhusianisha na Mungu..very stupidity
 
Watu wajifie kwa matatizo huko alafu walokole na wafia dini waanze kuhusianisha na Mungu..very stupidity
Nliwahi ambiwa nimelaaniwa au nataka kuwa kichaa, kisa nlimuuliza katekista "anithibitishie uwepo wa Mungu" yaan had alifkisha kwa wazaz, sitasahau mama ang mzazi alilia km amefiwa eti mie mwanae nimekutwa na jambo gan au nini kipo ndani yangu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wazungu kwenye dini walituweza mno na hatuwezi kujinasua kamwee. Wachache sana tunaoanza kunasuka.
 
Hahahahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanakuon Kama gaid ambalo limeuwa mamia ya watu..basi wangefikilia hata ushenz anaoufanya Mungu akishirikian na shetan kuwatesa watu.

Huyo Mungu aje ashuke mwenyewe ajitetee kuwa yupo, sio kuwatumia Hawa vibaraka wake mashehe na wachungaji.

Yaan mtaan ukitaka ukosane na jamii we ongelea ukwel unaohoji uwepo wa hizi kitu hiz znazoitwa Mungu na wakina yesu, yaan watakutenga mtaa mzma[emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitasahau mama ang alilia km amefiwa yaan had kwikwi, ilibidi nipige goti na kumshika mguu mama anisamehe nilipitiwa tyuuh ila sio kusudi langu kufanya vile.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huku ukweli naujua mwenyewe moyoni. Ndo maan now siendi home sana, habari za kupelekwa pelekwa kanisani mie sitaki,

Yaan sijui wa Africa kwenye dini tumewekewa nn hatuoni wala hatusikii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…