Hawa ni watu waliomdhihaki Mungu na kupatwa na shida

Hawa ni watu waliomdhihaki Mungu na kupatwa na shida

Hoja ukiiona utaijua?

Maana nimekuletea hoja, hujaijadili hoja, unanijadili mimi.

Una uwezo wa kujadili hoja wewe?
Hoja ni namna unavyodhani kuwa ni hoja.Kwani unadhani unaweza ukaangalia angani ukaziona hoja zinapita kama vimondo.Kwamba hoja ileee inang'aa!
 
Ushaanza kuniwekea maneno kabla sijayasema.

Acha kuniparata, get off my dilsnick already.
Nini kinakusababisha uanze kujinunisha?Polepole.Weye huwa hupaswi kujibiwa kwa kutumia akili.Maana huwa unadhani unahodhi akili zote na majibu yote unayo weye.Usijinunishe!
 
"Mungu Aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanaye wa pekee ili kila mtu amwaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele Yohana 3:16"


Hivi baba unawezaje kumtoa mwanao wa pekee Afe kwa ajili ya makosa ya wengine ili hali msababisha makosa hayo (Shetani) yupo na wewe ndiye uliyemuumba na unamuweza. Kwa nini usimuue ili hawa binadamu uliowaumba waishi kwa raha!?


Kwenye kitabu cha Ayubu kuna vifungu huwa vinaonesha Mungu na Shetani walikuwa wakiongea na Mungu anamuuliza Shetani kama amemuona mtumishi wake Ayubu, Shetani anamjibu. Kwa nini Mungu amuulize Shety boy kama kamuona!?


Ikiwa yeye Mungu yupo kila sehemu na anaona kila kitu na yeye ni wa kuabudiwa pekee, kilitokea nini asijitokeze kwa Wazee wetu akawaambia Mimi ndiye ninae paswa kuabudiwa na si kingine ila ni mpaka pale alipokuja Mkoloni kuieneza dini na kuona tulivyokuwa tukiabudu ni ushenzi, tuviache tufuate vya mmishionari!?

Congo Belgium, Biblia ilitumika kama kitabu cha kuhukumia vifo kwa Waafrika wenzetu pindi walipokutwa na makosa. Sasa kama Biblia ni kitabu kitakatifu, iweje kitumike kuhukumia watu Kifo!?

Tangu nakua mpaka leo hii, sijawahi kuona Malaika kachorwa kwa rangi Nyeusi ya Kiafrika ila huwa ni ya kizungu tu na Shetani huwa anachorwa mara zote kwa rangi nyeusi ya Kiafrika na pembe juu.


Mleta uzi, hebu nisaidie kunipa mwangaza kwa hayo maswali yangu.
 
Hatuwezi kutumia vitu vidogo kma maradhi vifo kuonyesha ukuubwa wamungu.
Sote tutapata shida natutakufa skumoja inaweza kua kwa cancer ukimwi risasi Moto ajali au chochote

Waumin twatakiwa tu-upadate fikra zetu juu hiko tunachokiamin, umaskini maradhi mitihani yamaisha inaweza kutupata vilevile kma inavowapata watu wengine lakin bado haimanishi chochote kuhusu uwepo aukutokuwepo kwa mungu

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Kama Mungu angekuwepo, asingekufa mtu yeyote, popote, wakati wowote, kwa sababu yoyote.
Mungu alikuwepo, yupo na atakuwepo.

Kifo kakiweka yeye baada ya mwanadamu kufanya dhambi.

Na tunakufa ili twende kuishi maisha ya milele.
 
Ukiweka list ya watu waliomdhihaki Mungu wakapata shida, wakati kuna watu hawajamdhihaki Mungu na wamepata shida hizo hizo, na hata zaidi, list yako ni pointless.

Ni list ya ujuha mtupu.
Kiranga katika uhalisia wake..
 
"Mungu Aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanaye wa pekee ili kila mtu amwaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele Yohana 3:16"


Hivi baba unawezaje kumtoa mwanao wa pekee Afe kwa ajili ya makosa ya wengine ili hali msababisha makosa hayo (Shetani) yupo na wewe ndiye uliyemuumba na unamuweza. Kwa nini usimuue ili hawa binadamu uliowaumba waishi kwa raha!?


Kwenye kitabu cha Ayubu kuna vifungu huwa vinaonesha Mungu na Shetani walikuwa wakiongea na Mungu anamuuliza Shetani kama amemuona mtumishi wake Ayubu, Shetani anamjibu. Kwa nini Mungu amuulize Shety boy kama kamuona!?


Ikiwa yeye Mungu yupo kila sehemu na anaona kila kitu na yeye ni wa kuabudiwa pekee, kilitokea nini asijitokeze kwa Wazee wetu akawaambia Mimi ndiye ninae paswa kuabudiwa na si kingine ila ni mpaka pale alipokuja Mkoloni kuieneza dini na kuona tulivyokuwa tukiabudu ni ushenzi, tuviache tufuate vya mmishionari!?

Congo Belgium, Biblia ilitumika kama kitabu cha kuhukumia vifo kwa Waafrika wenzetu pindi walipokutwa na makosa. Sasa kama Biblia ni kitabu kitakatifu, iweje kitumike kuhukumia watu Kifo!?

Tangu nakua mpaka leo hii, sijawahi kuona Malaika kachorwa kwa rangi Nyeusi ya Kiafrika ila huwa ni ya kizungu tu na Shetani huwa anachorwa mara zote kwa rangi nyeusi ya Kiafrika na pembe juu.


Mleta uzi, hebu nisaidie kunipa mwangaza kwa hayo maswali yangu.

Aiseee.

1. Mungu aliweka chaguo kati ya uzima na mema, kifo na mauti...akakuacha uchague,na Mungu anatupima tu utii na kumwamini yeye, suala la shetani halihusiki. Ni wewe tu kutii, hata hivyo shetani kafungwa kuzima miaka elfu.

2. Mungu anauwezo wa kufanya kila kitu lakini anapenda sana kutumia watu, alijionyesha kwa Adamu na Hawa kabla ya kukosa utii, alijionyesha au kuongea nao kwa aliowataka, Ibrahim na Musa lakini maeneo mengine yote alitumia watu, kwahiyo hata waafrika kusikia toka kwa mkoloni sio kosa, ni kazi ya Mungu.


Wewe acha tu kumfuata ila usijenhe hoja ili wenzako waache kuamini,

Kumchagua Mungu is a choice, Ila usimpomchagua jua kuwa umemchagua shetani.
 
Nakupa list ya wachungaji na masheikh ambao hawakumdhihaki Mungu na walipata shida na kufariki

1. TB JOSHUA
2. MAMA LWAKATALE
3. STEPHEN AKNOLA
4. ISSA TURAY
5. WILSON BADEJO

Sheikh nooren mohammed hakumdhihaki Mungu lakini alikufa kwa ajali mbaya sana.

Sheikh Saeed bin nahynan huyu kafa siku nne zilizopita naye kwa ajali mbaya sana na hakumdhihaki Allah

Rashid bin Mohammed naye alikufa kwa shambulio la moyo na hakuwahi mdhihaki Mungu.

Na sio tu hao wapo wengi sana wamekufa na wengine wakipata shida pasipo hata kumdhihaki Mungu.

Kinachokufanya uone hao watu uliowataja kua wamepatwa na shida kutokana na wao kumdhihaki Mungu ni kipi? Nani asiyepata tabu hapa ulimwenguni?

Huyo Mungu wako historia ya dini inaonesha yeye ndio alikua muanzilishi wa kupata tabu baada ya vita yake na shetani ambapo shetani alizua utata huko juu mpaka akafanikisha kusepa na robo tatu ya malaika unafikiri tabu aliyoipata huyo Mungu ilikua ndogo?

Kwa hiyo nayeye tuseme alimdhihaki nani mpaka ikamfika hiyo tabu?
Nadhani tusome zaidi na kuelewa. Thank you for your big support in replying my thread ila mimi nimezungumzia waliomdhihaki Allah/Mungu moja kwa moja mbele ya umati au watu kadhaa. Pengine kuna waliowengi waliofanya hivyo na kuendelea kupata tabu kwenye hii dunia bila sisi kufahamu, tunazungumzia wale waliojitokeza wazi mbele ya adhara. Na sio kila kifo, Ajali, Maradhi kinatokana na kudhihaki kwa Allah. Mwisho Ndgu. SCARS unaamini katika Materialism au Idealism?
 
Hatuwezi kutumia vitu vidogo kma maradhi vifo kuonyesha ukuubwa wamungu.
Sote tutapata shida natutakufa skumoja inaweza kua kwa cancer ukimwi risasi Moto ajali au chochote

Waumin twatakiwa tu-upadate fikra zetu juu hiko tunachokiamin, umaskini maradhi mitihani yamaisha inaweza kutupata vilevile kma inavowapata watu wengine lakin bado haimanishi chochote kuhusu uwepo aukutokuwepo kwa mungu

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Mimi nazungumzia Mungu sio mungu brother[emoji12]
 
Back
Top Bottom