Naam.dunia haiwezi kuwa sawa, si una jua Wana kimbilia utajiri wa mali na si Akili.
Kama nakuona unavyo uma meno na ku type kwa speed 🤣🤣🤣.
Mi niko nafatilia chess una ijua?
safi, una fatilia habari za Magnus carlsen na freestyle chess tournament yake??Naam.
Nilifundishwa na baba yangu nilipokuwa mdogo. Kwenye chessboard halafu kwenye laptop.
Vituko vitupu, last time Magnus aliwakatalia kubadili nguo. Naona beef linaendelea.safi, una fatilia habari za Magnus carlsen na freestyle chess tournament yake??
Hapo amefurahi sana wenzake kukosa kaziWabongo bhana, kwa hiyo umefurahia hilo?...
Huo pia ni uchawiUchawi sio mpaka upae na ungo
Kidiploma nacho mtu aweza sema kasoma? Kuwa apewe ajira?Ulikuwa una sifa za kutosha kuifanya hiyo kazi kuliko wengine waliokuwa wanaitaka pia?
Ajira nyingi wanahitaji mtu mwenye degree, jitahidi upate degree kwanza.Mjinga mmoja kipindi kile ulifunga hadi PM ili usiombwe connection haya kiko wapi now na wewe unaomb msaada usaidiwe
WTF
mchawi mtuKuna Dada mmoja wa JF alikuwa anjiita HR nilimuomba E-mail kipindi nipo chuo mwaka 2010 nilikuwa namalizia diploma
Alinikazia na kuninyima sasa huwa namsalimia Mara Kwa Mara
Baada ya zuio la trump amekuwa mpole Sana .
So acheni hizo nyie waswahili Leo mnarudi mtaani Kuwa jobless
Kiko wapi
Hili ni dua la kuku tu. Chui kanyeeshewa na mvua usimchanganye na paka mkuu! Zaidi ya yote soko a ajira ni finyu na sina uhakika kama wewe ndiyo ulikuwa muombaji pekee wa hiyo ajira. Think big brother.Kuna Dada mmoja wa JF alikuwa anjiita HR nilimuomba E-mail kipindi nipo chuo mwaka 2010 nilikuwa namalizia diploma
Alinikazia na kuninyima sasa huwa namsalimia Mara Kwa Mara
Baada ya zuio la trump amekuwa mpole Sana .
So acheni hizo nyie waswahili Leo mnarudi mtaani Kuwa jobless
Kiko wapi
Perception hii ni mwanzo wa kufeli kwa vile umeanza mwisho kuelekea mwanzo.Kazi gani unajua niliomba kuna Kazi ambayo mtu hawezi kufanya katika hayo mashirika ?
Duh! kwa CV hii ,,,View attachment 3226383
Narejea tena kukueleza mdogo wangu, hiyo negative energy ni sumu inakutafuna achana nayo. Ukishakuwa na roho nyeupe Mungu atakufungulia milango, watu wa NGO hizo ni kudra zao watakosa hapa kesho watapata kwingine.
Ukisikia mtu Ana diploma unadhani hawezi kuwa na degree usichojua Mimi chuo nimemaliza 2007.Ajira nyingi wanahitaji mtu mwenye degree, jitahidi upate degree kwanza.
Alafu hakuna sehemu nimeomba nisaidiwe ni muendelezo wa ujinga, hujui lolote kuhusu mimi.
Mchawi mtu paka anatumwaUchawi unaanzaga hivi hivi
Wataelekea Kayumba chapHapo ndio ukute ulikuwa una vitoto vidogo vinasoma english medium vimashavu vimenona kama mimba ya panya. Mara ghafla mambo yamebadilika.