Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TuombeaneMpaka sasa hawajanichania mkeka, nasubiri yanga nao kama wakishinda nasepa na possible win ya 14,000/=
Hao ni wachesaji wetu wananchi hapo tumewahifadhi kwa muda tu msianze tolea mimachoHapa nawacheck naona ligi kuwa ngumu sana kule top 4.
Wananguvu speed,wepesi,control na namna ya ukokotaji wa mpira na zile press ni hatari.
Hao ni wachesaji wetu wananchi hapo tumewahifadhi kwa muda tu msianze tolea mimacho
Sent from my SM-A205F using JamiiForums kumbuka tamaa za fisi....
Hapa nawacheck naona ligi kuwa ngumu sana kule top 4.
Wananguvu speed,wepesi,control na namna ya ukokotaji wa mpira na zile press ni hatari.
wako vzr,leo nami nimewaona wale wachezajiSijawaona ila kitaani watu wanawasifia balaa
Unatumia kampun ipi ya betting?Mpaka sasa hawajanichania mkeka, nasubiri yanga nao kama wakishinda nasepa na possible win ya 14,000/=
Kesho mdhungu anacheza, tusubiriNi hatareee
Wacha tusubiri kesho tumuone mdhungu wa thimbawabrazil og hawa sio wale kina Jaja.