Moja ya ushamba wetu ni kutojua nini Mchezaji anatakiwa kufanya uwnajani, tukidhani chenga na danadana ndio uwezo
Mchezaji kama Fraga Vieira alikuwa imara sana kama defensive/holding midfielder , wasiojua mpira wakawa wanasema Mbrazil gani hapigi chenga 😆😆😆, hawajui sio kila Mchezaji ana lazimika kupiga piga chenga. Ndio maana wapo Wabrazil kama Fernandinho au Casemiro wangekuwa Tanzania wangetukanwa maana hawana mbwembwe
Mchezaji kama Fraga Vieira alikuwa imara sana kama defensive/holding midfielder , wasiojua mpira wakawa wanasema Mbrazil gani hapigi chenga 😆😆😆, hawajui sio kila Mchezaji ana lazimika kupiga piga chenga. Ndio maana wapo Wabrazil kama Fernandinho au Casemiro wangekuwa Tanzania wangetukanwa maana hawana mbwembwe