Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Salute MkuuTuanza na Upendo Peneza ni Mnyarwanda,pale Geita kuna wanyarwanda wengi sana,serekali kama wako serious waanze na ule mkoa,unafanya kazi na mdada pale GGM ghafla unashangaa unachangishwa mchango wa Harusi anaolewa Kigali kisha unaambiwa ni Mnyarwanda....waanze na Upendo Peneza na kaka yake Baraka
Alilipua ndege ya Marais,alimuua rwigema,anafanya vurugu Congo,aliua wahutu kwa halaiki kule congoPaul Kagame single handedly alikomaesha mauaji dhidi ya Wanyarwanda huku sisi majirani tukiwa tunaenda Rusumo kuangalia maiti za Wanawake Watoto zikipita pale Darajani.
Waafrika tunatakiwa tuungane kiroho safi na sio kinafiki.
Nai buu waziri mkubwaNai boo
Bhaleko poti twimaga sana ukobhoña....Kaka huku Simiyu wanyantuzu tunajuana, ukija generation tofauti tunakubaini faster shida Kama hizi zipo Geita, Kagera na huko kigoma
Chu, ube nanh'o nkoyi! Lakini bhana, kwa figisu za hao majamaa, mmmh...!Kingwa
Mbunge wa kisesa sijui
Hawa wajiandae hilo zengwe litawagusa mkakati huo.
Lakini hili linapaswa kua jambo la kutekelezwa huko baada ya kuwagundua mamluki walio jiingiza kwenye mfumo sio kuja kutuambia sisi walala hoi tutafanya nini 🤔🤔
ukienda kigoma asilimia kama 70 ya wanao jiita waha ni warundi na wanyarwanda lakini pia hapo hapo kuna wakongo wengi wame jazana na wote hao wanajiita watanzania ukienda kagera nako hivyo hivyo pia wageni wengi Sana wamejaa kule
kama wanataka kutibu hilo tatizo waanze kuwazuia huku uraiani kabla hawajafika huko juu, huo ni uzembe mkubwa Sana kwa vyombo vya ulinzi na usalama
Aloe?Karia ni mwiraqw full, wacha fitina.
Kweli mkuu 🤝kama wanataka kutibu hilo tatizo waanze kuwazuia huku uraiani kabla hawajafika huko juu, huo ni uzembe mkubwa Sana kwa vyombo vya ulinzi na usalama
Wewe ni Nchi gani CDF anafanya kazi ya Home Affairs? Au na wewe umesha zezeteshwa?Je CDF alivyotoa hiyo kauli alikuwa kwenye shughuli za chama au serikali?
Unajua mamlaka ya CDF hadi huko so called home affairs?Wewe ni Nchi gani CDF anafanya kazi ya Home Affairs? Au na wewe
No more ni ukaririfu tu - ni Zito pekee alowahi kupigania maslahi ya wanakigoma kwa nguvu lkn kasumba hii bado imejaa vichwani mwa wahitimuCha kushangaza hapa siwasikii wajaluo, wamasai, na watu wa kusini. Kwanini always Kigoma na Kagera. Kuna Siri gani. Kwanini mnawaogopa the so called wahamiaji haramu wa mkoa wa kigoma na Kagera na si wa mara, Arusha, Ruvuma au Mtwara.
Nani huyo uraia wake unadosari mkuu?Jeshi linakuwa halihusishwi kwenye michakato, na hata wakiwepo huwa ni washiriki tu, Ila wana utaratibu wao wa kufuatilia.
Hiyo taarifa ni matokeo ya kazi wanazofanya, na hapo CDF kapewa go ahead aisome hadharani kutoa alert call kwa kwa watu fulani kuwa wajiandae. Maana wameshabebwa lakini hawabebeki wanajiona wana maguvu mengi sana
Tume ya uchaguzi, Wakurugenzi na TISS wapo tayari kukata jina la mgombea kwa kisingizio cha herufi kukosewa lakini kamwe si kwa kuangalia jambo kubwa kama la Uraia.
Aloo ayi bahh'abartaqaa'Aloe?
Duh Mzee, aliwaja watusi kumbe?Mtu wa kwanza kubana mbavu ni Bashiru atweleze aliwaingiza watusi wangapi TISS
Tuhuma nzito sana hizo source yako please?Alilipua ndege ya Marais,alimuua rwigema,anafanya vurugu Congo,aliua wahutu kwa halaiki kule congo
Hata CDF mwenyewe, JJ Mkunda ... Tunaweza kumhusisha na Jenerali Laurent Nkunda wa Rwanda? 😳Huyo Hangaya mwenyewe si ni raia wa Oman au?
Mfano Magufuli ile roho yake mbaya ilikuwa siyo ya kitanzania.Unakuta huko juu watu wana roho Mbaya sana...unajiuliza huyu ni MTanganyika?
Wakina nani Mkuu tumsapoti CDF wetu
Imboru gera gwang.....nasi akoAloo ayi bahh'abartaqaa'