Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
safari hii wamepatikana wajanja kwa wajanja, ngoja tuone uhuru kenyata na raila odinga walikiona cha moto walipojifanya wenye nchi, ngoja tusubiri …
Kwahio wivu tu ndo husababisha chuki yote hiyo? Au watusi kweli ni tishio wana kitu cha ziada chenye kuleta tofauti baina yao na wabantu hasa kwa congo, ug burundi na tz?
Hawana cha tofauti ,hawapendi kukaa chini kutawaliwa ,Wana utemi kama ilivyo jamii zote za wafugaji wana kaubabe fulani ,sababu wafugaji toka Enzi wana kibunda(uchumi) kikubwa kuliko wakulima , na maeneo yao ya asili kabla ya kuhamia kwenye himaya za wabantu ,ni Makame(semi dessert) watutsi ni jamii moja na somali na ethiopian na ni jirani wa karibu maasai kiasili,wote wana asili ya Horn of Africa na pembezoni mwa mto Nile,
Sababu ya ukame ,the only way ya kusurvive ilikuwa kuevolve kibabe ili kupambania resource kiduchu,na huo ubabe ndo wameleta kwa wabantu ,wahutu kuwatawala.

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Unajua mamlaka ya CDF hadi huko so called home affairs?
Mkuu wa JWTZ na juzi kati aliambiwa afanye kazi ya Jiji kuzoa taka.

Unajua misasa wewe unaheshimika sana humu Jukwaani Jf sijui nini kimekusibu.
 
Jiwe gizani🤣
 
Masikini adui yake masikini naona
 
Baraka ndio nani huyo Mkuu hatumjui
 
Wewe ni mtutsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…