Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hapo kuna mtu anatafutwa

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Pamoja na wao wenyewe kuwapa uraia wakimbizi wa Burundi kwa idadi hiyo kubwa bado wananyanyasa wananchi wa mkoa wa Kigoma.
Baada ya kuwatumia kuongeza idadi ya kura na kukivusha chama kikongwe wanaleta wimbo mwingine kabisa....
Nchi hii imejaa unafiki wa kiwanga cha Guiness. 😳
 
🔨🔨🔨
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…