imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Mhutu.Wewe ni mtutsi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhutu.Wewe ni mtutsi
Hapo kuna mtu anatafutwaWatanzania tupo warahisi sana kuchezewa akili zenu. Lakini acha tu tuchezewe kwani huwa hatutaki kutafakari. Hivi jambo kama ni hili ni la utekelezaji au ni la kusemea kwenye majukwaa! Tuna idara za usalama, upelelezi na ulinzi. Kama wamegundua kuna watu wa aina hii kwa nini wasiondolewa kwanza? Rais kila siku ni lazima apewe briefing kuhusu masuala mbali mbali ya nchi, ina maana hawakumwambia huko kwenye vikao? Kwangu mimi hili ni suala la utekelezaji zaidi na siyo suala la kusemea jukwaani. Otherwise, kuna jambo fishy linataka kufanywa na huu ni mwanzo tu wa kulihalalisha.
Wakina nani wanauza intel Mkuusaivi wanauza intel kiulaini
Hapana wewe ni mtutsiMhutu.
Usalama wa CCM madarakani? Mbona rasilimali na Nchi zinauzwa na Watanzania wenye asili ya Kimasai wanafukuzwa na Wageni waliouziwa Nchi mbona Wanajeshi wako wako kimya?Huyo mkuu wa Majeshi wa ulinzi na usalama siyo JWTZ tu
Mimi Mwarabu nina Bandari na Mbuga za Wanyama wako haya sasa kamwambie Mkuu wa Majeshi aje anidhibiti.Hapana wewe ni mtutsi
Serukamba?Ngoja nikusaidie.
Kuna yule mwamba alitukana kwenye muhimili mmoja.
Tusi lake ni "come on f*uck you"
Sasa hivi ni Mkuu eneo fulani Kanda ya Kati
Pamoja na wao wenyewe kuwapa uraia wakimbizi wa Burundi kwa idadi hiyo kubwa bado wananyanyasa wananchi wa mkoa wa Kigoma.Mkimbizi alichukua uraia wa Tanzania au kateuliwa akiwa Mkimbizi bila kuchukua uraia?
Maana mtu anaweza kuwa mkimbizi, akachukua uraia wa Tanzania. Tanzania imetoa uraia kwa malaki ya wakimbizi.
Mwaka 2014 Tanzania ilitangazwa kuwapa uraia wakimbizi 162,000 wa Burundi kwa mkupuo.
Idadi ya watu waliopeea uraia ilifikia 200,000, rekodi ambayo haijawahi kutokea mpaka muda huo kwa mujibu wa shirika la wakimbizi wa Umoja wa Mataifa UNHCR.
Huo mkupuo mmoja tu wa mwaka 2014 tumetoa uraia kwa wakimbizi 200,000.
Sasa wote hao wanyimwe nafasi za kuongoza hata kama wananuwezo kwa sababu wakipata uraia wakiwa wakimbizi?
Hapana wewe ni mtutsiMimi Mwarabu nina Bandari na Mbuga za Wanyama wako haya sasa kamwambie Mkuu wa Majeshi aje anidhibiti.
🔨🔨🔨Mimi ni mtanzania halisi, vizazi na vizazi. lakini wakati mwingine ninaamini hii dunia sio ya mtu mmoja, ni ya wote, hata Tanzania sio ya kwako peke yako ni ya wote, ni wakoloni tu walitutenganisha hasa sisi waafrika. sasa mtu kama mkimbizi aliyekimbia Rwanda au Burundi miaka ya 60, amekuja hapa akiwa mtu mzima, amezaa watoto, na watoto wamezaa watoto. wamesoma hapa, wamekulia kila kitu hapa, hawajui kwengine kwa kwenda ila hapa, mnataka waende wapi? warudi Rwanda, Burundi au Congo ambako hawajawahi hata kufika na hata wakienda wanafikia hotelini? wangekuwa wanawajua ndugu zao huko labda, au kama wanazipenda hizo nchi labda, ila huko kwenye asili yao hawakujui, hawajawahi kwenda, wengine hata baba zao hawajawahi kwenda, mnataka wafanye nini? wamekua wakijua hapa ndio kwao hawana kwao kwengine wanakokujua, na wamepapenda.
watusi kwa mfano, walianza kukimbilia Tanzania hata kabla ya uhuru kwenye first Hutu Revolution ya mwaka 1952 ambapo wahutu wali rise up against tutsi ambao ndio walikuwa kabila la kifalme Rwanda, kwasababu hiyo watusi wengi sana walikimbilia congo (ndio wale banyamulenge), na wengi walikimbilia Tanzania. ukienda mikoa kama ya kigoma, Tabora, Mwanza hadi Rukwa, kuna watu wenye sura za kitusi kabisa ila babu zao walikuja hapa kabla ya uhuru wa Tanzania, na wameishi wakibaguliwa tangu miaka hiyo hadi leo. mnataka waende wapi? nchi yenyewe hii ya Tanzania mnaishi mnakufa na kuiacha hapahapa, mtu kama haleti madhara, mwacheni. Kina Obama hao mbona baba zao ni wakenya ila wamekuwa marais wa Marekani? mnachotakiwa kufanya ni kuweka vizuri mifumo ya intelijensia ili mtu awe na asili ya moja kwa moja ya hapa Tanzania au la, asilete madhara, kwasababu hakuna guarantee kwamba hao mnaowaona kama ni asili ya wakimbizi ndio wataidhuru nchi, kuna uwezekano threat kubwa ikatoka miongoni mwetu sisi wenyewe tunaojiita wazalendo. dunia hii mmeikuta na mtaiacha, hamjaiumba kwanza ni mali ya Mungu hapa ametuweka kama mifugo tu tuishi, achaeni ubinafsi na ubaguzi.
Wewe Mchawi nini haya nenda kaniroge.Hapana wewe ni mtutsi
Source!?..unataka CNN au Al Jazeera!!?Tuhuma nzito sana hizo source yako please?
🤣🤣 Kinana, Bashe, Zito, Bashiru, BashungwaTuelekeapo 2025 zongo linaanza kwa Ngopam, Nanaki, Sheba, Rushiba, Tozi, Ngashuba n.k.
Kuna mzee anaitwa Ruguyamheto alikuwa katibu mkuu utumishi nae aliwaingiza wengi sanaMtu wa kwanza kubana mbavu ni Bashiru atweleze aliwaingiza watusi wangapi TISS
Mkunda jina la kinyamwezi,maana yake mburuzo uwe wa nyoka,mkia au chochote kileHata CDF mwenyewe, JJ Mkunda ... Tunaweza kumhusisha na Jenerali Laurent Nkunda wa Rwanda? 😳
Zote kwa pamoja please.Source!?..unataka CNN au Al Jazeera!!?
PoleZote kwa pamoja please.