Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hiyo nchi kwa taarifa yako inaongozwa kutokea nje siku nyingi na sio kuanzia kwa uongoz huu tu. Sisi ni nyuki wa mashine hatuna madhara.
 
Maandamano Hoyeee!
Kumbe basi ndio wanatakiwa kuwa wazalendo kwenye hili.la maandamano na watoboe siri hii nzito!
Maandamano ya Amani yanayodai haki hizo!.
Yaa CCM tuko na mauzauza Chama changu mnatu boa sana
 
Ako Mungai wakati furani ako na uwaziri wa mambo ya elimu hakuwa mbongo alikuwa raia wa nchi jirani
Wapo mbona wakat nipo kenya miaka hiyo alikuwepo mkuu wa polisi pwani. Somebody Mboya ulikuwa hunikamati
 
Leo nimepigiwq simu na kada mmoja wa ccm anataka nimsaidie kurekebisha profile zake na cv zake then kaniambia

Usiogope taja kiasi unachotaka nikitoka kwenye kikao cha chama nakupigia usiku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa akipitia uzi huoni kama atajua!
Si umepita mafunzo mkuu mbona unajiachia hivo..
 
Lakini hili linapaswa kua jambo la kutekelezwa huko baada ya kuwagundua mamluki walio jiingiza kwenye mfumo sio kuja kutuambia sisi walala hoi tutafanya nini 🤔🤔

ukienda kigoma asilimia kama 70 ya wanao jiita waha ni warundi na wanyarwanda lakini pia hapo hapo kuna wakongo wengi wame jazana na wote hao wanajiita watanzania ukienda kagera nako hivyo hivyo pia wageni wengi Sana wamejaa kule

kama wanataka kutibu hilo tatizo waanze kuwazuia huku uraiani kabla hawajafika huko juu, huo ni uzembe mkubwa Sana kwa vyombo vya ulinzi na usalama
 
Kuna jamaa mmoja wa asili ya Congo DRC yupo uhamiaji cheo kubwa ni mwenyeji wa Bukavu. Alikuwa anawapa wacongo wenzie Work permit kishenz naishia hapo. Japo na Sisi tupo wa kutosha Lubumbashi
 
Hawa wanyarwanda Sasa inabidi kupitisha msako wa nyumba kwa nyumba huko Geita, mwanza , chato, bukoba, kigoma, simiyu,, hii phase ya kwanza
 
Wewe na baadhi ndio mnawaza nje ya 📦
Kweli mpaka jeshi limekuwa siasa au kuna kitu?
Hata mimi siamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…