Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
WAPO WENGI SANA ILI MRADI UISHANGILIE CCM

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Mkimbizi ni Giggy Money mwenyewe katoka hapo Zanzibar ila ni raia wa Oman na hata hivi punde alienda kuwasalimu wajomba zake Oman akawagawia na Ngorongoro. Swali jingine ?
 
Mie kuna mmoja namfahamu...hayupo serikalini ila yuko kwenye taasisi nyeti ya Elimu.....ni mkimbizi toka Burundi anaitwa Isidore Minani...yupo RUCO Iringa.....Sasa ndugu zake wapo Serikali kuu kwa majina tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…