Hawa watoto wameweza kuishi kwenye Msitu wa Amazon kwa siku 40 bila chakula wala malazi

Hawa watoto wameweza kuishi kwenye Msitu wa Amazon kwa siku 40 bila chakula wala malazi

Naam.

Nataka niwe mpya..niondoe uchafu wote niliouvaa katika dunia hii. Kuna makabila mawili natamani sana kuyafikia. Kuna kabila la Sentinelese na Awa.

Hawataki watu wa nje. Wanaua. Ila hata nikifia huko nitakufa kwa amani.

Napatamani mno.
Andaa na pesa ya kurudisha mwili bongo tusijeletewa matangazo ya kuchangia kusafirisha mwili
 
Hapana shida Mkuu. Nikiliwa na wanyama mwili hautakuwepo.

Hata hivyo, kwa desturi zetu sisi Wamasai tunazikwa unakofia. Hivyo watanizika huko huko.

Hutachangishwa sumni.
Tatizo linaanzia hapo


Unapaswa kujua kuwa kitendo cha wew kutojiwekea mipango km itatokea roho imeacha mwili huko ughaibun kuna watu watachukulia km fursa


Picha zako zitasambazwa kwenye magrup ya watsup ili kipatikane chochote kitu mwili usafirishwe lkn na wachangishaj nao malengo yao yatimie


Suluhu ni moja tu ni kujiandalia mazingira km lolote linaweza tokea
 
Kama unataka mafao yako wagombanie bila wewe kujulikana umetafunwa na mnyama gani nenda. Yapo mambo ya kuyapima,lakini si kila Jambo hata unaloliona wazi hatari yake. Kwa nini usitembelee tu Serengeti,mikumi,Ruaha au Amboni. Zote zipo kwa ajili yako.
Kila mtu ana matamanio.

Sitaki kwenda kwenye mbuga za kawaida. Mimi ni mfugaji, nimeishi katika mazingira ya porini sehemu kubwa sana ya utoto wangu.

Nataka kuishi kwenye msitu mnene, uliojazana na kutisha. Ambao bado binadamu hawajauingilia kwa kiwango kikubwa. Wenye maji tiririshi yasiyokatiza katika uchafu wa binadamu. Eneo tulivu lisilo na kelele za watu na magari.

Eneo lenye kivuli asilia, chakula kiwe cha asili pia. Maji yawe hayo yasiyochujwa na kemikali.

Mkuu, ni tamanio langu. Na nitalitimiza. Mungu aniweke hai.
 
Tatizo linaanzia hapo


Unapaswa kujua kuwa kitendo cha wew kutojiwekea mipango km itatokea roho imeacha mwili huko ughaibun kuna watu watachukulia km fursa


Picha zako zitasambazwa kwenye magrup ya watsup ili kipatikane chochote kitu mwili usafirishwe lkn na wachangishaj nao malengo yao yatimie


Suluhu ni moja tu ni kujiandalia mazingira km lolote linaweza tokea
Familia yangu ndiyo inaamua. Hata hivyo, nitaliwa huko, camera za kupiga picha zitakuwa wapi?

Anyway, sijui yatakayotokea baada ya kufa. Hivyo, mazingira yote nitayaweka sawa.

Hata hivyo, nina imani kuu kuwa nitarudi salama. Swala la kifo ni la mwisho kulifikiria
 
Kutokuwa na hofu ndiyo sababu.

Ukishajaza tu nafsi yako hofu, hata ambayo hayakupasa kukupata yatakupata.

Ninatamani sana. Mwaka 2030 nikijaliwa Uhai, nitakuwa nastaafu kwa hiyari. Niende kwenye msitu wa Amazon. Niishi walau mwezi mmoja.
Kwa nn usiende hata Dubai kwa meli ya bure,hao warabu wameshakuwa ndugu zetu katuunganisha Samili
 
Kila mtu ana matamanio.

Sitaki kwenda kwenye mbuga za kawaida. Mimi ni mfugaji, nimeishi katika mazingira ya porini sehemu kubwa sana ya utoto wangu.

Nataka kuishi kwenye msitu mnene, uliojazana na kutisha. Ambao bado binadamu hawajauingilia kwa kiwango kikubwa. Wenye maji tiririshi yasiyokatiza katika uchafu wa binadamu. Eneo tulivu lisilo na kelele za watu na magari.

Eneo lenye kivuli asilia, chakula kiwe cha asili pia. Maji yawe hayo yasiyochujwa na kemikali.

Mkuu, ni tamanio langu. Na nitalitimiza. Mungu aniweke hai.
Maeneo yote na vyote ulivyovitaja vinapatikana kwa wingi Tanzania. Ukitaka misitu mikubwa yenye nyoka wakubwa,maji tiririka,maeneo tulivu yenye ndege tu na wanyama tu,vyote vinapatikana Tanzania. Tena vya Tanzania ni asilia zaidi. Sisifii tu lakini najua na ndio uhalisia. Huo msitu wa Amazoni umekuzwa sana,halafu sehemu nyingi za huo msitu zimepitiwa na watu.

Umekuzwa ksbb uko karibu na nchi zilizoendelea kifilms,kama Marekani. Wasanii wa Marekani wameutumia sana huo msitu kwenye filamu nyingi na ndio unaotumika sana kwenye filamu zinahusiana na misitu. Kwa hiyo lazima uwe overrated.

Labda iwe tu unataka kutembelea sehemu nyingine isiyo Tz na pia kutamani kufia kwa watu kama ulivyosema
 
Hawa uncontacted tribe nimewapenda sana yahn haya mavurugu ya dunian hawana sijuin stress za kusoma,kulipa kodi sijui kuomba kazi upate ajira sijui kuwa na pesa yahn kama wako bustani ya edern
Hivi hawa na wadzhabe wa huku kwetu ni tofauti na hao
 
Yale majoka yanayoitwa anaconda yanayoishi katika msitu huo hayakuweza kuwadhuru? Ama kweli hawa watoto ni mashujaa
Sio manyoka tu, kuna yale yanaitwa Jaguar 🐆, kuna samaki 🐟 wanapiga shoti ya umeme mkali ukiingia kwenye 18 zao huchomoki wnaaitwa eel fish.

Hao watoto wanapona kimiujiza sana. Imagine mvua kule Amazon ni kila siku, msitu mkubwa, radi lakini bado wamepona.
 
Maeneo yote na vyote ulivyovitaja vinapatikana kwa wingi Tanzania. Ukitaka misitu mikubwa yenye nyoka wakubwa,maji tiririka,maeneo tulivu yenye ndege tu na wanyama tu,vyote vinapatikana Tanzania. Tena vya Tanzania ni asilia zaidi. Sisifii tu lakini najua na ndio uhalisia. Huo msitu wa Amazoni umekuzwa sana,halafu sehemu nyingi za huo msitu zimepitiwa na watu.

Umekuzwa ksbb uko karibu na nchi zilizoendelea kifilms,kama Marekani. Wasanii wa Marekani wameutumia sana huo msitu kwenye filamu nyingi na ndio unaotumika sana kwenye filamu zinahusiana na misitu. Kwa hiyo lazima uwe overrated.

Labda iwe tu unataka kutembelea sehemu nyingine isiyo Tz na pia kutamani kufia kwa watu kama ulivyosema
Ni kweli tunaipenda Tanzania ila kusema Amazon iko overated nachekea kua na mashaka na uwezo wako wa akili.

Niambie msitu wowote Tanzania ambao unaweza kutembea zaidi ya kilomita 500 na bado hujafika sehemu ya makazi ya watu.
 
Kilichofanya jeshi liongeze nguvu kazi ni baada ya kuona mabaki ya matunda pori na maeneo ambayo yametengenezwa kama shelter. Hapo ndipo walipopata imani wapo hai na kuanza kufuata traces.
 
Back
Top Bottom