Hawa watoto wameweza kuishi kwenye Msitu wa Amazon kwa siku 40 bila chakula wala malazi

Nenda kwenye misitu yacongo kuna eneo kubwa tu lamsitu huko congo nivirgin kabisa
 
Achana na ZE STOLI BUKU itakupoteza
 
Sema serikali iliwambia waseme walikuwa wanakula vyura kumbe ilikuwa mwenzao akikata kamba wanakata nyama yake wanakula kwahiyo ilikuwa mwenzao akifa wanamchomachoma wanaanza kumla.Dunia ina mengi sana.
😳😳Na hizi siri mkazijua na hamkutuambia wapenda simulizi. Nashukuru lakini nimejua leo, dunia hii dunia.
 
Naam.

Nataka niwe mpya..niondoe uchafu wote niliouvaa katika dunia hii. Kuna makabila mawili natamani sana kuyafikia. Kuna kabila la Sentinelese na Awa.

Hawataki watu wa nje. Wanaua. Ila hata nikifia huko nitakufa kwa amani.

Napatamani mno.
Bora uende Vanuatu kisiwani, kuhusu kujiondoa uchafu mtazamo wangu si kweli maana huko unaeenda kujichafua kwa mila zao unajiingizia spirits wageni.
 
Ni kweli tunaipenda Tanzania ila kusema Amazon iko overated nachekea kua na mashaka na uwezo wako wa akili.

Niambie msitu wowote Tanzania ambao unaweza kutembea zaidi ya kilomita 500 na bado hujafika sehemu ya makazi ya watu.
Tanzania hatuna misitu, mara milion Congo
 
Ni kweli tunaipenda Tanzania ila kusema Amazon iko overated nachekea kua na mashaka na uwezo wako wa akili.

Niambie msitu wowote Tanzania ambao unaweza kutembea zaidi ya kilomita 500 na bado hujafika sehemu ya makazi ya watu.
uwezo wa akili. Jiulize kupitia hapa nani hana uwezo wa akili kati ya mimi na wewe?. Kwa sababu
1. Hakuna mahala tumezungumzia au kutafuta ukubwa wa eneo la misitu.
2. Ninaeongea nae hajasema anahitaji ukubwa wa eneo la kilomita nyingi za msitu zaidi ya kutaka eneo la msitu mkubwa wa kutisha. Wenye nyoka n.k. sasa hilo eneo la ukubwa huo wapi tumelihitaji? Ndio ujione wewe una akili kujua ukubwa wa eneo!!!
3. Muda mwingine jiulize Kwanza unachotaka kumjibu mwingine ni sahihi. Sio ujanja kumtusi mwingine bila sababu yoyote,ndio ujione wewe una akili. Hata kama nilichokiongea hakiko sawa au ksbb zako hakijakupendeza
 
Ukidandia kitu kwa mbele utagongwa kwa nyuma, sitaki nikugonge nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…