Hawa watu wanaondoka kawaida au kuna system inawaondoa kwa kutumia akili kubwa sana?

Ipo namna yani kama ni ugonjwa kwanini uwe na selective sampling? Yani ukaangalia wanaonyofolewa ni watu flani specific badala ya random! Ina maana hili tatizo liko kwa ajili ya watu maalum tu? Seems like theres a specific mission ya ki undercover
Harafu familia zao wako fit kabisa, wake zao wanashare shuka kitanda, denda etc wako vizuri kabisa au Covid inawapenda wao tu.
 
There is something amiss - whether we acknowledge it or not....

Na loophole ya corona itatumika sana. Ukiangalia speechtrails then coincedences...

Remember the devil also wears 'prada'.
 
Albadir
 
Corona ipo na ukiizingua inakuzingua.
hawa vigogo na magonjwa yao yasio na tiba, Corona inabambataa..!
tulikosea toka mwanzo tulipo zifuata legacy za Mwendawazimu .
na tunavyochelewa kupata chanjo,
Mashaka matupu. MaCCM hatutawasamehe.

Mmh hao waliokua hawajadharau walikufa wangapi hivi[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna anayewaondosha dhambi walizoshirikiana kufanya zinaendelea kuwatafuna. Na zitawatafuna hadi vizazi vyao mmoja baada ya mwingine. List inaendelea.

Kwani kufa ni kitu cha ajabu jamani[emoji23][emoji23][emoji23] nyie ukoo wenu hamfiii
 
Umemsahau Baregu
 

Kabisa maana watu wanajifanya malaika watoa roho na Kujitia uMungu [emoji23][emoji23]
 

unaweza kukuta lenyewe lina madhambi tele na muda wa kujiombea na kuyaacha linao sasa linabaki linapambana na Marehemu asiyeweza kujitetea..

Hii mijitu chief ni mijinga sana aisee...nimeamini siku za karibuni kuwa ni mijinga na tukiiendekeza inaweza kusababisha maafa makubwa sana kwenye nchi hii...

JPM alivyokuwa hai ilishindwa kupambana naye, amekufa eti ndio inajifanya kupambana na marehemu na kuendelea kumsumbua mama ambaye amejaribu kuwa muungwana kwao..
 

Aisee kununua ndege ilikuwa ni kutatua tatizo au aliongeza matatizo mengine mengi zaidi?
Kuhamia Dodoma alitatua tatizo au ndio ameongeza matatizo na msongo wa mawazo kwa familia nyingi hapa nchini? kuna umuhimu gani wa kukaa Dodoma ambako hata sio mkoa wenye capital ambayo iko stable aisee uwe na reason mambo muhimu sana. Anachoweza kusifiwa nacho ni kuwa na wivu wa watu binafsi amefunga watu bila sababu na ukitaka kujua hilo angalia nini mama anafanya sasa hivi watu wanatoka mahabusu ni wengi sana tena kwa kufutiwa mashtaka. I wonder angekuwepo mpk leo hii, hii nchi ingekuwa kwenye lindi gani? mtu mpk Swahiba wake alimkacha?
 
Weka picha zao
 
Mkuu mambo ya kupotezana pia huwa na sababu, kwanini wewe hujapotezwa mpaka leo hii?,
kuna watu hawajui kwanini mpaka leo nchi iko salama, wanafikiri wanavyolala na kula bata basi watu wote wanakula bata na kulala...

Usalama wa nchi ni kitu cha siri sana na mamlaka tu ndizo zinajua...UMEMUULIZA SWALI ZURI SANA KWANINI YUKO SALAMA HAJATEKWA WALA KUPOTEA...
 
Mpaka kufika 2025, tunaweza kuwa na mkuu wa kaya/wakuu wa kaya wengine wa kurithi zaidi ya huyu wa sasa kama kweli Covid ndio inahusika na si vinginevyo.
Mungu wetu ni mwaminifu
Machozi na damu za wengi haya ndio matokeo
Watawala wajitafakari sana
Ni vyema wakatubu haraka
List itaongezeka
' Nitaweka uadui kati yako wewe na yule.... kati ya uzao wake na uzao wako....' Maandiko yanasema
Tubuni hamijui siku wala saa... watawala
 
Kambi ya Mbeya ndio nani mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…