Hawa watu wanaondoka kawaida au kuna system inawaondoa kwa kutumia akili kubwa sana?

Hawa watu wanaondoka kawaida au kuna system inawaondoa kwa kutumia akili kubwa sana?

Ipo namna yani kama ni ugonjwa kwanini uwe na selective sampling? Yani ukaangalia wanaonyofolewa ni watu flani specific badala ya random! Ina maana hili tatizo liko kwa ajili ya watu maalum tu? Seems like theres a specific mission ya ki undercover
Harafu familia zao wako fit kabisa, wake zao wanashare shuka kitanda, denda etc wako vizuri kabisa au Covid inawapenda wao tu.
 
There is something amiss - whether we acknowledge it or not....

Na loophole ya corona itatumika sana. Ukiangalia speechtrails then coincedences...

Remember the devil also wears 'prada'.
 
Habari Wakuu,

Inafika hatua naanza kujiuliza hawa watu wanaondoka katika mazingira ya kawaida tu au kuna system inawaondoa kwa kutumia mbinu zilizoenda shule?

Yaani Bwana yule na watu wake wa karibu wanaondoka mmoja baada ya mwingine huku yule mwingine akiponea chupuchupu baada ya kudaiwa kuugua Covid iliyomlaza kitandani na kulazimika kutumia mtungi kuokoa maisha yake ingawa leo kapanda cheo.

Naanza kujiuliza hii Covid ndio inatumika kuwaondoa maana kwa Bongo imekuwa ni too much katika kuondoa vigogo? Na kama ni Covid, mbona wanasita kuitaja? Au ndio wanatumia mwanya huu kuondoa ile inner circle yote ya Bwana Yule?

Yaani sasa napata mashaka kuwa huenda wanaishi na nyoka anaewagonga na kuwatemea sumu pasipo wao kujua. Nyoka huyo huenda asili yake ni humu humu ndani au katengenezwa kutoka huko nje ila kwa kushirikiana na wa ndani.

Hivi sasa hata ukiangalia baadhi ya picha zao za pamoja, utaona jinsi walivyopukutika mmoja baada ya mwingine mpaka unabaki kushangaa.

Kwa mtazamo wangu, hali hii sio ya kawaida wakuu unless ni hisia zangu tu.

Anyway, time will tell.
Albadir
 
Corona ipo na ukiizingua inakuzingua.
hawa vigogo na magonjwa yao yasio na tiba, Corona inabambataa..!
tulikosea toka mwanzo tulipo zifuata legacy za Mwendawazimu .
na tunavyochelewa kupata chanjo,
Mashaka matupu. MaCCM hatutawasamehe.

Mmh hao waliokua hawajadharau walikufa wangapi hivi[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna anayewaondosha dhambi walizoshirikiana kufanya zinaendelea kuwatafuna. Na zitawatafuna hadi vizazi vyao mmoja baada ya mwingine. List inaendelea.

Kwani kufa ni kitu cha ajabu jamani[emoji23][emoji23][emoji23] nyie ukoo wenu hamfiii
 
Kifo ni kifo tu hakuna mwenye kutegua hicho kitendawili..sisi ndio tunajaribu kuunganisha dots ..wewe binafsi angalia katika maisha yako umeondokewa na watu wa karibu yako wangapi...seif sharif na huyu fr privatus Kalugendo na wenyewe ni wa karibu na hayati?tuwe waangalifu aisee
Umemsahau Baregu
 
Wewe mwenyewe unaecoment hapa huna unyenyekevu kichwa kimevurugwa unaropokaropoka hovyo, halafu unataka wenzio wawe wanyenyekevu. Kumbuka kifo siyo adhabu bali ni mwisho wa binadamu kama ilivyokua mwanzo wake alipozaliwa. Kwahiyo hata wewe itafika muda wako utakufa tu hata kwa kujikwaa na mwenye mamlaka ya kuhukumu matendo yetu hapa duniani ni mungu siyo sisi binadamu.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app

Kabisa maana watu wanajifanya malaika watoa roho na Kujitia uMungu [emoji23][emoji23]
 
Mkuu maneno yako ni mada inayojitegemea.

Kila mtu hakosi mema yake, JPM alimaliza matatizo yote ya ufisadi wa umeme ndani ya mwaka mmoja.

Kafufua shirika la reli linaendeshwa na wazalendo, kafufua shirika la ndege na zinakuja tatu siku zijazo.

Kawezesha madini kuchenjuliwa hapa hapa TZ.

Akaihamisha Dodoma serikali ndani ya miaka miwili waliomtangulia miaka 40 iliwashinda.

Hizo story nyingi za ukatili Ni za upande mmoja, ule wa pili haupo kwani anayesemwa yupo ndani ya ardhi kwa sasa.

Upande wa ufisadi na uonevu ambao hayati alipigana nao unao watetezi, wamejaa humu jukwaani.

unaweza kukuta lenyewe lina madhambi tele na muda wa kujiombea na kuyaacha linao sasa linabaki linapambana na Marehemu asiyeweza kujitetea..

Hii mijitu chief ni mijinga sana aisee...nimeamini siku za karibuni kuwa ni mijinga na tukiiendekeza inaweza kusababisha maafa makubwa sana kwenye nchi hii...

JPM alivyokuwa hai ilishindwa kupambana naye, amekufa eti ndio inajifanya kupambana na marehemu na kuendelea kumsumbua mama ambaye amejaribu kuwa muungwana kwao..
 
Mkuu maneno yako ni mada inayojitegemea.

Kila mtu hakosi mema yake, JPM alimaliza matatizo yote ya ufisadi wa umeme ndani ya mwaka mmoja.

Kafufua shirika la reli linaendeshwa na wazalendo, kafufua shirika la ndege na zinakuja tatu siku zijazo.

Kawezesha madini kuchenjuliwa hapa hapa TZ.

Akaihamisha Dodoma serikali ndani ya miaka miwili waliomtangulia miaka 40 iliwashinda.

Hizo story nyingi za ukatili Ni za upande mmoja, ule wa pili haupo kwani anayesemwa yupo ndani ya ardhi kwa sasa.

Upande wa ufisadi na uonevu ambao hayati alipigana nao unao watetezi, wamejaa humu jukwaani.

Aisee kununua ndege ilikuwa ni kutatua tatizo au aliongeza matatizo mengine mengi zaidi?
Kuhamia Dodoma alitatua tatizo au ndio ameongeza matatizo na msongo wa mawazo kwa familia nyingi hapa nchini? kuna umuhimu gani wa kukaa Dodoma ambako hata sio mkoa wenye capital ambayo iko stable aisee uwe na reason mambo muhimu sana. Anachoweza kusifiwa nacho ni kuwa na wivu wa watu binafsi amefunga watu bila sababu na ukitaka kujua hilo angalia nini mama anafanya sasa hivi watu wanatoka mahabusu ni wengi sana tena kwa kufutiwa mashtaka. I wonder angekuwepo mpk leo hii, hii nchi ingekuwa kwenye lindi gani? mtu mpk Swahiba wake alimkacha?
 
Habari Wakuu,

Inafika hatua naanza kujiuliza hawa watu wanaondoka katika mazingira ya kawaida tu au kuna system inawaondoa kwa kutumia mbinu zilizoenda shule?

Yaani Bwana yule na watu wake wa karibu wanaondoka mmoja baada ya mwingine huku yule mwingine akiponea chupuchupu baada ya kudaiwa kuugua Covid iliyomlaza kitandani na kulazimika kutumia mtungi kuokoa maisha yake ingawa leo kapanda cheo.

Naanza kujiuliza hii Covid ndio inatumika kuwaondoa maana kwa Bongo imekuwa ni too much katika kuondoa vigogo? Na kama ni Covid, mbona wanasita kuitaja? Au ndio wanatumia mwanya huu kuondoa ile inner circle yote ya Bwana Yule?

Yaani sasa napata mashaka kuwa huenda wanaishi na nyoka anaewagonga na kuwatemea sumu pasipo wao kujua. Nyoka huyo huenda asili yake ni humu humu ndani au katengenezwa kutoka huko nje ila kwa kushirikiana na wa ndani.

Hivi sasa hata ukiangalia baadhi ya picha zao za pamoja, utaona jinsi walivyopukutika mmoja baada ya mwingine mpaka unabaki kushangaa.

Kwa mtazamo wangu, hali hii sio ya kawaida wakuu unless ni hisia zangu tu.

Anyway, time will tell.
Weka picha zao
 
Mkuu mambo ya kupotezana pia huwa na sababu, kwanini wewe hujapotezwa mpaka leo hii?,
kuna watu hawajui kwanini mpaka leo nchi iko salama, wanafikiri wanavyolala na kula bata basi watu wote wanakula bata na kulala...

Usalama wa nchi ni kitu cha siri sana na mamlaka tu ndizo zinajua...UMEMUULIZA SWALI ZURI SANA KWANINI YUKO SALAMA HAJATEKWA WALA KUPOTEA...
 
Mpaka kufika 2025, tunaweza kuwa na mkuu wa kaya/wakuu wa kaya wengine wa kurithi zaidi ya huyu wa sasa kama kweli Covid ndio inahusika na si vinginevyo.
Mungu wetu ni mwaminifu
Machozi na damu za wengi haya ndio matokeo
Watawala wajitafakari sana
Ni vyema wakatubu haraka
List itaongezeka
' Nitaweka uadui kati yako wewe na yule.... kati ya uzao wake na uzao wako....' Maandiko yanasema
Tubuni hamijui siku wala saa... watawala
 
Back
Top Bottom