Edward Sambai
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 2,823
- 3,831
Sio System Bwesheee ni DUA za watu waliopotezwa jamaa zao na kupokwa Mali zaoHabari Wakuu.
Inafika hatua naanza kujiuliza hawa watu wanaondoka katika mazingira ya kawaida tu au kuna system inawaondoa kwa kutumia mbinu zilizoenda shule?
Yaani Bwana Yule na watu wake wa karibu wanaondoka mmoja baada ya mwingine huku yule mwingine akiponea chupu chupu baada ya Covid kumlaza kitandani na kulazimika kutumia mtungi kuokoa maisha yake ingawa leo kapanda cheo.
Naanza kujiuliza hii Covid ndio inatumika kuwaondoa maana kwa Bongo imekuwa ni too much katika kuondoa vigogo?Na kama ni Covid, mbona wanasita kuitaja?Au ndio wanatumia mwanya huu kuondoa ile inner circle yote ya Bwana Yule?
Yaani sasa napata mashaka kuwa huenda wanaishi na nyoka anaewagonga na kuwatemea sumu pasipo wao kujua. Nyoka huyo huenda asili yake ni humu humu ndani au katengenezwa kutoka huko nje ila kwa kushirikiana na wa ndani.
Hivi sasa hata ukiangalia baadhi ya picha zao za pamoja, utaona jinsi walivyopukutika mmoja baada ya mwingine mpaka unabaki kushangaa.
Kwa mtazamo wangu, hali hii sio ya kawaida wakuu unless ni hisia zangu tu.
Covid ni kidogo sana na haina madhara sana,sema wengine mnao comment humu ni wale wale wabaya tuPhase 3 ipo hewani kwa sasa. Kuna watu wanaongelea haya matatizo kwa dhihaka lakini yapo.
Cha muhimu ni kuachana nazo. Adui bado tunae na kupambana nae ni wajibu wa kila mmoja wetu.
But not to this extent!Tusipaniki hii ndiyo dunia ni mapito
Yawezekana kwa kuwa hatupimi Corona to the grassroot level.Mkuu,
Inawezekana mabalozi wa nyumba kumi wengi wanakufa wewe huwajui tu.
Mbona watu kibao wanaondoka kila siku?
Hao watu fulani specific unawaona vizuri kwa sababu wapo kwenye spotlight.
Pole sana yaani hili umelijua leo? Yaani ukiona covid imetangazwa kwa mbwembwe zote jua kuna anae ondoka.Habari Wakuu.
Inafika hatua naanza kujiuliza hawa watu wanaondoka katika mazingira ya kawaida tu au kuna system inawaondoa kwa kutumia mbinu zilizoenda shule?
Yaani Bwana Yule na watu wake wa karibu wanaondoka mmoja baada ya mwingine huku yule mwingine akiponea chupu chupu baada ya Covid kumlaza kitandani na kulazimika kutumia mtungi kuokoa maisha yake ingawa leo kapanda cheo.
Naanza kujiuliza hii Covid ndio inatumika kuwaondoa maana kwa Bongo imekuwa ni too much katika kuondoa vigogo?Na kama ni Covid, mbona wanasita kuitaja?Au ndio wanatumia mwanya huu kuondoa ile inner circle yote ya Bwana Yule?
Yaani sasa napata mashaka kuwa huenda wanaishi na nyoka anaewagonga na kuwatemea sumu pasipo wao kujua. Nyoka huyo huenda asili yake ni humu humu ndani au katengenezwa kutoka huko nje ila kwa kushirikiana na wa ndani.
Hivi sasa hata ukiangalia baadhi ya picha zao za pamoja, utaona jinsi walivyopukutika mmoja baada ya mwingine mpaka unabaki kushangaa.
Kwa mtazamo wangu, hali hii sio ya kawaida wakuu unless ni hisia zangu tu.
Baada ya hapo tunafuta na majina.
Nimekumbuka ya amina chifupaInanijia hisia ya namna hii sababu kwa utashi tu wa kibinadamu ukiwaza kwamba hawa watu ambao ni inner circle ya JPM mbona ndio wananyofoka mmoko mmoko kadri siku zinavyoenda? Kuna nini kimejificha?
Kamanda dai katiba mpya...kifo ni lazima na wewe utalala siku moja. Kifo siyo siasa zenu za bavicha. Prof. Baregu ilikuwa COVID-19?
KUNA MTU ANAKUFA KABLA YA SIKU ZAKE MKUU?
Mkuu, hata level ya familia kuna wazee wengi wanakufa. Mimi hapa nilipo nina msiba.Yawezekana kwa kuwa hatupimi Corona to the grassroot level.
Wale tunaosikia kufa nje ya family zetu ni wazito au celebrities, n.k wako kwenye spotlight.
Hatuwezi kupuuza Covid-19 kwani inajibadirisha badirisha na kuleta madhara makubwa kuliko ya mwanzo.
Tusiwe kama Kijikitile vita ya maji maji kuwa risasi itageuka maji.
Lakini hatuwezi kupuuza mmoja kwa mmoja mtililiko wa vifo vya inner circle ya JPM.
Wewe hiyo nchi watu wanazikwa bado wakiwa hai kwa kukosa vifaa vya kupima watu kama wamekufa kweli.Pole sana yaani hili umelijua leo? Yaani ukiona covid imetangazwa kwa mbwembwe zote jua kuna anae ondoka.
Hivi umejiuliza tangu mwezi wa tatu alivyofariki covid ikaenda likizo sasa hivi imerudi kwa nguvu bado macho hayajafunguka? Wake up!!!!
Mmmh umeongea kitu hapa great thinkerPole sana yaani hili umelijua leo? Yaani ukiona covid imetangazwa kwa mbwembwe zote jua kuna anae ondoka.
Hivi umejiuliza tangu mwezi wa tatu alivyofariki covid ikaenda likizo sasa hivi imerudi kwa nguvu bado macho hayajafunguka? Wake up!!!!
Unaweza kushangaa umeondoka weee[emoji848]Nitarudi hapa mwezi wa kumi nitakuja kuona wamebaki wangapi[emoji470][emoji470][emoji188][emoji188]
Mkuu bavicha wana mavi vichwani mwao.Kamanda dai katiba mpya...kifo ni lazima na wewe utalala siku moja. Kifo siyo siasa zenu za bavicha. Prof. Baregu ilikuwa COVID-19?
Corona ni zaidi ya siasa zetu za kunyosheana vidole. Imeua dunia nzima. Rafiki yangu mmoja yupo USA anatumia mask muda wote na gari lake halikosi na nyumbani hakosi sanitizers lakini mwaka jana alilala kitandani wiki nzima.Tunachana nayo ghafla namna gani kama taifa. Niliandika uzi huu:
Madhara ya Awamu ya Tano yanayofumbiwa Macho
Mabibi na mabwana awamu ya tano imepita na sasa kazi inaendelea katika awamu ya sita chini ya Rais Samia. Kwamba tupo awamu ya sita itakuwa kutojitendea haki mno kutoyaangazia kabisa madhara ya awamu ya tano kwa awamu ya sita yote chanya na hasi. Kwa uzi huu itoshe kuyaangazia madhara hasi ya...www.jamiiforums.com
Madhara yote hasi na chanya ya awamu ya tano tunapaswa kuyajua na kuyakabili.
Cc: Salary Slip
Okoa afya mkuu hao uswahilini wanazo shida zao pia.Covid ni kidogo sana na haina madhara sana,sema wengine mnao comment humu ni wale wale wabaya tu
Covid iwaache watu uswahilini,iende kuondoa mihimili? Tuko na akili mbona
Inawachukua wa upande mmoja.au wa upande wa magu ndio inawavutia zaidi?.Wanaenda zao na corona