Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,876
- 3,942
Uhuru wa kuabudu na sheria hazivunjwi, ila kwa mambo kama haya uhuru umepita kiasiWatanzania watakumbia ni uhuru wa kuabudu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhuru wa kuabudu na sheria hazivunjwi, ila kwa mambo kama haya uhuru umepita kiasiWatanzania watakumbia ni uhuru wa kuabudu
Yes unajikuta tu tayari upo eneo la tukio unakanyaga mafuta siku hizi wanabebeshwa udongo, wengine walikua wanabebeshwa nywele na kichwa, uko mbele mbele wengine wanaogeshwa uchi, kilichobaki ni kutembezwa uchi tuNi kweli kabisa, sometimes maisha yakikupiga unaweza jikuta unafanya vitu vya ajabu
😄😄😄😄😄Wa mchongoHao akili hawana kabisa kama hawa tu.🤣🤣
View attachment 2472378
Ingekuwa Jelly ungeenda kupata kitonga cha wese la kupiga Bakari Nondo.sprayer tank in action
natafuta kimoja hapa cha kufungia sikuIngekuwa Jelly ungeenda kupata kitonga cha wese la kupiga Bakari Nondo.
Kwa kumuangalia tu,ni tapeli mzoefu huyuHao akili hawana kabisa kama hawa tu.🤣🤣
View attachment 2472378
Mpigaji na wapigwaji wana matatizo ya akiliMambo ya upako hayo.
Kama hawavunji sheria za nchi wanaachwa tu ni nyenzo muhimu inayotumika na serikali kudumisha amani na usalama. Watu wakishinda makanisani unapunguza majambazi na vibaka mtaani ndio maana taasisi za dini zinasajiliwa na wizara ya mambo ya ndaniSerikali ifikie hatua ipige marufu ibada za namna hii
We!🤪Oooh shika rabaaaaa....
Ingekua Waislamu ndo wanafanya upuuzi huu Uzi ungekua ushafika 1k huko ila wacha wafu wazike wafu waoMambo ya upako hayo.
Ingekua Waislamu ndo wanafanya upuuzi huu Uzi ungekua ushafika 1k huko ila wacha wafu wazike wafu wao
nyie wakiristo niwajinga sana.hebu eleza unafki wawa islamu uko wapi?Ukristo huwa uko wazi siku zote na watu wamesha yazoea hayo na hata kwenye maandiko yao hayo yameelezewa na kutabiliwa kitokea…shida uislam umejaa unafiki kujiona na kujitangaza kuwa wako na haki ila matendo yao ni tofauti yani ile kinafiki.
Huwezi amini wakristo ndio wanajinasibu wao wasomi sana duniani lakini mambo wanayoyafanya yanasikitishaSijui nini kinawafanya watu kuwa namna hiyo.
Kuna verse inasema "enyi wagalatia msio na akili ni nani aliye ...."Mpigaji na wapigwaji wana matatizo ya akili