Hawataki kukubali ukweli kuwa Rais Samia anatuongoza vyema

Hawataki kukubali ukweli kuwa Rais Samia anatuongoza vyema

Hahaha ukiona mfu anamtesa alie hai ujue alie hai ni hana kitu kutwa mzima mnashinda na marehem mafala kweli nyie
Ipo haja ufundishwe hata kusoma soma historia na vitabu vya dini. Watawala woote waovu, wanyama, wadhalimu wanasemwa mpaka kufa kwako bado watasemwa huelewi kasome biblia au msuafu utakutana na hadithi za kina pharao na wengine wengi. Shetani lazima akemewe hauwezi kumtukuza shetani
 
Sasa biashara ya Wanyamapori imeanza Jana au juzi?

Vitalu vya uwindaji wa kitalii huwa vipi Kwa ajili gani?

Mabucha ya Nyama pori yameanzishwa kwa ajili gani?

Uza hao wanyama kwanza wameshzidi wanaua Sana watu,maviboko,crocodiles,tembo nk wavunwe wapungue.
Wazo zuri. Walitaka kuwapeleka burigi sijui bugiri.
 

Attachments

  • 3D6C401E-2AE2-42A7-8755-E3D4CE5E87A6.jpeg
    3D6C401E-2AE2-42A7-8755-E3D4CE5E87A6.jpeg
    47.8 KB · Views: 5

Usafirishaji wa twiga Sasa ruksa.​

Sina uhakika kama hiyo taarifa ni kweli lakini pia ukiisoma mwisho inasema waliokuwa kwenye mashamba au mazizi ya kuwafuga hao wanyama pori
 
Sina uhakika kama hiyo taarifa ni kweli lakini pia ukiisoma mwisho inasema waliokuwa kwenye mashamba au mazizi ya kuwafuga hao wanyama pori
 
Barua ya uongo hii. Haina hata mhuri wala saini ya wizara husika.
 
Sawa. Ila haujaambiwa watachukua waliopp kwemye hifadhi. Bali waliosalia kipindi hicho
 
Habari wakuu sijawahi andika hapa kwenye hili jukwaa la siasa ila leo acha ni andike kidogo tu.

Mhe Samia Suluhu Hassan ambaye ndiye raisi wetu ameonyesha muelekeo mzuri kwa kiasi kikubwa katika uongozi wake japo ni mapema kidogo.

Wapo watu bado sijui ni seme wana usingizi au bado giza limetanda machoni mwao kwa maana ya kutoona tofauti ya awamu hii ya 6 na ile ya 5. Binafsi na furahishwa na utendaji wa rais wetu wa awamu iliyopo madarakani Mhe Samia Suluhu Hassan, kwa kuangalia namna anavyo zingatia ushirikishwaji wa idara zote katika kutenda au kufanya jambo husika ndani ya uongozi wake.


Ndio yapo mapungufu machache hatuwezi sema yupo 100% ila kwenye hizo asilimia naimani amefikia 80% kupanda juu.

Aliipokea nchi kipindi kigumu hasa kufiwa na kiongozi mkuu wa nchi jambo ambalo ni geni.katika hili taifa letu. Yote alijitajidi na ameweza kutuunganisha kwa itikadi zetu tofauti tofauti, leo chadema na CCM wanacheka, CUF na Chedema wanakaa pamoja na CCM mtaani tunapiga story kadha wa kadha.

Mambo ya kukaa mwaka bila ajira kwa wahitimu yameanza kutatuka japo idadi ya waliopo mtaani ni kubwa mno. Miradi iliyo achwa inakamilishwa na ameongeza miradi mingine. Fikiria ujenzi wa madarasa kwa mamia kwa shule zetu ni jambo jema na la kupendeza. Mhe amejitahidi kushirikiana na wataalamu kwa kila idara inayohitaji utaalamu.

Ukiangalia kupandishwa madaraja kwa wafanyakazi wa umma wataalamu wamekaa na kuja na ripoti nzuri ambayo imetumika kuwaongezea mshahara wafanyakazi wa umma.

Demokrasia ile tuliyo izoea imeanza kurudi mahala pake, mambo ya kufanya maamuzi gizani hayapo tena.

Nyakati zimebadilika ila wapo wanaosema hafanyi lolote kwa macho yao yaliyozibwa ambayo hayaoni mabadililo kadhaa basi hawa tuwaweke kundi lile linalo tajwa "SUKUMA_GANG" hawa watu wao hawataki kuamini tusemalo au kuona watu tunaishi kwa amani, furaha na ushirikiano ambayo ndiyo tamaduni yetu.

Kuishi kwa mashaka au kuishi bila kukosoana katika taifa matokeo yake sio mazuri kikubwa tukosoane kwa hekima na kwa manufaa ya hili taifa letu.

Walionyimwa stahili zao wanasema wenyewe kuwa wanalipwa sasa hivi ni jambo jema taifa letu lina rudi mahala pake pa utu kwa watu wake.

Waliosema hataweza kutuongoza sijui wanajisikiaje..? Au nyie mnaoponda sijui mna roho au mawe.??

Kaushauri kwangu kwa utawala wake. Mhe Raisi kile kikokoteo kipya cha mafao nashauri au naomba wastaafu wapewe hela zao kwa namna wanavyotaka wao. Anaetaka kupewa yote apewe akishastaafu, anaetaka % kadhaa apewe kwa namna anayoona inamfaa yeye. Pesa ni zao wastaafu wasipangiwe wajipangie. Kikubwa washauriwe na wapate muongozo utakao wasaidia.

Mwisho. Myonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Mama anaupiga mwingi saana. Ni ombi kwa Mungu wangu wa mbinguni baba mwenye enzi zidi kumlinda na kumpa hekima Raisi wetu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan. View attachment 2250175

Weekend njema wakuu. Sabato ikawe njema na mzidi kumuombea raisi wetu
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Kama anatuongoza vyema si muache watu waone wenyewe?
 
Habari wakuu sijawahi andika hapa kwenye hili jukwaa la siasa ila leo acha ni andike kidogo tu.

Mhe Samia Suluhu Hassan ambaye ndiye raisi wetu ameonyesha muelekeo mzuri kwa kiasi kikubwa katika uongozi wake japo ni mapema kidogo.

Wapo watu bado sijui ni seme wana usingizi au bado giza limetanda machoni mwao kwa maana ya kutoona tofauti ya awamu hii ya 6 na ile ya 5.

Binafsi na furahishwa na utendaji wa rais wetu wa awamu iliyopo madarakani Mhe Samia Suluhu Hassan, kwa kuangalia namna anavyo zingatia ushirikishwaji wa idara zote katika kutenda au kufanya jambo husika ndani ya uongozi wake.

Ndio yapo mapungufu machache hatuwezi sema yupo 100% ila kwenye hizo asilimia naimani amefikia 80% kupanda juu.

Aliipokea nchi kipindi kigumu hasa kufiwa na kiongozi mkuu wa nchi jambo ambalo ni geni.katika hili taifa letu. Yote alijitajidi na ameweza kutuunganisha kwa itikadi zetu tofauti tofauti, leo chadema na CCM wanacheka, CUF na Chedema wanakaa pamoja na CCM mtaani tunapiga story kadha wa kadha.

Mambo ya kukaa mwaka bila ajira kwa wahitimu yameanza kutatuka japo idadi ya waliopo mtaani ni kubwa mno. Miradi iliyo achwa inakamilishwa na ameongeza miradi mingine. Fikiria ujenzi wa madarasa kwa mamia kwa shule zetu ni jambo jema na la kupendeza. Mhe amejitahidi kushirikiana na wataalamu kwa kila idara inayohitaji utaalamu.

Ukiangalia kupandishwa madaraja kwa wafanyakazi wa umma wataalamu wamekaa na kuja na ripoti nzuri ambayo imetumika kuwaongezea mshahara wafanyakazi wa umma.

Demokrasia ile tuliyo izoea imeanza kurudi mahala pake, mambo ya kufanya maamuzi gizani hayapo tena.

Nyakati zimebadilika ila wapo wanaosema hafanyi lolote kwa macho yao yaliyozibwa ambayo hayaoni mabadililo kadhaa basi hawa tuwaweke kundi lile linalo tajwa "SUKUMA_GANG" hawa watu wao hawataki kuamini tusemalo au kuona watu tunaishi kwa amani, furaha na ushirikiano ambayo ndiyo tamaduni yetu.

Kuishi kwa mashaka au kuishi bila kukosoana katika taifa matokeo yake sio mazuri kikubwa tukosoane kwa hekima na kwa manufaa ya hili taifa letu.

Walionyimwa stahili zao wanasema wenyewe kuwa wanalipwa sasa hivi ni jambo jema taifa letu lina rudi mahala pake pa utu kwa watu wake.

Waliosema hataweza kutuongoza sijui wanajisikiaje..? Au nyie mnaoponda sijui mna roho au mawe.??

Kaushauri kwangu kwa utawala wake. Mhe Raisi kile kikokoteo kipya cha mafao nashauri au naomba wastaafu wapewe hela zao kwa namna wanavyotaka wao. Anaetaka kupewa yote apewe akishastaafu, anaetaka % kadhaa apewe kwa namna anayoona inamfaa yeye. Pesa ni zao wastaafu wasipangiwe wajipangie. Kikubwa washauriwe na wapate muongozo utakao wasaidia.

Mwisho. Myonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Mama anaupiga mwingi saana. Ni ombi kwa Mungu wangu wa mbinguni baba mwenye enzi zidi kumlinda na kumpa hekima Raisi wetu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan. View attachment 2250175

Weekend njema wakuu. Sabato ikawe njema na mzidi kumuombea raisi wetu
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Watakubali tu, ni suala la muda
 
Back
Top Bottom