OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mkapa mmemuweka wapi katika ripoti hii ya Makinikia ya CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilifikiri mimi tu ndio najuwa hivyo! Unayosema ni 100% hasa suala la.kumkimbia mtu kwa sababu akikataa kuendlea itakuwa ni aibu, lazima itafutwe sababu itakayokubalika kwa yeye kuondoka hapo alipo sasa!FYI 2020 anakua Rais WA smz anamkimbia Chikungunya!
Tunamsubiri,ila tunaomba asitafune maneno yake1. Bulembo: Kauza shule 6 za Jumuiya ya wazazi
2. Waziri Mkuu Majaliwa: Aliuziwa moja ya shule ya wazazi na Bulembo kwa bei ya kutupwa. Kisha alipoenda kuhojiwa na kamati ya Dr. Bashiru wasaidizi wake waliwakufukuza kama mbwa
3. Lowassa: Alikwapua share za CCM katika miliki ya jumla ya Channel Ten
4. January Makamba: Alishiriki kuuza share za Halotel zilizokuwa zinamilikiwa na CCM
5. Nape Nauye: Baada ya uchaguzi Mkuu alichukua magari 3 VX mapya ya CCM
6. Shaka H Shaka: Alifoji hati ya maeneo ya UVCCM kwa kushirikiana na mwekezaji kisha kuchukua mkopo bank zaidi ya dola laki 200,000
7. Mbunge Sixtus Mapunda: Wizi wa mamilioni katika mashamba ya Igumbiro, pamoja na kufoji muhtasari ya baraza la wadhamini. Hii ni pamoja na kufoji saini za wajumbe wa baraza hilo na aliyekuwa Mwenyekiti Dr. Nchimbi
8. Jumuiya ilioongoza kwa ubadhirifu ni ya Wazazi ikifuatiwa na jumuiya ya Vijana (UVCCM)
9. Baadhi ya wahusika kupandishwa kizimbani kuanzia wiki ijayo June, 2018 akiwemo Shaka na Sixtus Mapunda
10. Makatibu wa mikoa zaidi ya 10 wa Chama wahusika na ubadhirifu wa kufa mtu
11. Makatibu wa mikoa 8 wa UVCCM wahusika na ubadhirifu wa kufa mtu
NB: Dr. Bashiru ameapa kuwawajibisha kila mmoja aliyeonekana hata katika page moja ya karatasi.
Kwanza makinikia yenyewe yapo wapi? Bora wangetumia kuzibia makorongo ya mvua barabaraniHakuna mtu wa kuwajibishwa hapo. Kuna watu walitajwa kwenye ripot ya makinikia lakini hadi leo wanakula bata 2
HAnaga time na vi deal vidogo vidogo hivyo mkuu; ye zake ni mabilioni, sio tumilioni 2 au tutatu; sasa kama hayo mavx ya Nape kweli jamaa anaweza kuingia kweli!? Huyo Mnyantuzu sio kabisa.Joka lenye makengeza humu limepona
Mbona hamjaelezea na pesa za kununua wanachama wa upinzani ilikuwa inatoka ktk mfuko gani?1. Bulembo: Kauza shule 6 za Jumuiya ya wazazi
2. Waziri Mkuu Majaliwa: Aliuziwa moja ya shule ya wazazi na Bulembo kwa bei ya kutupwa. Kisha alipoenda kuhojiwa na kamati ya Dr. Bashiru wasaidizi wake waliwakufukuza kama mbwa
3. Lowassa: Alikwapua share za CCM katika miliki ya jumla ya Channel Ten
4. January Makamba: Alishiriki kuuza share za Halotel zilizokuwa zinamilikiwa na CCM
5. Nape Nauye: Baada ya uchaguzi Mkuu alichukua magari 3 VX mapya ya CCM
6. Shaka H Shaka: Alifoji hati ya maeneo ya UVCCM kwa kushirikiana na mwekezaji kisha kuchukua mkopo bank zaidi ya dola laki 200,000
7. Mbunge Sixtus Mapunda: Wizi wa mamilioni katika mashamba ya Igumbiro, pamoja na kufoji muhtasari ya baraza la wadhamini. Hii ni pamoja na kufoji saini za wajumbe wa baraza hilo na aliyekuwa Mwenyekiti Dr. Nchimbi
8. Jumuiya ilioongoza kwa ubadhirifu ni ya Wazazi ikifuatiwa na jumuiya ya Vijana (UVCCM)
9. Baadhi ya wahusika kupandishwa kizimbani kuanzia wiki ijayo June, 2018 akiwemo Shaka na Sixtus Mapunda
10. Makatibu wa mikoa zaidi ya 10 wa Chama wahusika na ubadhirifu wa kufa mtu
11. Makatibu wa mikoa 8 wa UVCCM wahusika na ubadhirifu wa kufa mtu
NB: Dr. Bashiru ameapa kuwawajibisha kila mmoja aliyeonekana hata katika page moja ya karatasi.
Hahahahakumbe waliokuwa wanasema ccm ni wezi walikuwa wanayaona hayo
HahahahaShaka ametisha..$200000 Mae, MTU kama huyo hatokuelewa ukimwambia habari za vyuma kukaza
Mungu anaweza asiwe tayari,kwanini hata Lucifer kubwa la maadui asifanye yake?Hii imedhihirisha akina mama wanastahili kupewa uongozi wa nchi! Au tuseme UWCCM hawana mali za kufisadi? Mungu fanya hima mama Samia akabidhiwe nchi!
Bashe nahisi hajawahi kushika madaraka ccm yakumfanya kuwa fisadi...Mbona hiki chama kina mali nyingi kuzidi serekali kulikoni? Huu mzigo mpya umeingia sokoni mbonge la muvi mbona sijamuona Bashe kwenye hii muvi mpya
9. Baadhi ya wahusika kupandishwa kizimbani kuanzia wiki ijayo June, 2018 akiwemo Shaka na Sixtus Mapunda
NB: Dr. Bashiru ameapa kuwawajibisha kila mmoja aliyeonekana hata katika page moja ya karatasi.
[HASHTAG]#yajayoyanafuraisha[/HASHTAG]Wenye HAKIMA ya ziada hukaa KIMYA, Nami NAKAA KIMYA! MUDA NI mwalimu mzuri,utasema(time will tell)
Chama kilikuwepo kabla ya serikali..Mbona hiki chama kina mali nyingi kuzidi serekali kulikoni? Huu mzigo mpya umeingia sokoni mbonge la muvi mbona sijamuona Bashe kwenye hii muvi mpya
Naomba kujua wanshtakiwa na CCM au SEREKALI au utaratibu upi unatumika kupeleka haya mashtaka?
MaANA NAONA KAMA NI MADAI BINAFSI HUKO NA YANATAKIW AKUSIMAMIWA NA WANASHERIA WA CHAMA.