Haya mahesabu ya Wazungu dhidi ya Urusi ni hatari

Akili za Watanzania hata shetani anazishangaa😄😄😄
Huyu huyu Mrusi ambaye anahenyeshwa na ka nchi kama Ukraine ? Au mwingine?
 
Endelea kuota dada, hao shoga zako wataonea nchi maskini tu lakin kwa hzi nchi Russia, china, Iran, NK hawana ubavu wa kupambana nao zaidi ya vikwazo.

Mnaichukulia sana poa RUSSIA
 
Urusi keshaingia Cha kike, lazima achuchumae.
 
Kaka iko wazi kuwa urusi hajaingia kwenye vita na Ukraine, hii ni operesheni maalumu.
Urusi amewa treat Ukraine ki gentle sana.
1. Wanajeshi waliopelekwa Ukraine unaweza kuta hata kamandi 5 hazifiki.
2. Urusi kawa mkarimu hata kwa wenyeji wa ukraine, kuna video unaona kabisa wakazi wa ukreini wakiwazomea na kuwatupia madude gani yale yako kama mabomu ambayo ukreini ni maarufu nayo, lakini most of them walikuwa left unpunished. Kama kweli urusi angetaka kumaliza hii shughuli mapema nadhani ukreini sasa hivi ingekuwa na wakaz wachache sana. The operesheni is slow advancing but sure.
3. Zana anazotumia urusi ni zle za kizamani sana ukilinganisha na vifaa alivonavo, kuna wakati alitumia hypersonic missile watu mkaanza kelele nyingi
4. Urusi anauwezo wa kuifuta ukrein ndani ya siku moja ni vile tu ana huruma na wadogo zao wanaoshea vinasaba
 
lete hoja acha porj

Imebidi nikupuuze maana nabishana na mshamba nikishaona mtu unacharacter za kishamba kama hizi. Dogo unaonekana mahaba US yamezid sana mtu upo Igunga ndani ndani huko ila location umeweka NY[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Huu ni ushamba sana siwezi kuendelea kubishana nawewe manake kila tutakaloongea hapa tutapoteza muda tu. Mr NY[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mtu mwenye hizi mambo namchukuliaga mshamba sana[emoji38][emoji38]
 
Mabeberu wanajua kucheza na muda sana. Mpk sasa Mrusi bado hajachukua nchi.
Kinachofanyika Ukraine atapewa silaha, hapo vita itachukua muda mrefu sana kwahiyo Mrusi hii itamuathiri kwasabb atatumia pesa nyingi sana kwenye vita.
Putin kacheza karata mbovu sana. Alikuwa ana mpango wa kuichukua Ukraine lkn ameshaikosa. Kameingia EU nini kinafuata?
Urusi anapigwa taratibu kama Libya. Gadhafi alifikiri anapigana na wanalibya kumbe na nchi za Magharibi
Vichekesho kama hivi tubonyeze ngapi?
 
Wewe ni mtu mjinga na wa ajabu sana serious ndo umeandika ugoro gani apa mze yaani najaribu kuuficha ukweli kwamba Urusi hakubondwa kule kiev serious mzee ama kweli una mahaba na Putin
 
Mkuu hii uliyotaja ni formality tu lakini nyuma ya pazia hali ndivyo itakavyokuwa, kwani saivi mbona EU na Marekani wanaisaidia silaha Ukraine, wanaisaidia kwa umoja wao upi?? taja.,
NATO. Ndio maana husikii nchi nje ya NATO wanapeleka silaha. Ushasikia Swedeen au Finland kapeleka silaha?
 
Wala siyo kweli. Putin hana uwezo huo kwasasa. Kiufupi hii vita urusi alikurupuka
Una kitu gani cha kuchukua Ukraine? Marekani atabaki kuwa Superpower country miaka 1000.
Unapigana vita ili uonekane una silaha kali sana. Putin hana akili aisee

 
Acha kufananisha Urusi na vitu vya kipumbavu ata siku moja, hiyo ulaya kama unataka ibaki majivu na tuipoteze kwenye ramani ya ulaya ikaingilie hiyo vita, ulaya wanachoweza ni propaganda tu wakiongozwa na paparazi mkuu marekani.
 
Mimi nachoona hapa ni anguko la EU huwezi kuingia vitani na mtu ambae kabla hujapigana nae una shortage ya chakula na nishati,trust me hiyo ni danganya toto naona kuinuka kwa utawala wa mrumi unanukia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…