Embu acha mambo yako ya ajabu bhana wee jamaa vip aseeVita vyote vya duniani hupangwa na kuzimu. Vinaratibia na illuminanti au elites yaani wenye akili nyingi za dunia hii. Vita huhusisha umwagikaji mkubwa wa damu, na damu ndicho chakula kikuu cha mashetani ya kuzimu. Tuko majira ambayo Bwana Yesu anakuja kuwanyakua walio wake. Laiti tungemwamini Yesu, tukaamua kumpa maisha yetu ili ajapo asituache. Dunia itaendelea kuwa sehemu mbaya ya kuishi, ladha ya dunia itaendelea kupotea.
YESU KRISTO ni BWANA na MWOKOZI
Tunaomba Mungu Ukraine apewe membership afu tuone EU watakachofanya. Nasubir kwa hamu sana.
Before operation mlisema Russia hawezi ingia Ukraine mlipiga kelele zote mara NATO wameweka mtego ambao ni ukraine aingie anase ila mwisho wa siku wamepiga kelele weee lakin hakuna Action yoyote zaid wanatuma silaha lakini hazina impact kwa Russia.
Sahv mmeanza tena kelele Ukraine aingie EU ili asaidiwe lakin nakuambia mpaka Russia anamaliza Operation yake Ukraine hata ingia EU na hakuna chochote EU watafanya wakiongozwa na shoga yao US.
Russia hajalala mkuu the way West wanapanga against Russia pia VISEVERSA is true. Never Underestimates the power of Russia. Hawa jamaa wamejipanga sana West walikurupuka sana walifikiri vikwazo vitamtoa kwenye raman Russia kumbe ndo vimekua moto kwao.
HAKUNA nchi Ulaya ya kuingia kwenye vita na Russia direct hakuna, EU wanamtegemea US na US hawezi pigana na Russia. Hapo ndo mjue kwanini mataifa 30 yanahangaika na kataifa kamoja Russia
Aisee naomba source ya huu ujinga ulioandika hapa. Ni wapi Russia alisema anataka kuichukua Ukraine??Mabeberu wanajua kucheza na muda sana. Mpk sasa Mrusi bado hajachukua nchi.
Kinachofanyika Ukraine atapewa silaha, hapo vita itachukua muda mrefu sana kwahiyo Mrusi hii itamuathiri kwasabb atatumia pesa nyingi sana kwenye vita.
Putin kacheza karata mbovu sana. Alikuwa ana mpango wa kuichukua Ukraine lkn ameshaikosa. Kameingia EU nini kinafuata?
Urusi anapigwa taratibu kama Libya. Gadhafi alifikiri anapigana na wanalibya kumbe na nchi za Magharibi
Wala siyo kweli. Putin hana uwezo huo kwasasa. Kiufupi hii vita urusi alikurupuka
Una kitu gani cha kuchukua Ukraine? Marekani atabaki kuwa Superpower country miaka 1000.
Unapigana vita ili uonekane una silaha kali sana. Putin hana akili aisee
Sasa mbona wanalia hali mbaya kama Russia kapoteza hizo idadi, mtu mzima kama wewe kuendeleza propaganda ni aibu. Zelenskyy mwenyewe anakili hali mbaya.
Kaka iko wazi kuwa urusi hajaingia kwenye vita na Ukraine, hii ni operesheni maalumu.
Urusi amewa treat Ukraine ki gentle sana.
1. Wanajeshi waliopelekwa Ukraine unaweza kuta hata kamandi 5 hazifiki.
2. Urusi kawa mkarimu hata kwa wenyeji wa ukraine, kuna video unaona kabisa wakazi wa ukreini wakiwazomea na kuwatupia madude gani yale yako kama mabomu ambayo ukreini ni maarufu nayo, lakini most of them walikuwa left unpunished. Kama kweli urusi angetaka kumaliza hii shughuli mapema nadhani ukreini sasa hivi ingekuwa na wakaz wachache sana. The operesheni is slow advancing but sure.
3. Zana anazotumia urusi ni zle za kizamani sana ukilinganisha na vifaa alivonavo, kuna wakati alitumia hypersonic missile watu mkaanza kelele nyingi
4. Urusi anauwezo wa kuifuta ukrein ndani ya siku moja ni vile tu ana huruma na wadogo zao wanaoshea vinasaba
Kamfuate huko chato chini alikolala.Hiki kipindi walikadilia vizuri sana kumpunguza Magufuli angekutana nacho hakika dunia ilikua inaenda kuona mabadiliko makubwa ya Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla alale salama Dkt. John Pombe Magufuli.
Ah thubutu yako!Niko na mama yako hapa kitandani tunalima na kupanda eeh nabado naendelea kumwagiliaa
Nyie sijui mnakuwa na fikra za aina gani. Yaani Russia aivamie Moldova au Lithuenia au Estonia ndio vita ipiganwe kati ya russia na nato sababu tu warussia wamemgusa mwanachama mwenzao! Hii haiwezi kutokea. Labda aguswe German, France n alike. Sio hivyo vitakataka vinavyojiita nchi.Ni hivi mkuu kama wangeweza kumpa misaada direct wasingefikia kufanya uamuz mgumu hiv ,ishu inayosadikika ni kuwa baada ya kujiunga na kupata status ya EU membership ,umoja wa ulaya kupitia policy yake ya ulinzi itaunda operation maalumu dhid ya kumlinda mwanachama mwezao ,ukumbuke pia member weng wa EU wako NATO hivyo wanaamini kabisa lazima Russia itarespond ,ni kama mtego maana Russia hatua yoyote ya kijeshi atakayotumia dhid ya EU inaweza ikaigusa NATO ,na hapo ndipo wanamtaka puttin ajichanganye aguse NATO member yoyote.ili wapate sababu ya kuingia direct ,maana hii vita bila kuingia direct Ukraine hataweza hata akisaidiwa vipi .
Ameshatumia laser weapons, hypersonic missiles n.k zote hizi ni silaha za kisasa katika ulimwengu huu. Bado wanaendelea kumsoma tu.Kwanza kila nchi ya Ulaya ina Nukes, isitoshe imeshagundulika zana nyingi za Mrusi ni Obsolete, hana jipya, pili Mrusi ana silaha lakini hana mbinu za Kivita, mfumo wa jeshi lake sio wa kisasa, sasa hivi Vita vinapiganwa kwa Tekinolojia, Kabla haujalaunch hiyo Silaha yake atakuwa ameshashambuliwa, Kwa taarifa yako kupitia Vita hii Amejiexpose sana.
Tunaingia mwezi wa tano sasa wa operation.Military capability gani wakati tumeshuhudia aibu ya Mrusi pale Kyev, hovyoo sana, kainchi kadogo kamemsumbua akili.
Mrusi pona yake ni manyuklia kule ghalani hamna kingine, mpaka sasa angekua ashatiwa adabu.
Hata waarabu na dini yao watamhama, hawatanunua dhana kutoka kwake tena.
Ila Wakenya akili zenu sijui mlipelekaga wapi asee, [emoji1316]. Tunajua wakenya ni washika buti wa US akianguka uyo Mr. Canon hamna chenu. Poleni
Aisee naomba source ya huu ujinga ulioandika hapa. Ni wapi Russia alisema anataka kuichukua Ukraine??
Baba tofautisha military operation au civilian operation na VITA. Kinachopiganwa pale Ukraine ni VITA kwa mgongo wa military operation. EU , mmarekani mkorea mjapan hamna atakayetia mguu pale....Under the Common Security and Defence Policy (CSDP), the EU takes a leading role in peacekeeping operations, conflict prevention and the strengthening of international security. It is an integral part of the EU's comprehensive approach towards crisis management, drawing on civilian and military assets. Almost 4,000 women and men help to promote peace and security where needed, providing stability and building resilience in fragile environments. Since the first CSDP missions and operations were launched back in 2003, the EU has undertaken over 37 overseas operations, using civilian and military missions and operations in several countries in Europe, Africa and Asia. As of today, there are 18 ongoing CSDP missions and operations, 11 of which are civilian, and 7 military.
Ah thubutu yako!
Kwanza hudindishi wewe, khanithi.
Ameshatumia laser weapons, hypersonic missiles n.k zote hizi ni silaha za kisasa katika ulimwengu huu. Bado wanaendelea kumsoma tu.
Wewe acha porojo UK lini imewahi kushinda vita? Vita sio porojo na maneno ya redioni ni vitendo na mauaji tu.Hawa jamaa leo wanataka kufanya jambo la kihistoria yaani kumwingiza Ukraine kwenye umoja wa Ulaya kama V.I.P membership wiki hii, kumbuka kuwa membership huchukua had miaka 5, hivyo Ukraine anapita directly bila mlolongo.
Kwa nini wanafanya hivi? Nia kubwa ni kutaka kuingia kumchapa mrussi direct, hili liko wazi kabisa, Mrusi anatafutwa akae kwenye Target.
Tuombe sana Mungu moyo wa Putin ashushe ghadhab dhid ya Ukraine maana itakua vita ya kihistoria.
Kumbuka Mkuu wa Majeshi wa Uingereza alitangaza majuzi kuwa ni wakati wa Ulaya kujiandaa kwa vita.
Mungu atusaidie tu maana tunawategemea sana Urusi na Ukraine kwa chakula na nishati.
Tuna wasubiri uwanja wa vita, Urusi sio ZimbabweHawa jamaa leo wanataka kufanya jambo la kihistoria yaani kumwingiza Ukraine kwenye umoja wa Ulaya kama V.I.P membership wiki hii, kumbuka kuwa membership huchukua had miaka 5, hivyo Ukraine anapita directly bila mlolongo.
Kwa nini wanafanya hivi? Nia kubwa ni kutaka kuingia kumchapa mrussi direct, hili liko wazi kabisa, Mrusi anatafutwa akae kwenye Target.
Tuombe sana Mungu moyo wa Putin ashushe ghadhab dhid ya Ukraine maana itakua vita ya kihistoria.
Kumbuka Mkuu wa Majeshi wa Uingereza alitangaza majuzi kuwa ni wakati wa Ulaya kujiandaa kwa vita.
Mungu atusaidie tu maana tunawategemea sana Urusi na Ukraine kwa chakula na nishati.
Hao bila vikao hawawezi pigana vita, utasikia US na washirika wakeThen watamfanya nini? Wamepita marais wangapi vichwa panzi kuna aliyewai mgusa Russia?? Uyo babu yenu ndo ataweza mziki??
Ukweli mchungu ila endelea kuumia US hna uwezo wa kupambana na Russia. Na US hawezi ingia vitani peke yake bila shoga zake NATO. Kama kuna vita aliyowai pigana peke yake nitajie hapa
Tulia mda ndio utaongeaWewe acha porojo UK lini imewahi kushinda vita? Vita sio porojo na maneno ya redioni ni vitendo na mauaji tu.
Nimegundua huna hoja zaid ya ushabik tuu na mahaba ya RussiaBaba tofautisha military operation au civilian operation na VITA. Kinachopiganwa pale Ukraine ni VITA kwa mgongo wa military operation. EU , mmarekani mkorea mjapan hamna atakayetia mguu pale....
Vikwazo vyenyewe vinawashinda iwe vita.
Russia sio Libya