Haya mahesabu ya Wazungu dhidi ya Urusi ni hatari

Haya mahesabu ya Wazungu dhidi ya Urusi ni hatari

Hawa jamaa leo wanataka kufanya jambo la kihistoria yaani kumwingiza Ukraine kwenye umoja wa Ulaya kama V.I.P membership wiki hii, kumbuka kuwa membership huchukua had miaka 5, hivyo Ukraine anapita directly bila mlolongo.

Kwa nini wanafanya hivi? Nia kubwa ni kutaka kuingia kumchapa mrussi direct, hili liko wazi kabisa, Mrusi anatafutwa akae kwenye Target.

Tuombe sana Mungu moyo wa Putin ashushe ghadhab dhid ya Ukraine maana itakua vita ya kihistoria.

Kumbuka Mkuu wa Majeshi wa Uingereza alitangaza majuzi kuwa ni wakati wa Ulaya kujiandaa kwa vita.

Mungu atusaidie tu maana tunawategemea sana Urusi na Ukraine kwa chakula na nishati.
Ni upumbavu Afrika kuitegemea Urusi na Ukraine kwa chakula na binafsi bado hata siamini kama ni kweli
 
W
Soma historia kijana, Wakubwa wa Ulaya huwa hawaikubali Urusi tangu enz na enz km Tz tusivyokubalika East Africa sabab ya kutotaka kucopy with others, Urusi ndo taifa pekee balani Ulaya lenye akili za Ki Asia (udikteta na utawala wa mabavu usiojali nin wananch wanataka, nguvu ya dola ipo mikononi mwa mtu mmoja, ona UK juz walikuwa wana mchallange Boris ila Bunge la Urusi halina kauli dhidi ya Putin, hiki ndo Mabeberu hawakitaki)
Watu hawaelewi kabsa
 
Hivi unadhani nchi gani ya EU Iko tayari kurisk kuwa kwenye vita na Urusi?
Hilo jambo haliwezi kutokea na litapingwa na member states wengi!
Putin alisema nchi yoyote itakayotoa msaada kwa Ukrain itapata cha moto
mwisho wa siku nchi kibao wametoa silaha kwa Ukrain means walikuwa tayari kwa lolote

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Tofauti ya Ulaya na mabara mengine ni kuwa, wao wanaongozwa na taasisi/systems. Uwe mbunge, uwe rais au uwe nani ni lazima ufate kile kilichopangwa.

Hakuna wa kuja kuzuia hili, kama kwa sasa ajenda ni kupambana na putin, basi kiongozi yoyote lazima aendane na ajenda hiyo.
kabisa

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Putin alisema nchi yoyote itakayotoa msaada kwa Ukrain itapata cha moto
mwisho wa siku nchi kibao wametoa silaha kwa Ukrain means walikuwa tayari kwa lolote

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Nchi hizo wametoa msaada Kwa tahadhari ya kutocross line na kuonekana wameingia vitani!Kufanya biashara ya silaha wakati wa vita ni jambo la kawaida,shida ni kwamba ni silaha gani unatoa?
Kama hizo nchi ziko tayari,kwanini wasiingize majeshi yao?
 
Ji
Mzee kama EU wamechoka kuishi au wameichoka dunia bhs wajidanganye kuingia vitani na Russia nahis watoto wetu kwenye history watakua wanafundishwa kulikua na bara linaitwa ulaya”

Hakuna nchi Ulaya inayoweza pigana na Russia direct hata US mwenyewe hana huo ubavu. Mnajua wengi mmedanganywa na propaganda za west kuhusu majeshi yao ila kiuhalisia ni kawaida sana.

Wengi wenu humu mmeanza kuijua Russia wakati wa kipindi hiki cha mgogoro na Ukraine.

VITA PEKEE EU WANAYOWEZA NI VIKWAZO.
Jidanganye sasa! Mwambie arushe hata kombora moja tu pale Poland ambae ni member state wa NATO aone. Unazani hii kitu imeanza kupangwa leo? Unazani kwa nn Urusi haikutaka mama Clinton awe rais? Unajua kwa nn Urusi hataki NATO iendelee kujipanua kuelekea East? Ni mtanzania pekee na sio mrusi mwenyew anayeweza kuamini kuwa Urusi inaweza kupigana vita na jumuiya ya NATO na ikashinda. Uwe unaangalia hata takwimu za kibajeti za ulinzi angalau zitakupa mwanga pa kuanzia....! Hicho unachokiamini kuhusu Putin ndo walivyoamini watu kuhusu uwezo wa Saddam Hussein na ndicho wanachoamini watu kuhusu Korea Kaskazini huu ndo utaratibu wa nchi za kidikteta kutumia nguvu kubwaaaa kuhadaa umma wa nchi zao na dunia kwa ujumla kwamba wana uwezo uliopitiliza wa nguvu za kijeshi. Hata kinachoendelea pale Ukraine leo Urusi hakupenda ila hana budi kujitetea na kujilinda ili kuzuia kuzunguka na NATO kila upande. NARUDIA NI MTANZANIA PEKEE NDIYE ANAYEAMINI KUWA URUSI INAWEZA KUPIGANA NA JUMUIYA YA NATO NA URUSI IKASHINDA NA PUTIN AKAENDELEA KUWA MADARAKANI. Over
 
Taasisi za siri ndizo zipo nyuma ya hili.
Wakuu wote wa nchi zote duniani nao uongozwa.
Mrusi atachapwa tu tena vizuri,si anajivunia visima vyake vitalipuliwa kimoja baada ya kimoja Ili kunyongonyeza petrodollar yake. Hivi Vita ni vya mda mrefu na wao ndio waliomwambia Ukraine ajiunge Nato. Mrusi angetambua mtego huu angeiachia Ukraine. Mistake ilishafanyika zamani kwa wao kukubali kuongozwa na raisi mmarekani Michael Gobatchov.
Eti wewe una taarifa za kijasusi kuliko hao Russia wenyewe🤣🤣🤣!
Ramani ya Ukraine haitakuwa Ile ya kabla ya uvamizi!
 
Ji

Jidanganye sasa! Mwambie arushe hata kombora moja tu pale Poland ambae ni member state wa NATO aone. Unazani hii kitu imeanza kupangwa leo? Unazani kwa nn Urusi haikutaka mama Clinton awe rais? Unajua kwa nn Urusi hataki NATO iendelee kujipanua kuelekea East? Ni mtanzania pekee na sio mrusi mwenyew anayeweza kuamini kuwa Urusi inaweza kupigana vita na jumuiya ya NATO na ikashinda. Uwe unaangalia hata takwimu za kibajeti za ulinzi angalau zitakupa mwanga pa kuanzia....! Hicho unachokiamini kuhusu Putin ndo walivyoamini watu kuhusu uwezo wa Saddam Hussein na ndicho wanachoamini watu kuhusu Korea Kaskazini huu ndo utaratibu wa nchi za kidikteta kutumia nguvu kubwaaaa kuhadaa umma wa nchi zao na dunia kwa ujumla kwamba wana uwezo uliopitiliza wa nguvu za kijeshi. Hata kinachoendelea pale Ukraine leo Urusi hakupenda ila hana budi kujitetea na kujilinda ili kuzuia kuzunguka na NATO kila upande. NARUDIA NI MTANZANIA PEKEE NDIYE ANAYEAMINI KUWA URUSI INAWEZA KUPIGANA NA JUMUIYA YA NATO NA URUSI IKASHINDA NA PUTIN AKAENDELEA KUWA MADARAKANI. Over
Hivi NATO wanajihami dhidi ya nani?Kwanza kuwa na mjadala wa Urusi dhidi ya mataifa 30 duniani,ni wazi Urusi sio wa mchezo mchezo!
Ikitokea world war III,vita ya nuclear haitakuwa na mshindi!
Watakaonusurika kamwe hawawezi kujiita washindi!
 
Hawa jamaa leo wanataka kufanya jambo la kihistoria yaani kumwingiza Ukraine kwenye umoja wa Ulaya kama V.I.P membership wiki hii, kumbuka kuwa membership huchukua had miaka 5, hivyo Ukraine anapita directly bila mlolongo.

Kwa nini wanafanya hivi? Nia kubwa ni kutaka kuingia kumchapa mrussi direct, hili liko wazi kabisa, Mrusi anatafutwa akae kwenye Target.

Tuombe sana Mungu moyo wa Putin ashushe ghadhab dhid ya Ukraine maana itakua vita ya kihistoria.

Kumbuka Mkuu wa Majeshi wa Uingereza alitangaza majuzi kuwa ni wakati wa Ulaya kujiandaa kwa vita.

Mungu atusaidie tu maana tunawategemea sana Urusi na Ukraine kwa chakula na nishati.

Wewe na viongozi wako wa Afrika mna akili sawa,ufe na njaa kivipi aridhi unayo kubwa na yenye rutuba alafu bado unalilia njaa
 
Mungu atusaidie tu maana tunawategemea sana Urusi na Ukraine kwa chakula na nishati.


Hapa ndipo itakupatikana:- "The new African order"---- hatuwezi kuwa tegemezi hata kwa vitu kama chakula ilhali ardhi yetu inafaa kwa chakula, kinachohitajika ni management tu.
 
Unauliza alichochukua Russia ukraine? Mpaka sasa Russia anamilikia 30% ya eneo la Ukraine tena potential areas yes tunazungumzia bandari, kilimo na nishati kwa Ujinga wa comedian wenu sahv ananunua umeme wake ambao unashikiliwa na Russia. Sasa hii ni akili au matope.?

Kosa kubwa la Ukraine kuiamin US hapa ndo alifeli walimpa kiburi mwisho wa siku wamemwacha na maeneo yanamegwa juzi hapa wamemwambia akubali kuyaacha maeneo aliyochukua Russia ili operation iishe ila kakaza bado eti tutayarudisha.

Kuhusu America kuitawala dunia bado hajafanikiwa bado anakutana na upinzani kutoka Russia, china, NK nk hao EU ndo wamekubali kushikwa MATACORE na US. US anataka kuitawala dunia kishetani atuletee masuala ya NWO naam hayo mambo ya ushoga anayohangaika kuyaeneza unafikiri ni nini?? Na mnachekelea tu, nenda kaisome NWO vzr utapata mwanga otherwise nitakua natwanga maji kwenye kinu.

Hakuna jambo lilisokua na mwisho wala hakuna marefu yasiyo na ncha. Zilipita falme za maana enzi hzo zilianguka sembuse US ambaye ni mchumba tu hivi mzee kuna falme za kutisha zilianguka tunaanzia na wamedi na waaajemi, kulikua na wagiriki, warumi kuna akina Ottoman Empire wote walianguka.

Unafahamu kuwa uchumi wa US upo kwenye karatasi naam nazungumzia [emoji385] hapa ndo kiburi chake kilipo na hapa ndo uchumi wake ulipo. US anaprint pesa anajaza kule IMF mkakope nyie ndo mnamweka mjini. Ndomana tunamwita Mr. Canon wanaprint pesa wanapojiskia wanawapa afu mnawaona kila kitu maskin Africa[emoji1316]. Wametumia uhuni kuforce transactions zote za kimataifa tutumie dollar unajua why??? Inshort dollar ndo uchumi wao kidogo nakupiga msasa, soma kitu kinaitwa Fiat money na stable currency.

Russia amesha switch kwenda kwenye pesa yake Ruble, Saudia wameshaingia mkataba na china watatumia yuan, India naye amesema atauza bidhaa zake kwa rupee. Nchi karibu zote za uarabuni zinaipiga dollar chini sasa tunarudi mezani unajua impact yake???

Unajua transactions za matrillion zinafanyika kwenye nishati hasa oil, gas nknk kama tunatumia Ruble, yuan nknk unajua ni impact gani inakwenda tokea kwenye dollar?? Nchi dunian zimeamka zimechoka dhuluma ya US kawaua ndugu zetu gaddafi kisa jamaa alitaka kuswitch kwenda gold kuachana na dollar. Yote coz uchumi wake upo kwenye dollar hana JAMBO.

Nimekupa picha kidogo ujue ukweli kuhusu hao unaowaabudu ila kipindi hiki kakutana na kisiki cha mpingo. Dunia ya sasa inataka usawa na sio uwizi na unyang’anyi wanakwapua mali za Africa wanaleta migogoro ili mambo yao yafanikiwe bado wanawapa masharti mkubali ushoga sasa haya yote ni nini?

Utawala wa USA utaanguka. Tawala kubwa na za hatari zilipita kama upepo sembuse US na hizi ni dalili tu.
Pro NATO bado wanaishi kwenye zama za Mfalme Njozi 😂😂😂 wanafikiri Marekani ndio Mungu wa hii dunia.

Game isha change and there is no going back.
Waache wakina ARISTOTE wazee wa vikao waendelee kuunda vikwazo kwenye bunge lao la mchongo.

Wazee wa Brics wamesema kazi iendelee 😂 no more New World Order ikibidi dunia isiwepo tu. Tutafumuana hata Iskander na Satan.
 
Ji

Jidanganye sasa! Mwambie arushe hata kombora moja tu pale Poland ambae ni member state wa NATO aone. Unazani hii kitu imeanza kupangwa leo? Unazani kwa nn Urusi haikutaka mama Clinton awe rais? Unajua kwa nn Urusi hataki NATO iendelee kujipanua kuelekea East? Ni mtanzania pekee na sio mrusi mwenyew anayeweza kuamini kuwa Urusi inaweza kupigana vita na jumuiya ya NATO na ikashinda. Uwe unaangalia hata takwimu za kibajeti za ulinzi angalau zitakupa mwanga pa kuanzia....! Hicho unachokiamini kuhusu Putin ndo walivyoamini watu kuhusu uwezo wa Saddam Hussein na ndicho wanachoamini watu kuhusu Korea Kaskazini huu ndo utaratibu wa nchi za kidikteta kutumia nguvu kubwaaaa kuhadaa umma wa nchi zao na dunia kwa ujumla kwamba wana uwezo uliopitiliza wa nguvu za kijeshi. Hata kinachoendelea pale Ukraine leo Urusi hakupenda ila hana budi kujitetea na kujilinda ili kuzuia kuzunguka na NATO kila upande. NARUDIA NI MTANZANIA PEKEE NDIYE ANAYEAMINI KUWA URUSI INAWEZA KUPIGANA NA JUMUIYA YA NATO NA URUSI IKASHINDA NA PUTIN AKAENDELEA KUWA MADARAKANI. Over
Kumbuka NATO ni alliance ya vinchi vidogo vidogo vya Ulaya, save Turkey,USA na Canada - Russia inamiliki types za silaha ambazo gotta no parallel in the entire World, Waamerika wanajuwa ukweli huo ndio maana wanawapa Ukraine silaha nyingi wakiwa na lengo la kujaribu ku-weaken jeshi la Urusi - pamoja na ujeuri na arrogance ya USA hawana ubavu wa kujiingiza vitani moja kwa moja dhidi ya Urusi nawaambieni - wataishia kulahumu lahumu tu, calling Putin names under the SUN, watahishia hapo basi, lakini hawata dhubutu ku-commit boots on the ground kumsaidia Zelensky au kuishambulia Russia kijeshi wanajuwa jeshi la Urusi na maji marefu.

Past experience zinadhilisha kwamba uwezo wa NATO ni highly inflated kwa kupitia propaganda zinazo kuwa propagated na media zao 24X7, miaka ya nyuma tuliwahi kushudia walipo vamia taifa dogo la Yugoslavia iliwachukuwa muda gani ku-pacify jeshi dogo la Yugoslavia? Kitu kingine, mbona NATO imewachukuwa takribani miaka ishirini Afghanistan chasing shadows na mwisho wa siku wakajikuta walio kuwa wanapigana nao ndio wanatawala Afghanistan hivi sasa - what does that tell us?

Uwezo wa NATO ni kuonea/shambulia/vamia military weak banana Republics and not the Real McCoy like Russia,China and North Korea.
 
Punguza mapenzi na Russia! Russia anaweza kuipiga Ulaya nzima kweli?? Ana nguvu gani hizo?? Okay tusema sawa,anaweza ipiga! Then unadhan baada ya vita hii Russia ya sasa hivi itakua na nguvu gani tena?? Hebu weka mahaba pembeni! Generals waliopo huko Moscow, London, Pentagon na Tel Aviv ndiyo wawe hawajui,ila wewe mmatumbi wa huko Utete Lufiji ndiyo uwe unajua sana! Hapana,tusiwe brainwashed namna hiyo! Asante

Mtalia sana mwaka huu manake sindano inaingia taratibu. Unazungumzia vinchi vya europe ambavyo hata dsm inavishinda kwa ukubwa, hivi unajua nyuklia moja ikitua katikati ya europe almost nchi zote zitakua affected??

Afu unajiita na wewe critical thinker kwa akili kiazi kama zako.
 
Kilichopelekea roma kuanguka ndio kinaikumba sasa usa
Ushoga
Currency manipulation
Empire overextenstion
Wars


Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app

Inshort uchumi wa US ni [emoji385] ila kuna watu hawajui hilo[emoji23][emoji23]. Anaprint hela anawakopesha mnafurahi ila Africa sijui nani alituroga[emoji23][emoji23][emoji1316][emoji1316]
 
Hamna MAHESABU yoyote Apo,
Wote EU wanamskiliza kiranja wao USA[emoji28]

Baba yao uyo [emoji23][emoji23]
IMG_3940.jpg
 
Yale ya Hiroshima na Nagasaki yametoa fundisho kubwa kwa madhara ya nyuklia.

Mtu mwenye nyuklia lazima uende nae kwa tahadhari Sana, MDA wowote anatibua upepo.

Ndo maana North Korea, Iran na kwingineko kwenye nyuklia

yule jamaa aliejipa ukiranja wa dunia anaishia tu kupinga kelele, ila kwenda front vitani kuvamia hawezi.

Naamini hata sisi Tanzania,
Mama Samia akianza kutengeneza makombora ya nyuklia hakuna kenge ataleta za kuleta[emoji28]

Nuclear=Respect, ndomana ukifuatilia kwa makini utaona nchi zote ambazo ni tishio kwa US amezipa sanctions lukuki angalia NK, Iran, Russia naona anaimendea na China. Manake hio ndo silaha yake kwa nchi hatari kijeshi unachek upande wa pili,

NK sanctions kama zimedunda ukija Iran maisha yanaendelea fresh njoo Russia uchumi mpaka wa Dunia umeshake hata waliotoa wanaumia[emoji23][emoji23]. Tunakokwenda sahv ni heshima sanctions hazi work sasa kwa mataifa yaliyoendelea. Anguko la US sio muda huyu mbwa lazma apotee amezid uonevu na unyanyasaji.

Ogopa sana Putin anacheza na akili za Viongozi wa West na amewakamata. Viva PUTIN[emoji1377]
 
Back
Top Bottom