Kwahio masta umekula kichapo hadi ukaona isiwe tabu😁??? Ungempigia mama gwajima tuMke wangu ni muha nakubaliana na hili maana na yeye hadi familia yao wana tabia hizi hadi nimeamua kumpiga chini
Sijui na wahaya nao imekuwaje mpaka sasa kimyaa, wamerogea wapi na wengine twende tupunguzwe kusemwa semwaNilishawahi kuwa na Mpimbwe. Alikuwa rafiki yangu sana na sikuwahi kuona tabia mbaya labda tu ka ego kidogo which was OK....
Ila nashangaa Wanyaki hawajatajwa mpaka dakika hii. Kulikoni? 😲😲
humo wanashindana nyumba kwa nyumba mabint kuzalia nyumbani n kawaida.Haa HQ Hapo
Ndio tushasema mkuu, huko ndio hufanyia mikutano yaoKumbe Wana hadi makao makuu na hamsemi
Wana midomo hao utafikiri wanapuliza moto 😄 🤣 😂 😆Mwanamke wa kijita/kikerewe mkikosana ndani yeye anatoka nje kurusha mawe na matusi. 😂😂
Wachaga kwao kukiwa na hela huwaga wana dharau sana wakwe hali huwa mbaya zaidi kama binti naye ana akili za kukopa maana anaskiliza vya nyumbani zaidi. Yani wakwe wanapenda mtu ambaye ana mawe kuliko wao ili wakuheshimu. Kama wana maghorofa kariakoo basi na kwenu muwe nayo hapo mtaenda sawa. Hawatakagi kuona unaoa mtoto wao ilihali maisha yako ni ya kawaida sana. Wanahisi utavuna kwao 🤣nilishamvalisha na pete ya uchumba ,nilishajitambulisha kwao,tulikuwa tunaishi wote kwa kipindi cha miaka 3
2.tulikuwa tunashona shati la kitenge sare na gauni lake tunamechisha sare ya kitenge
3.mimi ni mlutheri lakini nikaanza kisali roman kwwnye kanisa lake japo imani yangu ilikuwa tofauti illi kutomkwaza
4.nilijenga na nyumba tulijenga na nyumba ikafikia ikabaki finishing ndogo tuhamie tuanze maisha
Dakika za mwisho nikapiga U-TURN nikaona huku nimepotea njia nimeruka mkojo nimekanyaga vima,bora nirudi kwa Muhehe wangu wa mwanzo , kuliko huyu mrombo nilipambana mpaka tone la mwisho,namuonyesha upendo wote na kumjali yeye na familia yake kwa uwezo wangu wote lakini bado haikutosha,kadiri unavyompenda na kumjali yeye ndio anakuona bwege ananionyesha Dharau,nikasema hapa nisikilize AKILI nitumie AKILI yangu sio HISIA za mapenzi kwenye hamna.Tukaachana.
NIKAOA MUHEHE WANGU na sasa tunaishi kwa amani na furaha na familia,nafurahia ndoa..
Unataka kujaribu sumu kwa kuilamba?😁 Usiseme hatujakwambia😃😃😃
Bado niko njia panda sielewi, lakini hizi experience za wadau zinatisha kidogo
Wamakonde ni jamii bora kabisa katika jamii za kusini. Mleta Mada itakua amemaanisha wamakua au wa mwera.Kwa upande wa wamakonde huwa mnawaonea tu kwa kutojua.
Mtu yoyote anayetoka kusini huwa anahesabika ni mmakonde.
Ila kule kuna wamwera, wayao, wamakua nk ambao ni namba chafu kuliko wamakonde
Tatizo kanda ile wahanga wa Stieglers Gorge ni wengi pamoja na Kihansi na Kidatu. Ni mwendo wa kuungwa kwenye Grid tu ukijipindua. Hongera sana kama umepata mtu alionyooka. Wanawake wa kule ni so reliable kama tugari twa corrolla.kama mtu akiniambia nimshauri kabila la kuoa nitamshauri aoe makabila ya IRINGA niliko oa mimi na sijawahi kujutia sasa zaidi ya miaka 16.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Import labda tuopoe ufilipino.Kiufupi nchi nzima haina wife material fanyeni kuimport tu🤣🤣 tuliopo ndo sisi sisi
Hawatawezana na mitwangio yenu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Import labda tuopoe ufilipino.
Hii ni vita ya hisia against brain. Kwa uzuri na urembo X huwa ni mtamu ila for future use Wife ndio bora zaidi japo hana mvuto kama X.😁Ukiona unamuelezea sana ex namna hii ujue bado unampenda, umemmiss, unamuhitaji ila ni kwamba huna pa kumpatia kakuzidi parefu na wife wako hamfikii ex ukweli unaujua ila ndo utafanyaje lazima ujifariji,
Ex anaelezewa kwa maneno mawili tu kausha damu
Wale mbona kama tunaendana calibre naskia wana adabu sana wale.Hawatawezana na mitwangio yenu 🤣🤣🤣
haohao tunaoa kibishi tuSasa kama mnataja wote wa kusini, magharibi, kaskazini na kanda ya kati sasa huwa mnaoa kutoka wapi? Au mnaoa wakenya?
Sasa jamaa anatumia muda na nguvu nyingi kumuelezea ex kuliko wife anaempa raha miongo 2!!!Hii ni vita ya hisia against brain. Kwa uzuri na urembo X huwa ni mtamu ila for future use Wife ndio bora zaidi japo hana mvuto kama X.😁
Tatizo mna mitwangio mikubwa hawawezi kuwavumilia,Wale mbona kama tunaendana calibre naskia wana adabu sana wale.
Sasa wewe utakazana na majukumu ya kulea mtu ambaye sio mkeo na hana adabu. We kweli pumbunyoBado watu mnajadili makabila?
Wangekuwa vipi single mothers kama wanaume wasingekimbia majukumu yako?
Ujinga bado ni janga la taifa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hivyo vi tight pussy ndio kitu roho inapenda. Waleteni wafilipino kwenye marahaTatizo mna mitwangio mikubwa hawawezi kuwavumilia,
sie wengine tukitaka kuoa tunaambiwa tukaoe usukumani, ni wavumilivu ndoaniPiga ua huwezi kuta Wasukuma,
Hio yote ni sababu ya uvumilivu + uchawi...
Comment yangu isiguswe, serikali inipe ulinzi.