Kuna michepuko pia hawataweza kuvumilia hilo na mtapewa zamu za kupika nk,, yani sie ni wa kwenu tu hamna pa kuchomokea🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hivyo vi tight pussy ndio kitu roho inapenda. Waleteni wafilipino kwenye maraha
Kuna mtu kapigwa na kitu kizito huku😁Shuhuda Zinaendelea
Mtumishi /Pastor Kumetokea Nini
😁😁😁😁😁😁 Ngoja vita vya tatu vianze tujitwalie mbususu za ulaya ulaya watakuja kama wakimbizi.Kuna michepuko pia hawataweza kuvumilia hilo na mtapewa zamu za kupika nk,, yani sie ni wa kwenu tu hamna pa kuchomokea
Sahauniiiiiiii😁😁😁😁😁😁 Ngoja vita vya tatu vianze tujitwalie mbususu za ulaya ulaya watakuja kama wakimbizi.
haya mambo tunaandika kimzahamzaha ukweli ni kwamba yapo. Kuna kwaya toka dodoma ilikuja kuimba kwetu wengi walikuwa hawana ndoa na walijitangaza majimbo yako wazi bila aibu huku wakisaidiwa na mchungaji wao walau wawili tu wapate waume kwetu. Wengi wao walikuwa single motherKabila lingine wagogo, aisee nenda vijiji vya Dom kila dem kazaa ila yupo tu anadunda mtaani hana hili wala lile
Hongera sana kupata wife uheheni..huko kwetu dada zangu huwa wanaheshimu sana ndoa..Ila usiwatibue utakaa nao sana maana ni wapole na wana Utu.namba 02.mbili MROMBO alinishinda kwa kitu kidogo sana DHARAU ikiambatana na ujeuri,kiburi na kama majivuno/kujikuta ..ila zaidi dharau ndio iliyonifanya nishindwane naye.
Nashukuru tuliachana mapema mana stress zingenitesa kama ningemngangania.
KONGOLE KWA WAHEHE IRINGA
Iringa imenipatia super woman,wife material,mke mwema sana .Namshukuru Mungu kwa kunipatia mke mwema.Nina amani ya ndoa.
yule mrombo ile jeuri yake na dharau,pasipo huyu my wife wangu wa iringa,ungekuta na mimi pengine ningekuwa (KATAA NDOA).
Hongera sana kumpata kipenzi cha moyo wako.namba 02.mbili MROMBO alinishinda kwa kitu kidogo sana DHARAU ikiambatana na ujeuri,kiburi na kama majivuno/kujikuta ..ila zaidi dharau ndio iliyonifanya nishindwane naye.
Nashukuru tuliachana mapema mana stress zingenitesa kama ningemngangania.
KONGOLE KWA WAHEHE IRINGA
Iringa imenipatia super woman,wife material,mke mwema sana .Namshukuru Mungu kwa kunipatia mke mwema.Nina amani ya ndoa.
yule mrombo ile jeuri yake na dharau,pasipo huyu my wife wangu wa iringa,ungekuta na mimi pengine ningekuwa (KATAA NDOA).
Wao wana hendekeza ngono lakini kitabia zingine hawana shida.Kabila lingine wagogo, aisee nenda vijiji vya Dom kila dem kazaa ila yupo tu anadunda mtaani hana hili wala lile
Kamwene! Karibu sana Iringa! Nafurahi kuwasifia dada zangu! Ni wapole, wana utu, hawana mambo ya kichawi chawi kulogana kama wa kule kanda ya ziwa..Pili ni wapambanaji.kama mtu akiniambia nimshauri kabila la kuoa nitamshauri aoe makabila ya IRINGA niliko oa mimi na sijawahi kujutia sasa zaidi ya miaka 16.
Hata kuongea kwa kufoka hawawezi huongea kwa utulivu sanaHongera sana mkuu.
Mi pia ninaye mmoja hapa pembeni yangu.
Wanawake wa kijaluo huwa hawana mawenge.
Ni watulivu, wavumilivu na wanajua kutunza ndoa, familia na ndugu wanaokuhusu.
Wajita sio wabinafsi ila ni wakorofi na madharau kibao akipata Tsh 2
- Wajita
- Wachaga
- Wamakonde
- Waluguru
- Wanyaturu
- Warangi
- Wazaramo
- Wagogo
Ni dola kamili yenye bendera yakeMjita atawaliki
Hapo kwenye wamwera hujakosea😀Kwa upande wa wamakonde huwa mnawaonea tu kwa kutojua.
Mtu yoyote anayetoka kusini huwa anahesabika ni mmakonde.
Ila kule kuna wamwera, wayao, wamakua nk ambao ni namba chafu kuliko wamakonde
Ila wanajua kulea mtoto hadi akiwa kwenye familia yake, wale wamama wanaona ni halali yao kumuongilia na kumsiamamia.Ni dola kamili yenye bendera yake
Ninaye Single Maza for 8yrs namchakata wala hana shida hata kidogo.Mjita atawaliki