Konny Joseph
Senior Member
- Aug 28, 2016
- 118
- 199
- Thread starter
- #41
Mabumunda ndio huchangia hoja namnaa hii!!Kwani kwenda na kitu kuna athari gani?
Kama vipi kuwa wewe Raisi ili uende kanisani bila kiti
Hongera na wee kuwa bumunda!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabumunda ndio huchangia hoja namnaa hii!!Kwani kwenda na kitu kuna athari gani?
Kama vipi kuwa wewe Raisi ili uende kanisani bila kiti
Kwa hiyo na yeye amekuthibitishia kwamba ana shida gani mpaka asikalie bench kanisani ila aweze kukalia busati msikitini???Heshimu imani za watu ...... Hata Mimi kanisa nalosali lingekuwa karibu ningeenda na kiti changu .... Nilipata ajali mngongo siwezi kukaa kwenye mambao Yale muda mrefu....
pia niliuliza vyote hukujibu zaidi ya kujifanya na hasira tu. Nilikuuliza wewe taarifa hizo umezipata wapi? Kama unazo basi share nasi, ukabaki unabweka tuKuhusu marekani kununua ardhi oyster bay ulijibu!?
We kweli genuise wa bongo!!Rais kwenda na kitu chake kanisani,inafanya roho mtakatifu asishuke!?
Uliza kwanza ikiwa wamarekani walinunua ardhi oyster bay,dai na taarifa na vielelezopia niliuliza vyote hukujibu zaidi ya kujifanya na hasira tu. Nilikuuliza wewe taarifa hizo umezipata wapi? Kama unazo basi share nasi, ukabaki unabweka tu
Hata akishuka anashangaa anachokikuta,ndio hofu yetu,mana yeue sio chawa kama wewe!!Rais kwenda na kitu chake kanisani,inafanya roho mtakatifu asishuke!?
Roho mtakatifu ashangae kiti Cha rais!?Hata akishuka anashangaa anachokikuta,ndio hofu yetu,mana yeue sio chawa kama wewe!!
nili quote hapa kwenye marekani nikauliza serikali inaweza kuuza ardhi bila kuwapa taarifa wananchi, ukawa kama pilipili kichaa. sasa mm nipo hapa kujua, wewe umejuaje kama hizo hati za mauziano unazo embu share nasi hapa tujue woteUliza kwanza ikiwa wamarekani walinunua ardhi oyster bay,dai na taarifa na vielelezo
hicho ni kikundi cha panya road. Hao wote wanaobeba viti wamepata ajali ya mgongo? Kuna shindikana nini kuchangisha mkanunua viti ambavyo comfortable? Mnatoa ujumbe gani kwa watu wa pembeni wanaowatizama? Kwamba mnashindwa kuwa ushuhuda kwa watu wapembeni? Hata viti tu mnabeba, ina maana hamna sehemu ya kuhifadhi? Au mnabeba sababu hamtaki kukaa kwenye mambao? Au wanabeba sababu wamepata ajali za migongo?
Mda mwingine unaweza kuona ni jambo la kawaida ila ni aibu kubwa. Kila siku mnachagisha pesa, mnatoka na viti majumbani kwenu, halafu unamuhubiria mtu injili njoo kwa YESU akuondolee na kukuponya matatizo yako.
Mwambie huyo mchungaji aache utoto kazi ya mungu si lele mama
hicho ni kikundi cha panya road. Hao wote wanaobeba viti wamepata ajali ya mgongo? Kuna shindikana nini kuchangisha mkanunua viti ambavyo comfortable? Mnatoa ujumbe gani kwa watu wa pembeni wanaowatizama? Kwamba mnashindwa kuwa ushuhuda kwa watu wapembeni? Hata viti tu mnabeba, ina maana hamna sehemu ya kuhifadhi? Au mnabeba sababu hamtaki kukaa kwenye mambao? Au wanabeba sababu wamepata ajali za migongo?
Mda mwingine unaweza kuona ni jambo la kawaida ila ni aibu kubwa. Kila siku mnachagisha pesa, mnatoka na viti majumbani kwenu, halafu unamuhubiria mtu injili njoo kwa YESU akuondolee na kukuponya matatizo yako.
Mwambie huyo mchungaji aache utoto kazi ya mungu si lele mama
Share kwanza za marekani ambazo hazikukerinili quote hapa kwenye marekani nikauliza serikali inaweza kuuza ardhi bila kuwapa taarifa wananchi, ukawa kama pilipili kichaa. sasa mm nipo hapa kujua, wewe umejuaje kama hizo hati za mauziano unazo embu share nasi hapa tujue wote
Atashangaa kukikuta kanisani,unafikiri roho mtakatifu ni chawa kama wewe!!Roho mtakatifu ashangae kiti Cha rais!?
mimi hakuna sehemu ambapo nimesema ardhi imeuzwa. Nilikuuliza baada ya kuona tz imeuza eneo la ostabei kwa marekani. Baadae ukasema na bagamyo nikakuuliza hiz taarifa umezipata wapi? Au ndio uhuru wenyewe unaropoka kama upo chooni tu? Mimi nipo hapa kujua si kubishana. Embu share basi hizo hati za znz kununua bagamyo na hati za marekani kununua ostabeiShare kwanza za marekani ambazo hazikukeri
We waza sheri tu,kwani kuna sheria nchi hii inayoamrisha mtu kuvaa nguo,baci kesho toka na hayo makengele yako uingie mtaani!!Hilo suala lina shida gani kwa taifa? Kuna sheria yoyote ya nchi iliyovunjwa? Acha ukuda.
"5000 people ordered to vacate RAZABA area in Bagamoyo - Daily News" https://dailynews.co.tz/5000-people-ordered-to-vacate-razaba-area-in-bagamoyo/mimi hakuna sehemu ambapo nimesema ardhi imeuzwa. Nilikuuliza baada ya kuona tz imeuza eneo la ostabei kwa marekani. Baadae ukasema na bagamyo nikakuuliza hiz taarifa umezipata wapi? Au ndio uhuru wenyewe unaropoka kama upo chooni tu? Mimi nipo hapa kujua si kubishana. Embu share basi hizo hati za znz kununua bagamyo na hati za marekani kununua ostabei
HeheheheAtashangaa kukikuta kanisani,unafikiri roho mtakatifu ni chawa kama wewe!!
aisee una kichwa kigumu sana. Embu tuonyeshe hati ya mauziano ya kuonyesha znz imenunua hilo eneo na ni mali yao. Hivi wew kwenye hiyo taarifa uliyotuma kuna sehemu wanasema znz alinunua hiyo sehemu? Au kuna sehemu inayoonyesha hati ya mauziano? Uko sawa kweli?"5000 people ordered to vacate RAZABA area in Bagamoyo - Daily News" https://dailynews.co.tz/5000-people-ordered-to-vacate-razaba-area-in-bagamoyo/
Ulokole unakusumbua
Unaugua akili weweaisee una kichwa kigumu sana. Embu tuonyeshe hati ya mauziano ya kuonyesha znz imenunua hilo eneo na ni mali yao. Hivi wew kwenye hiyo taarifa uliyotuma kuna sehemu wanasema znz alinunua hiyo sehemu? Au kuna sehemu inayoonyesha hati ya mauziano? Uko sawa kweli?
nilijua upo sawa kichwani kumbe EBITOKE. Eti unaenda mahakamani ulete ushahidi unaleta maneno matupu kwamba hilo ni eneo la watu wa znz! Haya basi sawa la znz embu tuonyeshe sasa uthibitishe ni eneo lao una rukaruka tu, haya hilo limekushinda tuonyeshe hati za marekani kununua ostabei?Unaugua akili wewe