Haya mambo yanawezekana, kama mimi nina zaidi ya 100 milioni kwenye akauti wewe unashindwa nini? Tena nina miaka 27

Bila shaka wewe muajiriwa serikali mna makasiriko mengi balaa hii kutokana na nyie kuwa ni wavivu wa kufikiria
 
Zipo
Njoo tutest show



Ulifanikiwa kuzijua "siku zako"?

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Bwana mdogo tabia za humu ndani ukisema una pesa utawakera, watafadhaika na hasira zitawapanda πŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Sema una laki tano unaomba ushauri wa biashara watatiririka maushauri kama ma waraka, mby zaidi kuna watakao sema hiyo laki tano ni pesa ya lunch dogo πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

We achana nao Ila sema la ukweli bandiko lako ni CHAI BARIIIIDI
 
Yan umekaa zako magetoni kwako umeona huna cha kufanya ukaamua uje jf uandike huo utumbo ili ujifariji.
Mwenye pesa hana muda huo wa kuandika na kujisifu kua ana hela kwanza mtu yoyote anayefanya kazi kwa bidii hela haijawahi kumtosha na kuziona nyingi hata ziwe kiasi gani as long as anafanya kazi ya halali na kwa bidii.
 
Hii comment imenikata kabisa. Nilitaka kuandika kitu kizuri tu.

Haya haya mtoa mada πŸ€—
 
Makasiriko Fc
 
Wazandik I fc
 
Kenge huyu
 
Ni kweli hyo 100m inawezekana. Lakini bado sio hela ya kujiona tiyari umetoboa. Real estate ni biashara nzuri sema vijana tunapenda vya haraka ndo tatzo. Real estate haitakuacha mtupu
 
Nakumbuka kuna mmoja nadhani ni wewe ulimwambie mpenzi wako kuwa umeota amelumumulia Benzi akakwambia ni.kweli rudi.kalale usingizi tena ukaoendeshe hadi kijijini kwenu

Hizo milioni 100 ulizoota umeweka kwenye akaunti sasa rudi tena kalela kazitoe kwenye akaunti ukiwa usingizini ukaote unazitumia London,new York nk na sisi humu.jamii Forums uote tunakuonea wivu unapotumia pesa zako ndotoni

Kataa bangi haifai ona sasa ulichoota baada ya kupuliza bangi
 
Nilijua mtu wa maana kumbe takataka tu shit
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…