Haya matukio yamenifanya nijitafakari upya tabia zangu

Haya matukio yamenifanya nijitafakari upya tabia zangu

I hope y'all are doing just fine, and so Do I.

Straight kwenye mada...
#1:
4yrs ago kuna mtu (alikua muimbaji wa kigango fulani) hakua na mke wala kuishi na mtu yoyote...He was a loner. Akawa akiugua ugua ila alitoa taarifa kwenye uongozi wake wa Choir, back then nami nilipenda kushiriki shiriki masuala ya kanisani. Ndipo nilipomjulia huyu mtu japo tulikua maeneo tofauti but... kulikua na taratibu zilizowekwa na makasisi kwamba kila mwisho wa mwezi wahudumu wa kutoka Vigango mbalimbali katika parokia yetu wanakutana.

So that Guy....alikua mgonjwa mgonjwa but he was a loner and eligible bachelor. Alifariki akiwa chumbani kwake aligundulika after 3 days. So Sad!😟😢

#2:
Wiki hii kuna mtu nilienda kumtembelea eneo xxxxx nyumba ya 5 kutoka tulipokua tukasikia kelele watu wanalia na kupiga ukunga. Ikabidi tuende kufaham tatizo ni nini....O my G it was a scarest thing you'll ever see. tulikuta mtu kafariki kajifungia ndani. Alijilaza tu akapitiliza siku 4 haijagundulika kashavimba hata kumuinua haiwezekani.

Naye pia inasemekana alikua anatabia ya upweke upweke. May The almighty rest his/her poor soul😟
___
See, I also have this inclination and demeanour of being loner and Unsocial.
I don't like to be noticed and cared, I just like to be nobody and always to be the guy in the Corner that no one knows. When someone would ask who that guy(me) and others will answer... That's just a guy in the Corner.

Sipendi Kusema nimeenda wapi, sipendi kuulizwa upo wapi, sipendi kuulizwa vipi haliyo unaendeleaje, Sipendi Kuambiwa Pole. Sipendi kuambiwa All gonna be alright, sipendi kuambiwa I miss you, Sipendi kuambiwa So and So Napenda niwe mimi tu Just me☺️🤗

But hayo matukio yamenifanya nijitafakari upya tabia zangu hizi. I think I neef to recalibrate my Behavior.
Wito.
Mnaokataa ndoa angalieni yasiwakute hayo matukio unaumwa getho huna hata wa kumtuma Paracetamol pharmacy unakufa ukiwa unajiona. Mwenye ubongo na ajitafakari!

[Enyi Introvert, Jihadharini na Upweke. Upweke sio jambo Zuri.]

View attachment 2529893

Hii haiwezi kuwa sababu ya kuoa, u can connect very well na jamii ikakujali na kukuangalia hata kama una mke.
 
Kuna mdada kafariki last week, alifia ndani majirani walijua baada ya kuanza kuhisi harufu ndani.
Maisha ya upweke ni mazuri lakini pia si mazuri

Sasa alipokufa, ni gharama kwake au kwa majirano, he is gone and may be happy huko mahali. Nyie ndo mwapambana na harufu za mwili.
 
Sasa alipokufa, ni gharama kwake au kwa majirano, he is gone and may be happy huko mahali. Nyie ndo mwapambana na harufu za mwili.
Angekua karibu na mtu inawezekana angepata msaada kunusuru maisha yake
 
Angekua karibu na mtu inawezekana angepata msaada kunusuru maisha yake

Sidhani, mie navyoishi mwenyewe maisha yangu ndo mepesi kuliko chochote, kama nipo likizo, utasema nimesafiri, hata fron door sifungui, utaona mpakaa sisimizi wameanza tengeneza utanado mlangoni, na nikisha pita jikoni, nipo chumbani tu.
 
I hope y'all are doing just fine, and so Do I.

Straight kwenye mada...
#1:
4yrs ago kuna mtu (alikua muimbaji wa kigango fulani) hakua na mke wala kuishi na mtu yoyote...He was a loner. Akawa akiugua ugua ila alitoa taarifa kwenye uongozi wake wa Choir, back then nami nilipenda kushiriki shiriki masuala ya kanisani. Ndipo nilipomjulia huyu mtu japo tulikua maeneo tofauti but... kulikua na taratibu zilizowekwa na makasisi kwamba kila mwisho wa mwezi wahudumu wa kutoka Vigango mbalimbali katika parokia yetu wanakutana.

So that Guy....alikua mgonjwa mgonjwa but he was a loner and eligible bachelor. Alifariki akiwa chumbani kwake aligundulika after 3 days. So Sad![emoji45][emoji22]

#2:
Wiki hii kuna mtu nilienda kumtembelea eneo xxxxx nyumba ya 5 kutoka tulipokua tukasikia kelele watu wanalia na kupiga ukunga. Ikabidi tuende kufaham tatizo ni nini....O my G it was a scarest thing you'll ever see. tulikuta mtu kafariki kajifungia ndani. Alijilaza tu akapitiliza siku 4 haijagundulika kashavimba hata kumuinua haiwezekani.

Naye pia inasemekana alikua anatabia ya upweke upweke. May The almighty rest his/her poor soul[emoji45]
___
See, I also have this inclination and demeanour of being loner and Unsocial.
I don't like to be noticed and cared, I just like to be nobody and always to be the guy in the Corner that no one knows. When someone would ask who that guy(me) and others will answer... That's just a guy in the Corner.

Sipendi Kusema nimeenda wapi, sipendi kuulizwa upo wapi, sipendi kuulizwa vipi haliyo unaendeleaje, Sipendi Kuambiwa Pole. Sipendi kuambiwa All gonna be alright, sipendi kuambiwa I miss you, Sipendi kuambiwa So and So Napenda niwe mimi tu Just me[emoji3526][emoji847]

But hayo matukio yamenifanya nijitafakari upya tabia zangu hizi. I think I neef to recalibrate my Behavior.
Wito.
Mnaokataa ndoa angalieni yasiwakute hayo matukio unaumwa getho huna hata wa kumtuma Paracetamol pharmacy unakufa ukiwa unajiona. Mwenye ubongo na ajitafakari!

[Enyi Introvert, Jihadharini na Upweke. Upweke sio jambo Zuri.]

View attachment 2529893

Sioni kama ndoa ni suluhisho ila put God first
 
I hope y'all are doing just fine, and so Do I.

Straight kwenye mada...
#1:
4yrs ago kuna mtu (alikua muimbaji wa kigango fulani) hakua na mke wala kuishi na mtu yoyote...He was a loner. Akawa akiugua ugua ila alitoa taarifa kwenye uongozi wake wa Choir, back then nami nilipenda kushiriki shiriki masuala ya kanisani. Ndipo nilipomjulia huyu mtu japo tulikua maeneo tofauti but... kulikua na taratibu zilizowekwa na makasisi kwamba kila mwisho wa mwezi wahudumu wa kutoka Vigango mbalimbali katika parokia yetu wanakutana.

So that Guy....alikua mgonjwa mgonjwa but he was a loner and eligible bachelor. Alifariki akiwa chumbani kwake aligundulika after 3 days. So Sad!😟😢

#2:
Wiki hii kuna mtu nilienda kumtembelea eneo xxxxx nyumba ya 5 kutoka tulipokua tukasikia kelele watu wanalia na kupiga ukunga. Ikabidi tuende kufaham tatizo ni nini....O my G it was a scarest thing you'll ever see. tulikuta mtu kafariki kajifungia ndani. Alijilaza tu akapitiliza siku 4 haijagundulika kashavimba hata kumuinua haiwezekani.

Naye pia inasemekana alikua anatabia ya upweke upweke. May The almighty rest his/her poor soul😟
___
See, I also have this inclination and demeanour of being loner and Unsocial.
I don't like to be noticed and cared, I just like to be nobody and always to be the guy in the Corner that no one knows. When someone would ask who that guy(me) and others will answer... That's just a guy in the Corner.

Sipendi Kusema nimeenda wapi, sipendi kuulizwa upo wapi, sipendi kuulizwa vipi haliyo unaendeleaje, Sipendi Kuambiwa Pole. Sipendi kuambiwa All gonna be alright, sipendi kuambiwa I miss you, Sipendi kuambiwa So and So Napenda niwe mimi tu Just me☺️🤗

But hayo matukio yamenifanya nijitafakari upya tabia zangu hizi. I think I neef to recalibrate my Behavior.
Wito.
Mnaokataa ndoa angalieni yasiwakute hayo matukio unaumwa getho huna hata wa kumtuma Paracetamol pharmacy unakufa ukiwa unajiona. Mwenye ubongo na ajitafakari!

[Enyi Introvert, Jihadharini na Upweke. Upweke sio jambo Zuri.]

View attachment 2529893
we always have one confidant who cares for us, kokote niliko lazima atajua na atanicheck after some period of time
 
I hope y'all are doing just fine, and so Do I.

Straight kwenye mada...
#1:
4yrs ago kuna mtu (alikua muimbaji wa kigango fulani) hakua na mke wala kuishi na mtu yoyote...He was a loner. Akawa akiugua ugua ila alitoa taarifa kwenye uongozi wake wa Choir, back then nami nilipenda kushiriki shiriki masuala ya kanisani. Ndipo nilipomjulia huyu mtu japo tulikua maeneo tofauti but... kulikua na taratibu zilizowekwa na makasisi kwamba kila mwisho wa mwezi wahudumu wa kutoka Vigango mbalimbali katika parokia yetu wanakutana.

So that Guy....alikua mgonjwa mgonjwa but he was a loner and eligible bachelor. Alifariki akiwa chumbani kwake aligundulika after 3 days. So Sad!😟😢

#2:
Wiki hii kuna mtu nilienda kumtembelea eneo xxxxx nyumba ya 5 kutoka tulipokua tukasikia kelele watu wanalia na kupiga ukunga. Ikabidi tuende kufaham tatizo ni nini....O my G it was a scarest thing you'll ever see. tulikuta mtu kafariki kajifungia ndani. Alijilaza tu akapitiliza siku 4 haijagundulika kashavimba hata kumuinua haiwezekani.

Naye pia inasemekana alikua anatabia ya upweke upweke. May The almighty rest his/her poor soul😟
___
See, I also have this inclination and demeanour of being loner and Unsocial.
I don't like to be noticed and cared, I just like to be nobody and always to be the guy in the Corner that no one knows. When someone would ask who that guy(me) and others will answer... That's just a guy in the Corner.

Sipendi Kusema nimeenda wapi, sipendi kuulizwa upo wapi, sipendi kuulizwa vipi haliyo unaendeleaje, Sipendi Kuambiwa Pole. Sipendi kuambiwa All gonna be alright, sipendi kuambiwa I miss you, Sipendi kuambiwa So and So Napenda niwe mimi tu Just me☺️🤗

But hayo matukio yamenifanya nijitafakari upya tabia zangu hizi. I think I neef to recalibrate my Behavior.
Wito.
Mnaokataa ndoa angalieni yasiwakute hayo matukio unaumwa getho huna hata wa kumtuma Paracetamol pharmacy unakufa ukiwa unajiona. Mwenye ubongo na ajitafakari!

[Enyi Introvert, Jihadharini na Upweke. Upweke sio jambo Zuri.]

View attachment 2529893
You gonna die one day ,am gonna die so issue sio kuoa wapo walio kwenye ndoa wameuana so let wait Kila mtu na kifo chake either kwenye corner or where njia sahihi naona hujapata mtu wakumshirikisha na kushea nae ya moyoni Kuna marafiki waaminifu wapo .... Kupata wakuteta nae ni tiba tosha
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hasa ninyi wandani (introverts)
Tatizo kuna Raha sana kuwa mwenyewe mwenyewe, hakuna usumbufu, ni Raha tu. Naweza kuamua kutafuta sehemu iliyotulia mfano kwenye miti nikatulia zangu, au kukaa ndani siku nzima...yaani kuna Raha sana...hayo mengine sasa
Ishara ya uchoyo.
 
Hii hali mimi inanitesa, yani naweza pitisha siku mbili hata jua sijaliona, mimi ni ndani tu.
 
Aiseee msitutishe basi daah kwaiyo sisi tunaojifungia wiki hatutoki itakuwaje sasa daaah [emoji17][emoji58]
Ukweli ni kwamba uwe introvert au xtrovert utakufa tu!!!!

Uwe unaishi pekeako au uishi na mke/mume still ukifa utaoza tu

nothing exceptional,,, yaan uishi na mtu eti kisa atoe taarifa siku ukifa,, vp yeye ndo akatangulia kufa??? Vp ukifa yy akiwa kasafiri??????
Siyo kweli, kuna uwezekano mkubwa wa kuepuka kifo.

Siku moja niliumwa. Mwanzo niliuona. Dakika chache baadaye nilizima network. Nilikuja kujitambua saa 4 baadaye. Watu wamejaa wamenizunguka.

Niliwashukuru na kuwaomba wakaendelee na majukumu yao. Niliwaomba watu wawili nibaki nao. Niliwauliza what happened?

Kuna jamaa alikuja kwa shida zake nyumbani kwangu. Piga hodi hakuna jibu. Aliingia sebuleni, hakuna mtu. Kwa kuwa mlango wa sebleni na chumbani ilikuwa wazi, akaamua achungulie chumbani akidhani kuna wizi jmefanyika. Alinikuta nimezima. Aliita watu wakanipa huduma ya kwanza ndo kupata fahamu.

Je bila msaada ule nini kingetokea?
 
Being social nacho ni kipaji kama vipaji tu vingine... na kuwa LONELY, haimaanishi huzuni......
Ni kweli, kunatofauti pia ya mawazo/Stress na msongo/Depression
 
Hata Mimi muda mwingi napenda kuchangamana na watu,
👉 ila wakati mwingi napenda kuwa mwenyewe🤒
👉Sipendi hata kupigiwa kelele ziwe za sauti ya watu au muziki.
 
Back
Top Bottom