Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
te extraño.Mbona "aisee"
😍esta bien.te necesito bebé
en ningún lugardonde vas cariño?? te deseo
Sawa.Texto tsap
tu no online.Texto tsap
Binafsi sijaona cha kuogopesha kwenye hii stori bado. Mwamba keshajifia zake, mwili uzikwe usizikwe tayari hayupo!Mwili wake uligunduliwa miaka minne baadae. Alifia kwenye kitanda chake mwaka 2018. NIGERIA ..
Alikuwa Engineer alipata shida na wife wake wakatengana. Wife alikuwa akiishi port harcout...mwamba akaenda ishi Oyo state. Akajenga nyumba yake huko Oyo akiindelea na kazi .. hakua mtu wa kujichanganya kabisa...kama ulivyosema, a loner.
Walipata mtoto mmoja na mke wake, binti ila alienda marekani.. so mzee akawa detached completely na familia yake. Hakuwa na story na majirani ..wala kazini zaidi ya fundi aliyekuwa akimjengea nyumba.
Alikuwa na pressure maana vilikutwa vidonge pembeni.. so katoka ktk mishe zake siku moja kapumzika... Labda alipata stroke.. akaenda moja kwa moja..
Mwaka wa kwanza ukapita...wa pili...wa tatu..wa nne..
Majirani wakashangaa mbona hii nyumba inazidi kuwa msitu... Serikali ya mtaa wakajipanga wafuatilie kulikoni... Walipoanza safisa eneo wakakuta gari nayo ishaanza pigwa kutu... Kwa mbali wakagundua mlango uko wazi... Kwenda kusukuma dirisha ndo wakamuona mzee kalala ka hivyo..
Sad story.
So wakaanza kutafuta ndugu na nini...mambo kibao. Familia ilipatikana baadae after a police struggle..
So kama unavyosema, u loner ukizidi ni ishu.. we have to check on each other.. walau hata kama ni ugenini tafuta mshikaji mmoja tu wa kuwa close.. just in case.
Ni kipi mlimsaidia baada ya hapo?Jirekebishe maisha hayo mabaya sana,
Jamaa yangu alikufa wiki aligundulika kwa harufu tu na Nzi madirishani..
Wewe ni binaadamu na si mnyama. Ndio maana huitwi mzoga. Thamini thamani ya mwili wako ukiwa hai au mfu. Ndio maana hakuna jalala la marehemuNashindwa kuelewa hawa wanaosema tujichanganye na watu eti; ili tu tukifa tupate wa kutuzika..
Sasa najiuliza nizikwe ama nisizikwe mimi inanihusu nini tena? Maana hamna ninachoweza kubadilisha. Au nimekufa watu hawajui, bado kuna shida gani? Si mwili utajiozea tu?
We jamaa bhna[emoji38][emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji28]Ukiwa introvert utakufa kibudu [emoji1787]!!!
Kama unaona kuishi na mtu kero atleast zaa watoto uishi nao mjengoni.
Mkuu,Wewe ni binaadamu na si mnyama. Ndio maana huitwi mzoga. Thamini thamani ya mwili wako ukiwa hai au mfu. Ndio maana hakuna jalala la marehemu
Kukumbuka kubadilika mkuuHingera ya nini Toyeye
Ndio ukweliWe jamaa bhna[emoji38][emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji28]
💕When time is right is right I'll try to change Toyeye