Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly sio kitu kizuri hata kidogoUpweke ni laana
So sad [emoji20], lakini kukaa peke yako kuna vibe ambayo haielezeki . Mm binafsi sipendi kujichachanganya na watu, hata wakija washkaji kunitembelea huwa natamani mda uende waondoke . Sijui kama n tatizo lakini huwa napenda sana kua mwenyeweI hope y'all are doing just fine, and so Do I.
Straight kwenye mada...
#1:
4yrs ago kuna mtu (alikua muimbaji wa kigango fulani) hakua na mke wala kuishi na mtu yoyote...He was a loner. Akawa akiugua ugua ila alitoa taarifa kwenye uongozi wake wa Choir, back then nami nilipenda kushiriki shiriki masuala ya kanisani. Ndipo nilipomjulia huyu mtu japo tulikua maeneo tofauti but... kulikua na taratibu zilizowekwa na makasisi kwamba kila mwisho wa mwezi wahudumu wa kutoka Vigango mbalimbali katika parokia yetu wanakutana.
So that Guy....alikua mgonjwa mgonjwa but he was a loner and eligible bachelor. Alifariki akiwa chumbani kwake aligundulika after 3 days. So Sad![emoji45][emoji22]
#2:
Wiki hii kuna mtu nilienda kumtembelea eneo xxxxx nyumba ya 5 kutoka tulipokua tukasikia kelele watu wanalia na kupiga ukunga. Ikabidi tuende kufaham tatizo ni nini....O my G it was a scarest thing you'll ever see. tulikuta mtu kafariki kajifungia ndani. Alijilaza tu akapitiliza siku 4 haijagundulika kashavimba hata kumuinua haiwezekani.
Naye pia inasemekana alikua anatabia ya upweke upweke. May The almighty rest his/her poor soul[emoji45]
___
See, I also have this inclination and demeanour of being loner and Unsocial.
I don't like to be noticed and cared, I just like to be nobody and always to be the guy in the Corner that no one knows. When someone would ask who that guy(me) and others will answer... That's just a guy in the Corner.
Sipendi Kusema nimeenda wapi, sipendi kuulizwa upo wapi, sipendi kuulizwa vipi haliyo unaendeleaje, Sipendi Kuambiwa Pole. Sipendi kuambiwa All gonna be alright, sipendi kuambiwa I miss you, Sipendi kuambiwa So and So Napenda niwe mimi tu Just me[emoji3526][emoji847]
But hayo matukio yamenifanya nijitafakari upya tabia zangu hizi. I think I neef to recalibrate my Behavior.
Wito.
Mnaokataa ndoa angalieni yasiwakute hayo matukio unaumwa getho huna hata wa kumtuma Paracetamol pharmacy unakufa ukiwa unajiona. Mwenye ubongo na ajitafakari!
View attachment 2529893
Kifo ni kifo tuu mkuu, ikitimia hayo yote hayana umuhim.Kweny maisha lazima uwe na mtu ambae asipoona simu yako siku hyo au ww usipoona yake unahisi kupungukiwa.
Sio lazima awe ni mchumba ako, Mtu huyo anaweza kua yyte yule ambae anajali, anaupendo, kuna baadhi ya vitu mnafanana na kuheshimiana.
Kazi ya kutafuta mtu wa namna hyo si ngum kwa sabb watu wa namna hyo tunao kila siku kweny maisha yetu ni swala la kutambua tu.
Binadamu tukipendana, tukashirikiana, tukashirikishana matatizo yetu na kufarijiana kutapunguza vifo vya namna hyo.
Hayo ni maisha kabla ya kifo ndio nimezungumzia.Kifo ni kifo tuu mkuu, ikitimia hayo yote hayana umuhim.
But kuwa introvert haimaanishi ukose social skills...au ushindwe kuchangamana,unaweza kuwa introvert mwenye kujua kujihusisha vizur na mambo ya kijamii...Introverts
Akina Da'Vinci hao....ukiwaona jf wanaandika magazeti utajua waongewji. Yaani mazungumzo namtu lazima aboreke tu maana lete Habari, sawa haina shida zinakua nyingi sana😟Mi pia ni introvert... and i hate it. Tatizo kubwa kabisa tulilonalo sisi ma introvert ni kwamba hatuna ile art of interaction. Tunapenda kukaa pekee. Mtu kama unakosa art of interaction hata connection hupati. Maisha sikuhizi yanahitaji connection, kazi, biashara mishe mbali mbali ya kimaisha inahitaji watu. But us we choose to be alone. Nimeanza kujifunza art of interaction taratibu lakin naona nashindwa. Ila tukiwa nyuma ya keybord tunamaneno mengi hatari😅
Aisee Mkuu kama upo Dom Town em tuwe marafiki maan naona una Slogan kam zangu kabisaKuogopa kifo ni ujinga kwanza hapa Duniani Kuna kitu gani Cha maana Hadi utamani kuishi miaka mingi?
Dunia iliyojaa wapumbavu wanaouza utu wao kwa pesa !?
Mimi nawachukia Binadamu hasa wanawake kwa 99% yaani Mimi gheto langu siwezi ruhusu wanawake watie mguu hiyo ni tangu na barehe Hadi leo I hate women
Pia Mimi ni introvert sipendi marafiki Kabisa hata iweje kukaa na Watu kujichanganya sipendi I'm enjoying my own company.
Arrgh😥😪😪 Lovelovie, guess watu hao nishawapoteza long Time, kila Mara niwatafute mi so nikaona f uck themBinadamu tukipendana, tukashirikiana, tukashirikishana vifo vya namna hyo.
Sometimes hua nashawishika kuamini kwamba wengi walio katika huu mtandao ni introvert. Ndio maana sio wote wanaweza kuendana na mtandao huu. Since it's anonymous Platform mtu anaweza kujifanyia maujinga yake bila kujulikana. Hapo ndio utakuta watu wanaigiza kua waongeaji sana ila kiuhalisia sio waongeaji. Okopa sana wanaojifanya wakimya humu ndio hua waongeaji saaaanaKuna uzi mmoja upo humu nilishawahi kuwaonya maintrovert kuhusu kujitenga sana
Sasa hivi kila mtu introvert Aaaaagh !
Alafu imekuwa ni Kama sifa
Mbona unashangaaa🤔🤔🤐, Lovelovie😳😳😳😳