Sex addict
JF-Expert Member
- Feb 21, 2023
- 902
- 1,815
Music [emoji445][emoji445] is our wife inasaidia sana kutuliza moyoMkuu, upweke nao sometime mbaya hasa mida ya kuanziq saa mbili usiku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Music [emoji445][emoji445] is our wife inasaidia sana kutuliza moyoMkuu, upweke nao sometime mbaya hasa mida ya kuanziq saa mbili usiku
Huyu ni mimi mtupu nafurahia sana maisha niliyonayo.Sipendi Kusema nimeenda wapi, sipendi kuulizwa upo wapi, sipendi kuulizwa vipi haliyo unaendeleaje, Sipendi Kuambiwa Pole. Napenda niwe mimi tu Just me☺️🤗
Hahaha music 🎵 inanifariji sanaUnaepuka mengi ila ndio hivo unaweza kufa kwa kukosa mtu wa kukuchotea maji ya kunywa.
View attachment 2529928
😂😂😂waeleze wenzako wale wa kataa ndoa.
Mwanamke au mwanaume? [emoji4][emoji4]Yasuni sigonza
Finally uzeeniKwa upande wangu to be a loner is much safe in this wicked world, by being a loner you protect yourself from a lot of problems...
☺️Abe SipeNDI kuoGA ☺️Lovielovie kama mamiemamie [emoji4][emoji4][emoji4][emoji848]
Unajifanya wewe ni introvert but mind you huko kwenye hilo kundi....I hope y'all are doing just fine, and so Do I.
Straight kwenye mada...
Upweke siyo mzuri,Sanaa unajikuta unawaza mambo mabayaYaaani bro upo kama mimi yaani sipendi kujumuika na watu kabisa leo nimetoka chumbani nimekaa kaa njeee nasikia kama battery low daaah
Asante Mungu kwa kunifanya introvert umeniepusha na mengi sana [emoji3590]
Introverts to the world [emoji288]View attachment 2529921
We unaongelea mamuziki kwenye kifo, aseee!.Music [emoji445][emoji445] is our wife inasaidia sana kutuliza moyo
Mdada mdogo kabisa 28 years ndio huyo labdaUkute ndio hilo ebeo nililokuwepo maana watu wamegundua baada ya kuona nzi wengi wanatoka chumbani😢
You're Quite right ma'am.Kweny maisha lazima uwe na mtu ambae asipoona simu yako siku hyo au ww usipoona yake unahisi kupungukiwa.
Sio lazima awe ni mchumba ako, Mtu huyo anaweza kua yyte yule ambae anajali, anaupendo, kuna baadhi ya vitu mnafanana na kuheshimiana....
Na ndo atakuwa mkeoMy worse nightmare ,nitaweka house girl ila nahisi nitaishia kumkula
Usikolezeee sasaWe unaongelea mamuziki kwenye kifo, aseee!.
Basi sio yeye, huyu ni wa daslamKama ni Arusha basi ndio Mwenyewe