Sex addict
JF-Expert Member
- Feb 21, 2023
- 902
- 1,815
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji444]Mapenzi gani ni tiba haya ya wanawake wa kiafrika, au yapi hayo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji444]Mapenzi gani ni tiba haya ya wanawake wa kiafrika, au yapi hayo?
Yes kwani kunashida mkuuKingine hupendi kuoga ndio maana ukajiita SipeNDI kuoGA
Mambo ya kujifungia ndani siwezagi nimepanga na watu introvert lakini huwa na wachangamsha naweza enda hata kuwaazima kiberiti ili nisikie tu Sauti zao kuwa wamo ndani na ni wazima wakati kebriti ninacho ndani kwangu.Mke wa tatu wa babu mkubwa hakubahatikaga kupata uzao. So babu alivyofariki, wajomba wakawa wanapeleka chakula tu lakin hakuna alietakaga kumchukua kuishi nae. All this kwa sabbu ya migogoro ya kifamilia.
Siku katika kukutana kimisiba, mtu akamuuliza hivi bibi unaishi mwenyewe kweli? Bibi akajibu " ndio naishi mwenyewe hata siku nikifa nitakutwa mdomo wazi haujajifunga maana hakutakuwa na wa kuufumba." Ikaishia hapo. Mwaka mmoja baada ya bibi kutamka hayo maneno kweli ikatokea kama alivyosema. Mwili wake ulikutwa ndani baada ya majirani kutomuona kwa siku tatu. Mlango kuvunjwa, akakutwa alishafariki kitambo mwili unatoa harufu.
Kuna mjomba wangu mmoja nae anapiga mishe za machimbo ya madini. Aliwahi pata shangazi lakin akaachana nae maana alimzingua. So mpaka sasa na miaka yake 65 hanaga mke. Anaishigi mwenyewe tu. Sasa kuna siku katoka mihangaikoni, akawa kanunua nyama. Akaingia ndani akaibandika kwenye jiko la gesi. Akakaa kitandani akapitiwa na usingizi.
Anaishi chumba kimoja. Ile nyama ikachemka mpaka ikaungua. Mara watu wanaona moshi. Gonga hodi sana no reponse. Wakaona hapa tutaungua wote. Ndo mlango kuvunjwa, moto ulikua ushashika kwenye vikaratasi vya kwenye chumba. Ndo watu kumuamsha, kuzima jiko, kulitoa nje. Almanusura nyumba ingewaka na yeye angefia ndani. Mpaka leo maisha yake its still a puzzle.
Yes kuwa introvert ni vizuri lakini atleast uwe na mmoja wa kukufahamu kiundani. Kila kitu ni risky. Choose your danger wisely...
Kabisa,huo umri ukifika huna wajukuu/Mke ndipo vifo huanzaNa umri pia kuanzia miaka 50 na kuendelea upweke unakua mbaya sana
Kufa tutakufa, ila tunaangalia umekufa katika hali gani??Ukweli ni kwamba uwe introvert au xtrovert utakufa tu!!!!
Uwe unaishi pekeako au uishi na mke/mume still ukifa utaoza tu
nothing exceptional,,, yaan uishi na mtu eti kisa atoe taarifa siku ukifa,, vp yeye ndo akatangulia kufa??? Vp ukifa yy akiwa kasafiri??????
Kwani nani kasema kuna shida?Yes kwani kunashida mkuu
Point kubwa ni nini? Nachojua kuwa na cycle ya watu haimaanishi kuwa utokufa. Kifo kipo palepale hata huyo extrovert anaweza kutana na scenario kama hiyoUnaepuka mengi ila ndio hivo unaweza kufa kwa kukosa mtu wa kukuchotea maji ya kunywa.
View attachment 2529928
Huenda nisiufikie huo uzeee nikafa before 30, AU hata kesho tu hapo.Finally uzeeni
Sio kweli hata kidogo, binafsi nikiongea na watu huwa najikuta nawaza mambo mabaya lakini nikiwa kimya aisee nawaza vitu positive sana,..na nafurahia sana kuwa kimya..Upweke siyo mzuri,Sanaa unajikuta unawaza mambo mabaya
Ya sayari nyingine.Mapenzi gani ni tiba haya ya wanawake wa kiafrika, au yapi hayo?
Sawa mkuuHuenda nisiufikie huo uzeee nikafa before 30, AU hata kesho tu hapo.
Do you know the story behind this..👇So that Guy....alikua mgonjwa mgonjwa but he was a loner and eligible bachelor. Alifariki akiwa chumbani kwake aligundulika after 3 days. So Sad!😟😢