Haya matukio yamenifanya nijitafakari upya tabia zangu

Haya matukio yamenifanya nijitafakari upya tabia zangu

Naciki
I hope y'all are doing just fine, and so Do I.

Straight kwenye mada...
#1:
4yrs ago kuna mtu (alikua muimbaji wa kigango fulani) hakua na mke wala kuishi na mtu yoyote...He was a loner. Akawa akiugua ugua ila alitoa taarifa kwenye uongozi wake wa Choir, back then nami nilipenda kushiriki shiriki masuala ya kanisani. Ndipo nilipomjulia huyu mtu japo tulikua maeneo tofauti but... kulikua na taratibu zilizowekwa na makasisi kwamba kila mwisho wa mwezi wahudumu wa kutoka Vigango mbalimbali katika parokia yetu wanakutana.

So that Guy....alikua mgonjwa mgonjwa but he was a loner and eligible bachelor. Alifariki akiwa chumbani kwake aligundulika after 3 days. So Sad!😟😢

#2:
Wiki hii kuna mtu nilienda kumtembelea eneo xxxxx nyumba ya 5 kutoka tulipokua tukasikia kelele watu wanalia na kupiga ukunga. Ikabidi tuende kufaham tatizo ni nini....O my G it was a scarest thing you'll ever see. tulikuta mtu kafariki kajifungia ndani. Alijilaza tu akapitiliza siku 4 haijagundulika kashavimba hata kumuinua haiwezekani.

Naye pia inasemekana alikua anatabia ya upweke upweke. May The almighty rest his/her poor soul😟
___
See, I also have this inclination and demeanour of being loner and Unsocial.
I don't like to be noticed and cared, I just like to be nobody and always to be the guy in the Corner that no one knows. When someone would ask who that guy(me) and others will answer... That's just a guy in the Corner.

Sipendi Kusema nimeenda wapi, sipendi kuulizwa upo wapi, sipendi kuulizwa vipi haliyo unaendeleaje, Sipendi Kuambiwa Pole. Sipendi kuambiwa All gonna be alright, sipendi kuambiwa I miss you, Sipendi kuambiwa So and So Napenda niwe mimi tu Just me☺️🤗

But hayo matukio yamenifanya nijitafakari upya tabia zangu hizi. I think I neef to recalibrate my Behavior.
Wito.
Mnaokataa ndoa angalieni yasiwakute hayo matukio unaumwa getho huna hata wa kumtuma Paracetamol pharmacy unakufa ukiwa unajiona. Mwenye ubongo na ajitafakari!

View attachment 2529893

Nafikiri kuoa hakutatui ilo tatizo, mimi nimeoa, ila tabia za mke ndo zanifanya nitake kabisa kabisa kukaa mbali na yeye, ingawa hatujaachana, na pia zinafanya nikwepe ndugu zangu sababu akinikosa anaenda wasumbua.

Oa sababu umepata mtu na una mami katika familia, hizi mambo nyingine ni useless kabisa ukiziweka kama ssababu ya kuona.
 
Sasa mkuu, kifo na kataa ndoa vinahusianaje hapa??? Ikiwa mtoto wa daktari bingwa wa ugonjwa unaomsumbua mtoto wake au yeye anadanja tena akiwa kwenye facilities zote, hapo inakuwaje sasa!!!

Kama siku yako imefika you're gone my friend.

Kataa ndoa, naishi nitakavyo.
 
Msiogope vifo ndugu.

Kifo kinapumzisha mtu na tabu za dunia.
Kama vile magonjwa sugu yenye maumivu makali. Kuna wakifariki ndugu wanasema bora amepumzika kwa mateso aliyopitia.

Ishini kwa kuishi, usiiishi ukiwaza kifo, hakina tarehe wala saa, popote sehem yoyote kinaweza tokea bila kutegemea.

Hata mkiishi watu 60 kwenye chumba kikifika kimefika,

USIOGOPE KIFO
 
Kweny maisha lazima uwe na mtu ambae asipoona simu yako siku hyo au ww usipoona yake unahisi kupungukiwa.
Sio lazima awe ni mchumba ako, Mtu huyo anaweza kua yyte yule ambae anajali, anaupendo, kuna baadhi ya vitu mnafanana na kuheshimiana.
Kazi ya kutafuta mtu wa namna hyo si ngum kwa sabb watu wa namna hyo tunao kila siku kweny maisha yetu ni swala la kutambua tu.

Binadamu tukipendana, tukashirikiana, tukashirikishana matatizo yetu na kufarijiana kutapunguza vifo vya namna hyo.
Umenena vyema sana ..... Umesomea nini Mdada mzuri... Naomba Cv yako just briefly kuna mchongo.
 
Mke wa tatu wa babu mkubwa hakubahatikaga kupata uzao. So babu alivyofariki, wajomba wakawa wanapeleka chakula tu lakin hakuna alietakaga kumchukua kuishi nae. All this kwa sabbu ya migogoro ya kifamilia.

Siku katika kukutana kimisiba, mtu akamuuliza hivi bibi unaishi mwenyewe kweli? Bibi akajibu " ndio naishi mwenyewe hata siku nikifa nitakutwa mdomo wazi haujajifunga maana hakutakuwa na wa kuufumba." Ikaishia hapo. Mwaka mmoja baada ya bibi kutamka hayo maneno kweli ikatokea kama alivyosema. Mwili wake ulikutwa ndani baada ya majirani kutomuona kwa siku tatu. Mlango kuvunjwa, akakutwa alishafariki kitambo mwili unatoa harufu.

Kuna mjomba wangu mmoja nae anapiga mishe za machimbo ya madini. Aliwahi pata shangazi lakin akaachana nae maana alimzingua. So mpaka sasa na miaka yake 65 hanaga mke. Anaishigi mwenyewe tu. Sasa kuna siku katoka mihangaikoni, akawa kanunua nyama. Akaingia ndani akaibandika kwenye jiko la gesi. Akakaa kitandani akapitiwa na usingizi.

Anaishi chumba kimoja. Ile nyama ikachemka mpaka ikaungua. Mara watu wanaona moshi. Gonga hodi sana no reponse. Wakaona hapa tutaungua wote. Ndo mlango kuvunjwa, moto ulikua ushashika kwenye vikaratasi vya kwenye chumba. Ndo watu kumuamsha, kuzima jiko, kulitoa nje. Almanusura nyumba ingewaka na yeye angefia ndani. Mpaka leo maisha yake its still a puzzle.

Yes kuwa introvert ni vizuri lakini atleast uwe na mmoja wa kukufahamu kiundani. Kila kitu ni risky. Choose your danger wisely...
Wadada wazuri wazuri kama nyie asee
Ukiwa mzuri unakua unaongea vizuri pia eti ?
 
Ukweli ni kwamba uwe introvert au xtrovert utakufa tu!!!!

Uwe unaishi pekeako au uishi na mke/mume still ukifa utaoza tu

nothing exceptional,,, yaan uishi na mtu eti kisa atoe taarifa siku ukifa,, vp yeye ndo akatangulia kufa??? Vp ukifa yy akiwa kasafiri??????
Huna akili
 
Upweke sio mzuri kabisa .
Ila nawaza na maisha haya kibongo mara makelele huku na kule hivi inakuaje mpaka ujifungie ndani pekee yako bila kutaka hata story na mtu .

Je na umbea je ili upate habari za mtaa ?

Vipi kuhusu story mob vijiweni ? [emoji3][emoji3]

Nyie sio wabongo ni wazungu kabisa wa roho yaani nikae ndani na nje nasikia kuna story zinaendelea mtanisamehe .

Vipi kwenda bar ? Yaani eti nibebe pombe ninywee ndani bila kuwatizama wadada wa kunawiri nyuso huku mziki kidogo .

Nitoke nje nipate vyuku kidogo mara nipate watu na story za uongo na kweli? Aaghh big no

Punguzeni uzungu maisha yetu ni ujamaa ndugu zanguni
 
I won't buy that fear by the way its not even a fear its just imagination of what happen to them but its not necessary it will happen to you, kila mtu na destination yake na ni bora kujifia chumbani pekee yako bila maumivu kuliko kufa kwa maumivu uliyosababishiwa na toto la watu mlokutana ukubwani tena lamini, iko hivi..
Mi ni introvert niliyewahi kuishi na mwanamke na nimezaa nae mtoto mmoja, sijawahi kuwa na furaha kuishi naye vitimbwi, drama (99.9% ya wanawake wa na hizi vitu), nilijutia kwa nini nilifanya uamuzi wa kumkaribisha ndani, niliponea chupchup kumtia ndoige ya lala salama kwa maudhi yake nkatumia busara akapita hivi.
Since then Im happy alone and I enjoy life to the fullest, itanichukua miaka mingi sana kuishi na mwenza unless nikutane na spiritual minded like me.
Kitu nilichogundua kuhusu kuwa loner ni kwamba
"being alone has a POWER that only few people can handle"
So if you can't, tafuta mwenza usije kujifia kama hao wendazake.
 
Kuna umri ukifika kuwa mwenyewe yaani mpweke haifai...
Imeshawahi kutokea kwa jirani yetu, mzee alifariki ndani peke yake baada ya week ndio tunafahami...
 
Haijalishi ww ni introvert or extrovert ila kifo kipo palepale tu sasa sijaona shida hapo,

Mana kama siku hazijafika huwez kufa na pia siku zikifika hata ukizungukwa na watu wengi bado tu utakufa

Kuhusu kuozea ndani sion kama ni tatizo kwako kwan ushakufa tayar
 
Back
Top Bottom