Haya ndio makadirio ya gharama (ukitumia rate za kiserikali) kusafirisha wasanii 40 Korea

Haya ndio makadirio ya gharama (ukitumia rate za kiserikali) kusafirisha wasanii 40 Korea

Kwanza nieleweke, hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.

Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu kwa wafanyabiashara matajiri kutoa fedha pasipo wao kunufaika.

Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni.

Hotel, ya kiwango cha kawaida ni kama 2,00,000 za Kitanzania Kwa wasanii 40 kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni.

Posho kwa wasanii 40 arubaini kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil.

Hivyo kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatoka gharama za serikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni, na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24!
Hii ni Kodi anayokamuliwa mfanyabiashara ambaye amepata hasara
 
Hizo Pesa wangetunza na kununulia mbolea, badala yake TCRA ikaacha kuingilia mitandao na kuwapangia bei ya Bundle (ili wapate TOZO kwenye bundle); wasanii hawa wangeweza kuingiza kazi zao zaidi kwenye social media hivyo kujipatia vijisenti; Au hizo pesa wangewapa zote cash mzunguko wa pesa ungeongezeka sababu wangekula bata na chenji wangenunulia hata laptop ya kuwasaidia kwenye kazi zao; badala yake tumekwenda kuongeza mzunguko wa pesa wa kina Jummong na walamba asali,,,,
 
Wanaupiga mwingi.!
Kwanza nieleweke, hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.

Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu kwa wafanyabiashara matajiri kutoa fedha pasipo wao kunufaika.

Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni.

Hotel, ya kiwango cha kawaida ni kama 2,00,000 za Kitanzania Kwa wasanii 40 kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni.

Posho kwa wasanii 40 arubaini kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil.

Hivyo kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatoka gharama za serikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni, na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24!
 
Yote ni kwa vile tu kuna mtu anataka kuendelea kuwa Rais hivyo anataka kuonekana yeye ni mtu wa watu ndiyo maana anajitahidi kujaribu kufurahisha kila kundi,hakuna cha kwenda kujifunza wala nini ila hiyo ni "takrima" ili wampigie debe mtu.
 
Kwanza nieleweke, hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.

Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu kwa wafanyabiashara matajiri kutoa fedha pasipo wao kunufaika.

Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni.

Hotel, ya kiwango cha kawaida ni kama 2,00,000 za Kitanzania Kwa wasanii 40 kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni.

Posho kwa wasanii 40 arubaini kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil.

Hivyo kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatoka gharama za serikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni, na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24!
Bila kuwapeleka mashehe na mapadiri itakuwa hawawatendei haki, mzee wa Msoga angalau alionesha njia kwa kuwapeleka.
 
Hii nchi ukitaka kuishi vizuri jifyatue akili kuwa kama ling'ombe lililokosa mchungaji..... Ukiwa serious tu unaweza jilipua kama Al-shabaab
 
Kwanza nieleweke, hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.

Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu kwa wafanyabiashara matajiri kutoa fedha pasipo wao kunufaika.

Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni.

Hotel, ya kiwango cha kawaida ni kama 2,00,000 za Kitanzania Kwa wasanii 40 kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni.

Posho kwa wasanii 40 arubaini kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil.

Hivyo kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatoka gharama za serikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni, na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24!
Huku kuna wagonjwa wanakosa hata milioni 2 mpaka Malisa anachangisha
 
Back
Top Bottom