residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Pole sana kwa kulia sana.Nimelia Sana ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸŒš
Sijui waliobubujikwa na machozi ya furaha kwa hili la wasanii kwenda Korea wako wapi leo Lucas Mwashambwa !!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana kwa kulia sana.Nimelia Sana ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸŒš
Hii ni Kodi anayokamuliwa mfanyabiashara ambaye amepata hasaraKwanza nieleweke, hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.
Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu kwa wafanyabiashara matajiri kutoa fedha pasipo wao kunufaika.
Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni.
Hotel, ya kiwango cha kawaida ni kama 2,00,000 za Kitanzania Kwa wasanii 40 kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni.
Posho kwa wasanii 40 arubaini kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil.
Hivyo kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatoka gharama za serikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni, na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24!
Maisha magumu kwa CHADEMA tu.CCM wao saaafiii!Maisha magumu kweli wanakosea sana ila hata ukiwaelekeza hawataelewa
Ndiyo wewe kumbe?Yote Kheri
Ndio uchawa ukaanzia hapoEvery Roman Caesar must feed his gladiators who entertain and distract the masses.
Kwanza nieleweke, hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.
Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu kwa wafanyabiashara matajiri kutoa fedha pasipo wao kunufaika.
Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni.
Hotel, ya kiwango cha kawaida ni kama 2,00,000 za Kitanzania Kwa wasanii 40 kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni.
Posho kwa wasanii 40 arubaini kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil.
Hivyo kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatoka gharama za serikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni, na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24!
Bila kuwapeleka mashehe na mapadiri itakuwa hawawatendei haki, mzee wa Msoga angalau alionesha njia kwa kuwapeleka.Kwanza nieleweke, hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.
Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu kwa wafanyabiashara matajiri kutoa fedha pasipo wao kunufaika.
Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni.
Hotel, ya kiwango cha kawaida ni kama 2,00,000 za Kitanzania Kwa wasanii 40 kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni.
Posho kwa wasanii 40 arubaini kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil.
Hivyo kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatoka gharama za serikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni, na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24!
Powerful...Every Roman Caesar must feed his gladiators who entertain and distract the masses.
SahihiEvery Roman Caesar must feed his gladiators who entertain and distract the masses.
Hiyo sio kodi?Pesa ndogo sana hiyo kwa Serikali.
Huku kuna wagonjwa wanakosa hata milioni 2 mpaka Malisa anachangishaKwanza nieleweke, hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.
Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu kwa wafanyabiashara matajiri kutoa fedha pasipo wao kunufaika.
Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni.
Hotel, ya kiwango cha kawaida ni kama 2,00,000 za Kitanzania Kwa wasanii 40 kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni.
Posho kwa wasanii 40 arubaini kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil.
Hivyo kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatoka gharama za serikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni, na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24!