Haya ndio maumivu au uchungu wa kifo unaompata mtu anayekufa 'Sakaratul-Mauti'

Hapa ndipo dini hukosea, Yaani mtu badala ufunze watu kutenda yaliyo mema ili kumtafuta Mungu... ila ninyi hutengeneza story kutisha watu na kufanya Mungu aonekane katili
 

Sio lazima kumtii Mungu kama moyo wako hautaki. Huo ni unafiki.

Mungu Mkuu sio mhitaji iweje ahitaji, atake, anapenda Watu wamtii ikiwa hawataki?

Hiyo unayoitaja ni sheria za miungu ambayo haina lolote.

Ninachokueleza ni kuwa, Mungu Mkuu Muumba WA hiyo miungu unayoitaja sheria zao hataki umtii wala umpende. Angetaka hivyo wala wewe usingeandika hii Porojo yako hapa, kwani Watu wote na viumbe wote automatically wangemtii na kumpenda.

Lakini yeye ndio hataki na hapendi, hiyo kutaka na kupenda ameachia miungu, na viumbe waliowaumba wao ndio wataamua watake au wasitake, wapende au wasipende.
 

1 Corinthians 2:14 NIV

The person without the Spirit does not accept the things that come from the Spirit of God but considers them foolishness, and cannot understand them because they are discerned only through the Spirit.

 
Limewasumbua nyinyi tu. Wengine halijawasumbua. Kwa nini useme kwa niaba ya dini nyingine wakati hauamini hizo dini wala haziamini mungu wako?
Kwa watu wengi wa kidini, imani ya uhai baada ya kifo inategemea mafundisho katika maandiko au mapokeo yao. Maandiko matakatifu katika Ukristo, Uyahudi na Uislamu yanazungumza juu ya maisha ya baada ya kifo - kwa hivyo kwa wafuasi wa imani hizi maisha baada ya kifo yameahidiwa na Mungu.
 

Hakunaga Elimu ya Imani.
Unachoelezea wewe sio Elimu ya Imani. Bali unaelezea Elimu ya Dini Kwa jinsi Watu wanavyoamini.
Hakunaga Elimu ya Imani.

Imani inahusu Nafsi, hakujawahi kuwa na Elimu ya Nafsi kwenye huu Ulimwengu.

Kutunga Visasili(Myths) na kuigeuza kuwa kweli ndio ninapopingana na watu wenye Akili ndogo.
Ni Sawa na Mimi zile Stori zangu za kubuni hasa Visasili watokee Watu kama wewe wazisadiki waamini ni Elimu ya Imani. Ndicho unachokifanya
 
Kama Mungu anatupenda kweli angepambana na shetani yeye mwenyewe kuliko kutuachia msala sisi. alafu yeye akaenda kujificha
Hata pesa huiamuru ikifuate ni lazima uitafute, hata chakula hukiamuru kiingie tumboni ni lazima ukitafute na ukitafune ndio kiingie. MUNGU ahajakufanya wewe kama jiwe, kwasababu amekupa akili sasa lazima akupe kwa hatua za baadae. Hata mwanao utaanza kumlinda akiwa mdogo lakini akishapevuka utamuacha. Hizo ni kanuni ndogo za uwendeshaji wa mambo
 
Karibu sana
 
Unabishana na wansayansi ukiwa Kimara🤣🤣🤣🤣
Ndio mkuu, ndio maana tuko wazi kwasababu kinachokea hapa kinafahamika kinaga ubaga kuliko wewe uliyejificha ambaye huna uhakika wa hicho unachokitetea. Karibu Kimara Korogwe
 
Acha fix wewe. Huyo alikuumba wewe ulimuona wapi? Wadangaje wajinga wenzako mimi nishushe nimefika.
Uthibitisho wa kuwepo kwa Mungu Kila mtu huhisi ndani yake kwamba ana Bwana na Muumba, na anahisi kwamba anamhitaji. Muda wako wa kumuhitaji ukifika utamtafuta Boss
 
Ni dini mpya ya scientism, inaamini kuwa sayansi ina majibu ya kila kitu.
 
Mwambie Mungu wako aende Yemen Sudan afugan Satan na Somalia Kuna watu Ni wanyenyekevu kwake na Wana mtii yeye na Sheria zake
 
Hapa ndipo dini hukosea, Yaani mtu badala ufunze watu kutenda yaliyo mema ili kumtafuta Mungu... ila ninyi hutengeneza story kutisha watu na kufanya Mungu aonekane katili
Ni kama vilevile majeshi hupiga mazoezi makali, kwa ajili ya kutishia watu na kutishia nchi jirani badala ya kuhimiza amani kwa watu wake.
Kila jambo lina hekima zake Boss. Hata mwanao anapokengeuka lazima umkumbushe kwamba kuna kesho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…