Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Wanaopajua Kilimanjaro wala huwashtia kwa vile mjini Pana manyumba ya zamani mengi .....Huko kijijini ndo kuzuri maana nyumba nyingi ni mpya na za kisasa.Mwambie hapa ni kibosho Moshi vijijin kbs
Kumbe wewe bure kabisa hujui nikikopa nikaizungusha fedha hiyo inazaa,nakurejeshea na riba Yako alafu na mm nakuwa nazid kuongeza mzunguko Wangu?Circulation na katika uchumi wa riba ...Hujaenda shule au wewe hujielewi.
Nakupa kazi kaangalie wanaokopa wangapi wanafanikiwa kibiashara hata kurudisha mkopo then compare na wanaoshindwa ndo uje hapa.
Uwe unasoma sio kukariri na kucopy kazi za watu vyuoni..
Sasa unatozaje ushuru KATIKA mazingira kama hayo?Hili ndilo soko kuu la samaki Moshi Kwa sasa lililopo eneo la Mailisita katika wilaya ya Hai
Wafanyabiashara wakubwa na wadogo wa samaki waliohamishiwa eneo hilo walikabidhiwa eneo hilo lisilokuwa na miundombinu yoyote inayoendana na aina hiyo ya biashara.
Hakuna miundombinu ya vyoo maalumu kwa ajili ya wafanyabiashara hao, bali hutumia vyoo vilivyopo jirani na eneo hilo.
Mfumo wa maji safi na taka hakuna kutokana na. Kuwa magari huleta samaki wabichi na wengine huoshea eneo hilo hilo kabla ya kukaanga hapo na Kusafirisha.
Miundombinu ya jiko hakuna bali kila mtu hukaanga samaki hapo hapo anapoona Panafa.
Mvua na jua vinawaathiri kutokana na kuwa ni eneo la wazi na halijajengwa kwa namna yoyote ile ili liweze kuwangika na mvua wafanyabiashara hao.
Wakati huo huo hutozwa ushuru kila siku wa soko.
View attachment 2554409View attachment 2554410View attachment 2554411
Mzunguko wako upi?Kumbe wewe bure kabisa hujui nikikopa nikaizungusha fedha hiyo inazaa,nakurejeshea na riba Yako alafu na mm nakuwa nazid kuongeza mzunguko Wangu?
Au unadhani watu wanakopa wanaenda kuongeza MKE WA tatu na kucheza baikoko kama nyie? Ukikopa ukaenda kuongeza MKE ndio itakuwa hivyo
๐คญduuu
Hao wengi ni wazaramo wanaona chuki maana tunazidi kuwaamisha Hadi mwanaromango tushawahamisha[emoji2][emoji2]wanatufedhehesha wameahindwa na kampeni za kataa ndoa zimefeli ndio maana wamekuja kutushambulia wachaga. Pumbavu zao. .
Hawa propagandist wanachukua kipande hiki chรก picha eti Wana define wachaga ndivyo wanavyoushiMama aliagiza wachuuzi wapelekwe maeneo ya masoko.
Mtangulizi wake alisema andaeni miundombinu kisha muwapeleke lakini awamu hii ni kuwa suala la kufanyabiashara ni la mtu binafsi so long as analipa ushuru na kodi zingine hayo machangamoto mtajibeba wenyewe.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya awamu iliyopita na hii ya sasa.
Tafsiri siyo ya kwangu
Chuki Yako ni kwasababu tumewasogeza kwanzia kariakoo Hadi mwanarumango[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa wewe si ndo umetutag hapa ili kulingisha ...na hata mkijetenga hamna jipya kwanza Nan akaishi huko wenyewe hampataki !
Jitengeni muondoke na chadema lenu halafu mkija kushangaa bahari huku ndo mtakuwa mnapata tabu...kitu gani tunategemea kutoka kwenu?
Hilo litakuwa soko jipya nje kabisa ya mji nafikiri nauli shs 500 au 1000 kwa Hice kutoka mjini moshi.Nyie si mnasemaga moshi ni kama new York sijui Amsterdam[emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Moshi vijijin Huko huduma zote zipo,mchaga Hana USHAMBA WA mji kama nyieWanaopajua Kilimanjaro wala huwashtia kwa vile mjini Pana manyumba ya zamani mengi .....Huko kijijini ndo kuzuri maana nyumba nyingi ni mpya na za kisasa.
Ni kwamba Moshi ndo kumechoka kuliko vijijini
Hamna maajabu ๐๐sisi hata tukiwa na kidogo tunafurahi ...Tunavaa sana tunapendeza ndo furaha yetuChuki Yako ni kwasababu tumewasogeza kwanzia kariakoo Hadi mwanarumango[emoji2][emoji2]
๐๐Huo ni ubinafsi wa wale wakina mramba ,mtei .Moshi vijijin Huko huduma zote zipo,mchaga Hana USHAMBA WA mji kama nyie
Uchagan Hadi supermarket zipo vijijin,bank vijijin,nyumba Hadi ghorofa vijijin Kila hudumaa IPO Kijiji hayo ndo maisha
Sio wenzetu unakuta MTU kuiona l'ami Hadi atembee km 200
Hao wanakopa bila kufanya surveyMzunguko wako upi?
Nimekwambia kaangalia idadi wanaoweza kufanikiwa au waliofanikiwa kwa njia ya kukopa ni ndogo mno.
Riba kubwa ni uwizi na utapeli watu mnashindwa daily nyumba zinauzwa
Mmetununua wapi? Wakati unauziwa sehemu za zamani ...Sehemu mingi haijapangika .Hao wanakopa bila kufanya survey
Na sio ukope kama foundation,unatakiwa ukope ukiwa tayari una mtaji Ile inakuwa kwa ajili ya kupanua mtaji,Sasa HII ndio Siri ya wachaga kuwanunua nyie WA pwani Hadi mwanaromango
Talking about kuvaa? Sisi tunawaza kumiliki ma bilion na more assetsHamna maajabu [emoji23][emoji23]sisi hata tukiwa na kidogo tunafurahi ...Tunavaa sana tunapendeza ndo furaha yetu
Propagandist at work mkuu huwajui? Mm ndio kiboko yaoUmeandika soko la samaki moshi lakn mbona lipo wilaya ya hai halipo wilaya ya moshi?
Mabilion unaenda wapi ? Wapi mengi?Talking about kuvaa? Sisi tunawaza kumiliki ma bilion na more assets
Nchi nzima wachaga wapo kutoka na exposure Ktk elimu,mchaga anakuwa kapngwa Kaz mahali kwahyo hapohapo atabuni fursa,na elimu imesaidia wachaga kutawanyika nchi nzima