Analysis yako ni shallow sana.
Magufuli alisema vituo ambavyo walikuwa wamekamilisha, hakusema kuwa kuwa hapo ndipo walikuwa wameishia bali kuna ambavyo vilikuwa vinaendelea kujengwa vvikiwa hatua mbalimbali. Huyu mama anaendeleza vitup ambavyo alivikuta vikiwa katika hatua mbalimbali kabla havikamilika.
Sasa wewe unakuja analysis iliyokuwa skewed kama kuwa vituo wanavyosema vyote vilifanyiwa upembuzi yanikifu na kuanza kujengwa miezi hii mitano tu kabla hata bajeti yake haijapitishwa. Mama alikuta bajeti iliyoachwa na Magufuli ndiyo aliyendelea nayo kwa miezi minne, hivyo miradi yote aliykuwa anasimamia katika kipindi hicho ni ile aliyokuta kwenye bajeti hiyo; sasa hivi ndiyo ameanza na bajeti yake mwenyewe na miradi yake.