Hayati Magufuli alijenga vituo vya afya 44 kwa miaka mitatu, Rais Samia anajenga 220 kwa miezi mitatu

Hayati Magufuli alijenga vituo vya afya 44 kwa miaka mitatu, Rais Samia anajenga 220 kwa miezi mitatu

Sawa ila kwa mda gani? Kumbuka hospital zote hazijaanza na ushahidi ninao so Rais ana mzigo wa kuzimalizia na zianze huduma na kujenga mpya.

Kimsingi kwa sasa kila wilaya imepata hospital za Wilaya Kazi ya mama ni vituo vya afya na zahanati .
Watu wanabeza juhudu hizi za Mama, tuweke political interest pembeni kazi na juhudi inaonekana,
 
Rais Samia ukiacha kwamba ameanza kuwalipa posho madiwani,wenyeviti wa vijiji/ mitaa,maafisa tarafa nk lakini pia serikali yake imetenga bil.149 kwa ajili ya kuanza kutoa bima kwa wote na wamesema wataanza na makundi ya vipaombele sasa hili ni jambo jema.
 
Watu wanabeza juhudu hizi za Mama, tuweke political interest pembeni kazi na juhudi inaonekana,
Tozo zimewachanganya na wanaofanya haya kama kawaida ni chadema na mataga/wafuasi wa Magu alnaarufu wazee wa legacy 😆😆 lakini ni WA kupuuzwa maana matokeo yanaonekana na walitegemea ashindwe.

Mwisho huko kwenu Mwanza nimeona kuna muwekezaji anataka kujenga ghorifa 22 hatutakujywa maji 😝😝
 
Analysis yako ni shallow sana.

Magufuli alisema vituo ambavyo walikuwa wamekamilisha, hakusema kuwa kuwa hapo ndipo walikuwa wameishia bali kuna ambavyo vilikuwa vinaendelea kujengwa vvikiwa hatua mbalimbali. Huyu mama anaendeleza vitup ambavyo alivikuta vikiwa katika hatua mbalimbali kabla havikamilika.

Sasa wewe unakuja analysis iliyokuwa skewed kama kuwa vituo wanavyosema vyote vilifanyiwa upembuzi yanikifu na kuanza kujengwa miezi hii mitano tu kabla hata bajeti yake haijapitishwa. Mama alikuta bajeti iliyoachwa na Magufuli ndiyo aliyendelea nayo kwa miezi minne, hivyo miradi yote aliykuwa anasimamia katika kipindi hicho ni ile aliyokuta kwenye bajeti hiyo; sasa hivi ndiyo ameanza na bajeti yake mwenyewe na miradi yake.



No, alizungumzia budget sio Vituo vilivyokamilika tu,
Tunaposema vituo 487 maana yake hata vile ambavyo bado havijasimama ila pesa ipo tunaaccount kama tayari kipo,
 
Tozo zimewachanganya na wanaofanya haya kama kawaida ni chadema na mataga/wafuasi wa Magu alnaarufu wazee wa legacy 😆😆 lakini ni WA kupuuzwa maana matokeo yanaonekana na walitegemea ashindwe.

Mwisho huko kwenu Mwanza nimeona kuna muwekezaji anataka kujenga ghorifa 22 hatutakujywa maji 😝😝


😵😵
 
mama akitulia vzur katika matumizi ya hzo pesa kwakua mkali katika kila shilingi na ufutiliaji makini na kuwajibisha watakao chezea hd 2025 atakua amefanya makubwa sn
tatz wapigaji watakua wengi alafu miradi mingi itadoda haijaisha hela hazieleweki ziko wapi

watanzania kwa ss tunaamini kwakuona hadith tumezichoka


Facts, Shida wapigaji wa hii nchi ni hatari,
 
Yaani waja hapa na ujinga wako kusema raisi Samia amejenga vituo vya afya 220 kwa miezi mitatu?

Huoni haya haya kuketi kitako kuleta hizi "cooked stuff"?

Hivyo ni vituo vya afya au vibanda vya afya?

Kwa sasa mmeng'amua kuwa watanzania wengi hawatilii maanani ufisadi wenu sasa mnatumia ujinga wao kama mtaji wa kuwaghiribu.

Au kwa kiingereza inasemwa "you are using your people ignorance so you can exploit them better".

Na huu ni uthibitisho wa mnachokifanya.

Shame on you.



Andika tu Kiswali tutakuelewa mkuu,
 
Miradi mingi ya afya site zipo on, na hela znafika kwa wakati, vituo vya afya vikiwa vingi itakuwa rahisi kupata huduma za afya..and hence will rise our life expectancy... hongera sana MH. Raisi. KAZI IENDELEE 👏



🤛🏿 🤛🏿 🤛🏿 🤛🏿
 
Itachukua muda watu kuelewa fiada ya hizi tozo,
1. Huduma za jamii zitaboreshwa
2. Ajira mpya serikalini zitaongezeka
3. Mzunguko wa fedha utarejeshwa kwa wananchi kupitia mishahara/ ujenzi wenyewe / ajira / vibarua na manunuzi.
4. Kutanuka kwa huduma za ziada usafirishaji / fedha (Banking / mobile money services)


Uzuri Tozo hizi hazipelekwi kujenga madarasa Sudani Kusini ni humuhumu nchini.


🤛🏿 🤛🏿 🤛🏿
 
Technically mambo mengine huwa yanakuwa influenced na mambo ya chama ,unakuta hizo pesa zinapelekwa kusaidia chama kinyume na utaratibu ndio maana unakuta huwezi ku msite mtu mmja,ni kama ile ksmpuni ya kuweka pigment kwenye mafuta.

Nadhani CAG aendelee kuibua tuu


🤛🏿 🤛🏿 🤛🏿
 
Back
Top Bottom