Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #81
Mimi na viongozi wa Chadema tulikuwepo kwenye mazishi yale , ndio maana kwenye makala hii tumeomba sana ukiweka jambo uwe na ushahidi , chama kilichofurumushwa na wananchi kingewezaje kushinda uchaguzi wa marudio ? jiangalie sura halafu jicheke kidogo .Kiongozi wa upinzani aliyeshiriki mazishi ni mrema tu kwanini sio chadema tuanzie hapo halafu tuingie kwa mlinzi wa dkt slaa kujeruhiwa na red bridged chumba cha siri!
Mahakama ilimkuta Mbowe ana Kesi ya kujibu ya UgaidiUsinitishe. Kwani hiyo picha hapo ni ya Uzushi? Mbowe hakufikishwa Mahakamani kwa Ugaidi?
Wema wake upi huo, mwenye wema anatafuta maridhiano ya kusamehewa?
Kwanini Mbowe mpaka leo asiende mahakamani kushitaki Serikali kwa aliyofanyiwa? Kama yana Ukweli?
Magufuli alikuwa katika vita na Wazungu. Big Corporations
Wakaleta Mamluki na ndio hao hapa Unaowaita 'Mungu'.
Ukweli ni kwamba Vibaraka wao na mawakala wao ndio hawa unaowatetea.
Wacheni hizi deflection kuwa ilikuwa Kwasababu ya hali ya Kidemokrasia. Sio Kweli
Semeni ilikuwa ni Kwasababu za Interest za Kiuchumi za Mabeberu na ndio maana mnashashabikia hizi psychological warfare ili watu waache kupigana vita za Kiuchumi.
Mbowe hata kuja kuwa Raisi wa Nchi hii. Labda afanye kama Zitto awe mbunge tu.
Sasa huyu muuzaji Erythrocyte hawezi kunijibu mana milimfumania akimsaliti mume wake mbowe wakati wa uchaguzi wa 2020Waulize warembo wa Chadema
Viongozi wa Chadema waliokuwepo ni Halima Mdee, Esther Bulaya, Lazaro Nyalandu na Mchungaji Msigwa 😂😂Mimi na viongozi wa Chadema tulikuwepo kwenye mazishi yale , ndio maana kwenye makala hii tumeomba sana ukiweka jambo uwe na ushahidi , chama kilichofurumushwa na wananchi kingewezaje kushinda uchaguzi wa marudio ? jiangalie sura halafu jicheke kidogo .
Anajifanya ni mke mdogo wa msigwa huyoViongozi wa Chadema waliokuwepo ni Halima Mdee, Esther Bulaya, Lazaro Nyalandu na Mchungaji Msigwa 😂😂
Bhana, jiwe hawezi kutembea na huyu mtoa marinda miss Erythrocyte 😂Unamuwaza Jiwe kama alikukaza😂
Andiko reeeeefu lakini uchafu mtupu
Jamaa alienda pale kama mke wa mboweViongozi wa Chadema waliokuwepo ni Halima Mdee, Esther Bulaya, Lazaro Nyalandu na Mchungaji Msigwa 😂😂
Yaani bado mnashindana na mtu aliyekwisha fariki?kweli mzimu wa Magufuli ni mkubwa kuliko hivyo vyama vyenu ovyo.Ikiwa tumeingia mwezi wa 3 , ambao kwa mahesabu ya Tanzania na wanazuoni ni mwezi wa Mungu ( wenye akili wameelewa ) , tutajitahidi kuanzia leo na kuelekea mwisho kuwaletea makala za kusikitisha za uozo wa serikali ya awamu ya 5 na viongozi wake , wakiwemo waliokufa na walio hai , wakiwemo wenye madaraka hadi leo na wale ambao wako Benchi .
Tunachoahidi ni kuhakikisha kwamba kila hoja zetu zitakuwa na ushahidi uliotukuka bila longolongo yoyote , kikubwa twende na kanuni ileile ya kwamba AKUANZAE MMALIZE
Pichani ni Tito Magoti aliyetekwa na kunusurika kuuawa na utawala huo akipelekwa mahakamani , nusura yake ilitokana na makelele ya Watu kutaka apatikane akiwa hai , hii ni baada ya Mashuhuda kuona namna alivyotekwa tangu mapema kabisa , huyu aliponea tundu la sindano
View attachment 2933711
Ombi letu ni hili , kila mwenye ushahidi wa mambo yote machafu ya awamu ya 5 ajitokeze kuuleta , katika makala zetu hizi kabambe za Mwezi huu wa Mungu , HATUTAKUWA NA MSWALIE MTUME .
NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO
Ukilewa usiandike jf , utachekwa , lazaro Nyalandu na Bulaya waliingia Chadema lini na Wangwe alizikwa lini ? uzi huu utawadhalilisha wanafiki wote !Viongozi wa Chadema waliokuwepo ni Halima Mdee, Esther Bulaya, Lazaro Nyalandu na Mchungaji Msigwa 😂😂
Muongo mkubwa matapeli wakubwa walipeni wale waandishi wa habari huna lolote hakuna aliyetia pua pale mimi nilikuwepo nikiwa na kiongozi wangu Mrema hatukuona chadema yeyote baada ya wakurya kupandisha mori!Mimi na viongozi wa Chadema tulikuwepo kwenye mazishi yale , ndio maana kwenye makala hii tumeomba sana ukiweka jambo uwe na ushahidi , chama kilichofurumushwa na wananchi kingewezaje kushinda uchaguzi wa marudio ? jiangalie sura halafu jicheke kidogo .
Thibitisha .Muongo mkubwa matapeli wakubwa walipeni wale waandishi wa habari huna lolote hakuna aliyetia pua pale mimi nilikuwepo nikiwa na kiongozi wangu Mrema hatukuona chadema yeyote baada ya wakurya kupandisha mori!
Wangwe alizikwa baada ya Party ya Africa Kusini 🐼Ukilewa usiandike jf , utachekwa , lazaro Nyalandu na Bulaya waliingia Chadema lini na Wangwe alizikwa lini ? uzi huu utawadhalilisha wanafiki wote !
Nithibitishe nini!Thibitisha .
Hawa watu ni wajinga huwezi amini yaani, Chadema huwa wanasema eti imekusanya watu wasomi, wasomi gani aina hii, watu ambao badala ya kumwaga sera zao, wanamuongelea hayati?Yaani bado mnashindana na mtu aliyekwisha fariki?kweli mzimu wa Magufuli ni mkubwa kuliko hivyo vyama vyenu ovyo.
kwamba viongozi wa Chadema hawakushiriki mazishi ya WangweNithibitishe nini!
Athibitishe kipi sasa, Mahakama si tayari imetolea uwamuzi?Thibitisha .
Kuna nyuzi 20 zinakuja bakisha matusi usije ukaishiwaHawa watu ni wajinga huwezi amini yaani, Chadema huwa wanasema eti imekusanya watu wasomi, wasomi gani aina hii, watu ambao badala ya kumwaga sera zao, wanamuongelea hayati?
Jinga sana aisee