Hayati Magufuli alikosea kwenye mambo mengi mno. Kubwa mojawapo ni kumchagua huyu mtu

Hayati Magufuli alikosea kwenye mambo mengi mno. Kubwa mojawapo ni kumchagua huyu mtu

Alilazimishwa na nani? Kikwete?

Ndio na Kikwete mwenyewe juzi kati akiwa Arusha kwenye mkutano na vijana alikili wazi kuwa ndie aliempendekezea Magu juu ya Makamu wa Rais kuwa Mwanamke na akampendekeza Samia
 
Hakuna statement inaniudhi kama hiyo eti anapotoshwa na walio mzunguka, ila kadiri wanavyozidi kuihubiri ndo wana admit alichokisema mtoa mada kwamba ndugu yetu ni empty set maana anapelekeshwa tu yeye hana anachokijua
Chuki zenu za yeye kuwa mwanamke zitawatesa mpaka uzeeni.
 
Chuki zenu za yeye kuwa mwanamke zitawatesa mpaka uzeeni.
Kuna muda ni vizuri ukajitahidi sana hata kama unasikia unawashwa sana basi funga na kumuomba Mungu wako akusaidie usionyeshe ujinga wako kwa watu. Tunajadili kiongozi wala sio jinsia yake ila kwa sababu wapambe na walamba nyayo wake mmekosa hoja za kujibu mnaibukia kwenye jinsia mara dini n.k. Waambieni waliowatuma kwamba kazi ya kumtetea ni ngumu kama kuuza nguo za jeshi sokoni maana haziuziki.
 
Kwanini amchague mtu anayemtaka yeye?. Hakuna rais aliyeweza kuweka mrithi wake anayemtaka mwenyewe.

Alishindwa Mwalimu Nyerere kumuweka Salim Ahmed Salim angeweza JPM ambaye hakuwa na misingi ndani ya CCM?.
Ni misingi ipi hiyo ndani ya CCM?

Mtu amekaa CCM na serikalini miaka zaidi ya 20 wasema hakuwa na misingi?

Na pili, mgombea wa uraisi huchagua mwenyewe makamu wake au huchaguliwa na watu maalum au hupewa mapendekezo ya orodha ya majina?

Tufafanulie uzuri mkuu.
 
Kuna muda ni vizuri ukajitahidi sana hata kama unasikia unawashwa sana basi funga na kumuomba Mungu wako akusaidie usionyeshe ujinga wako kwa watu. Tunajadili kiongozi wala sio jinsia yake ila kwa sababu wapambe na walamba nyayo wake mmekosa hoja za kujibu mnaibukia kwenye jinsia mara dini n.k. Waambieni waliowatuma kwamba kazi ya kumtetea ni ngumu kama kuuza nguo za jeshi sokoni maana haziuziki.
Kazi ya kumtetea haina ugumu wowote. Yupo tofauti sana na mtangulizi wake.

Anasikiliza matatizo ya watu kwa ukaribu, mtangulizi hakutaka kupingwa alijiona yupo sawa muda wote.

Anaruhusu ubunifu wa wasaidizi wake ufanye kazi kwa faida ya nchi na matunda yanaonekana. Hataki kila kitu kukifanya yeye tu akidhani anajua kila kitu.

Biashara zinastawi sana awamu hii kwani hakuna unyanyasaji wala uporaji wa mali za watu.

Awamu iliyopita ilisababisha vifo vya baadhi ya wafanyabiashara kwa kuendekeza upuuzi wa kunyanyasa na kupora mali za watu kwa kutumia TASK FORCE.

Huo ujinga ulimnyang'anya mali hayati Mbughuni mjasiriamali mzalendo alizochuma kwa jasho kwa miaka mingi na akapewa Musiba na kwa mbwembwe akawa anawatukania wazee wa CCM!.

Mbughuni mpaka anaaga dunia alikuwa kwenye michakato ya kurudisha mali zake kutoka mikononi mwa chama.

Samia anaweza kuwa na udhaifu lakini hana unyama kama huo nilioutaja hapo juu, hivyo awamu yake ni nyepesi kulinganisha na hizo za wajuaji.
 
Uliona wapi mtu anachagua msaidizi smart kuzidi yeye
Uko sahihi Kabisa mkuu...

Siku zote lazima uchague mtu ambae mnaendana kimtazamo lakini unae mmudu kwa mambo mengi mkuu,

Ni ngumu na hatari kuchagua mtu anaekuzidi uwezo kwa mambo mengi kifikra, n.k.
hapo umenena💪
 
Hili Jambo nililisema humu hata kabla ya DPW.

SSH alichaguliwa Kwa sababu,
👉Ni Mdhaifu
👉Ni mzanzibar
👉Ni Mwanamke.

Bahati mbaya sana Rais JPM Kwa Uwezo wake mkubwa alokua nao, haikua shida kwake, TATIZO NI KIFO CHAKE, KIFO CHA JPM, NA KATIBA MBOVU, NDIO VIMETUUZIA MBUZI KWENYE GUNIA


Wewe mtu kasoma Kwa kufelifeli weeeeee mpaka hapo alipo.

Hawa kiasili wanakuaga na ujuha wa kuzaliwa, wadhaifu na waoga, Watu Hawa Huwa kwenye kutafuta UKUU, wapo radhi kufanya mambo ya Hatari sana, Kwa sababu wanajua, hawana Uwezo na hivo muda wote wanahisi kudharauliwa .


Hali kama hii, huwafanya kutumia Kila Silaha wanayoweza ,kupambana na mtu anayeonekana ni Tishio !!.



Angalieni Genge lilomzunguka, Genge Zima, ni watu wanaofanana kielimu , Sasa unategemea Nape au Makamba, Wamshauri nn??


Hakujawahi kutokea kua na Rais mbovu kama huyu !!!.

Sahizi tuna makesi mengi mahakaman, hayo yote unaambiwa, Ni makosa ya JPM...Alaaaaa!!.

JPM alipokua hai, hizo kesi uchwara mbona hazikuwepo???.


Tuna Kiongozi mbovuuu kushindwa hata ubovu wenyewe
Nakubaliana na wewe 100 %. Hawa failures wa O level hawawezi kuwa na akili au uwezo ya kuongoza Taifa.
 
Mtu huyo ni Rais Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].

Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].

Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].

Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.

Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.

He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa



Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.

Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].

Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.

Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.

Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.

Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.

Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.

Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.

Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].

Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.

Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!

Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.

Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.

Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.

Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.

Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too 😀].

Ilikuwa makosa kumweka Magufuli kwenye Urais, mama ndiyo anasafisha madudu ya Magufuli. Hii ni kama Mwinyi alivyosafisha madudu ya nyerere, na Kikwete akaja kusafisha ya Mkapa.

Watende wao ya wenzao huwa mwao.
 
Huu ni mtazamo wako tu kama ambavyo wapo wanaokuona wewe ni mjinga tu na mtu anaejifanya mjuaji ilhali huna la maana ulilofanya katika nchi hii au jamii yako.
 
Mtu huyo ni Rais Samia!

Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani].

Kamala yeye alichaguliwa na Biden kuwa mgombea mwenza kwa sababu ni mwanamke mweusi [ingawa kiuhalisia ni chotara wa Kihindi na Kijamaica].

Kamala ni mweupe kabisa. Yaani hovyo to the nth degree. Anaongeaga mashudu tu [word salads].

Hana kabisa uwezo wa kuongoza. Yeye ni kucheka cheka tu na kuongea mambo yasiyoeleweka.

Ukimwangalia Biden, unaona kabisa jamaa anapaswa awe nyumbani. Kazi ya urais wa Marekani kwa sasa haiwezi.

He is a creepy old guy. Hebu angalia hapa



Hivi alikuwa anafanya nini hapo kwa hako katoto? Na hiyo ni wiki iliyopita alipokuwa Finland baada ya kutoka Lithuania kwenye mkutano wa NATO.

Biden muda wowote anaondoka. Iwe kwa kujiuzulu, kuamua kutogombea tena muhula wa pili, au hata kufa [ingawa kifo hakina mwenyewe].

Wazo la Kamala kuja kuwa Rais wa Marekani endapo Biden ataondoka, linatisha watu wengi sana.

Haya, tuje kwa huyu wa kwetu hapa.

Huyu naye alichaguliwa kwa sababu ya identity politics tu. Ni mwanamke na ni Mzanzibari.

Kwa ninayoyaona, ni mtu asiye na uwezo wa kiuongozi ngazi ya Rais wa nchi.

Hakuchaguliwa kutokana na sifa zake za kiuongozi.

Inavyoonekana Magufuli alikuwa anataka sifa ya kuwa na mgombea wa kwanza wa CCM kumchagua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake.

Haiwezekani kabisa kuwa Samia alichaguliwa kutokana na sifa zake kiutendaji [kwa sababu hana].

Jahazi limeshamshinda hivi sasa. Kabaki kutoa vitisho na kutumia dola kukabiliana na wanaompinga.

Na ukiongeza na inferiority complex aliyonayo kutokana na jinsia yake, ndo kabisa anakuwa paranoid kwamba kila anayempinga, anafanya hivyo kwa kusukumwa na chuki dhidi yake kwa sababu yeye ni mwanamke!

Rais Magufuli hakuwa kiongozi mzuri. Nilishasema mara nyingi tu kuwa yeye alikuwa msimamizi/ mnyapara mzuri.

Yeye mpe kazi au mradi ausimamie, halafu umpe mamlaka ya kutosha kuweza kufanya maamuzi ndani ya ukomo fulani, utampenda maana hakuwa wa mchezo mchezo.

Sidhani kabisa kuwa Magufuli aliwaza kuhusu yeye kuishia njiani na kumwacha Samia ndo awe Rais.

Nadhani alidhani kuwa atamaliza vipindi vyote viwili na kustaafu kama walivyofanya waliomtangulia.

Lakini haikuwa hivyo. Tumeachiwa huyu Samia.

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango, kwa mtazamo wangu, ni bora mara 100 kuliko Samia [I got bars too [emoji3]].
Alaumiwe kikwete.ndo aliyemleta huyum saa100
 
Kazi ya kumtetea haina ugumu wowote. Yupo tofauti sana na mtangulizi wake.

Anasikiliza matatizo ya watu kwa ukaribu, mtangulizi hakutaka kupingwa alijiona yupo sawa muda wote.

Anaruhusu ubunifu wa wasaidizi wake ufanye kazi kwa faida ya nchi na matunda yanaonekana. Hataki kila kitu kukifanya yeye tu akidhani anajua kila kitu.

Biashara zinastawi sana awamu hii kwani hakuna unyanyasaji wala uporaji wa mali za watu.

Awamu iliyopita ilisababisha vifo vya baadhi ya wafanyabiashara kwa kuendekeza upuuzi wa kunyanyasa na kupora mali za watu kwa kutumia TASK FORCE.

Huo ujinga ulimnyang'anya mali hayati Mbughuni mjasiriamali mzalendo alizochuma kwa jasho kwa miaka mingi na akapewa Musiba na kwa mbwembwe akawa anawatukania wazee wa CCM!.

Mbughuni mpaka anaaga dunia alikuwa kwenye michakato ya kurudisha mali zake kutoka mikononi mwa chama.

Samia anaweza kuwa na udhaifu lakini hana unyama kama huo nilioutaja hapo juu, hivyo awamu yake ni nyepesi kulinganisha na hizo za wajuaji.
Anamsikiliza nani wakati watu wamekataa bandari isiuzwe hajawasikiliza? Mara ngapi watu wanaomba kumwambia kero zao anawafukuzia mbali kwa kishindo kikuu? Au ana ka kikundi kake anakokasikiliza? Awamu iliyopita iliwasikiliza na kuwajali wote
Ubunifu gani unausemea ubunifu wa umeme kupanda bei na wakiulizwa kila siku wanakuja na ngonjera, ubunifu wa bando kupanda bei bila maelezo ya msingi? Ubunifu sasa umekuwa nchi kuwa kama ukoo wa kambale.
Wafanya biashara gani wana amani wakati wanagoma kila siku kisa rushwa kutoka kwa kwenye mamlaka? Kariakoo iwe case study.
Kwamba hujui machinga, mama ntilie na wafanya biashara wadogo wadogo ambao wakilala usiku wanaamka na kukuta biashara zao zimevunjwa na kutupiliwa mbali kwa lugha tamu ya kuwapanga? Wengi wao wameshindwa kuendesha maisha yao huku mali zao zikiuzwa na mabenki sababu biashara zao zimeharibiwa na hawawezi kulipa mikopo. Au wewe mwenzetu wafanya biashara unawazungumzia kina MO na GSM tu?
Mbona huzungumzii masai waliotimuliwa Loliondo kumpisha mwarabu? Mbona huzungumzii kukopa kopa kulikopitiliza huku hatujui kinacho kopwa kinatumikaje? Mbona huzungumzii safari za nje zisizohesabika lakini zenye matokeo sifuri huku ziara za ndani zikiishia Mwanza na Arusha kila siku?
 
Magufuli hakuchagua bali alipewa. BTW around 2017 - 2018 Mama alitaka kujiuzulu na JPM alimkubalia ila mzee wa busara alituliza anga
 
Back
Top Bottom