MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
1.5T aliyoibua Assad na kuishia kutumbuliwa nayo unasemaje?Mtoa mada nadhani unahitaji kufikiri badala ya kuhemka. Unapotetea uchotwaji wa mabilioni kisa tu humpendi Magufuli nashindwa kukuelewa. Nanusa harufu ya udini na uchawa usio na maana yoyote.
Eti marehemu anapendwa, labda kama anapendwa na mamako. Where is 1.5T?Bado hamjachoka na propaganda za kumchafua marehemu?
Kila mkipima mnaona bado anapendwa hivyo kuongesa kasi ya uongo wenu.
Eti Rais wa ovyo na mwovu.
Kipindi cha Magu ndiyo sheria ziliheshimiwa kupita vipindi vyote! Siyo sheria za barabarani, sheria za kulipa kodi, sheria za kazi nk. Ndiyo kipindi nilishuhudia hata mahakimu wanahakikisha kesi zinaisha ndani ya muda waliowekewa! Polisi walikuwa na nidhamu! Ukiingia ofisi za umma unasikilizwa. Magu tutamkumbuka daima.
Akiongea dunia inasikiliza. Siyo Afrika tu, Ulaya na marekani, walifuatilia mwamba anaongea nini. Ni kutokana na umakini wake na kutokubali kuchezewa chezewa. Watanzania wengi walimpenda ndiyo maana alichaguliwavkwa wingi kwenye uchaguzi ukiacha hizo porojo zenu za wizi wa kura za akina Mdee!
Where is 1.5trillion?Unamimba ya Magufuli ndo maana umeandika huu uozo
Jiwe alikuwa muuaji!!!!!!!!!!!!Tulishawaomba ushahidi wa uovu wake, cha ajabu kinachoelezwa ni tetesi tu na uzushi.
Hebu tuambieni kwa ushahidi halisi (vivid evidence) kwamba alikuwa mwovu
Ushahidi wa mwenye udhaifu najua uko dhahiri hata watoto wadogo wanaweza kuuonesha
Yes magufuri alikuwa mwovu/shetaniKila mwenye akili timamu anajua kuwa Magufuli alikuwa Rais wa hovyo na mwovu. RAIS ambaye alikuwa anakiri hadharani kuwa pesa za serikali ni pesa zake. Alikuwa akisema "pesa zangu". Alikuwa na uhuru wa kuchota mihera ya serikali na kuigawa kwa siri na hadharani ili ajiimarishe kisiasa.
RAIS Samia ni Rais muadilifu haswa , tatizo ni kwamba amekuwa dhaifu kupitiliza.
Kitendo cha kuongea na waajiriwa wake wezi na kuwaambia wampishe nao kumgomea hiyo ni dhahiri kuwa Samia ni dhaifu dhaifu dhaifu. Alishindwa hata kuwataja majina au vyeo vyeo.
Na wasaidizi wake bila shaka hawajitambui au yawezekana nao wanakula pamoja na mafisadi. Walishindwa hata kuandika barua za kuwatengua ambao Samia alisema wampishe.
Power ya Samia ni ndogo sana yawezekana ni ndogo kuliko ya OCD wa wilaya ya Kaliua au Ubungo.
Inaonekana alikuvunja marinda ndio maana unamchukiaJiwe =shetani muuaji
Kwaiyo utawala wa kuruhusu watu kuiba ma bilioni ya pesa Ili Hali wengine wakifa Kwa kukosa maji safi umeme wa uhakika.Kwa hili la kuchaguliwa napinga, Magufuli aliua mihimili yote ikawa vibogoyo, bunge kibogoyo, mahakama kibogoyo, yeye tu akawa jeshi la mtu mmoja, hakuna utawala wa aina hiyo ukawa mzuri.
Watu hawajali as long as circle zao hazipati madhara na sio kwamba hazipati madhara sijui n upofu wa kifikra labdaKwaiyo utawala wa kuruhusu watu kuiba ma bilioni ya pesa Ili Hali wengine wakifa Kwa kukosa maji safi umeme wa uhakika.
Mnaoneka hayawani nyie mnaosema JPM ni muuaji Kwa Sababu mnasahau hata awamu ya kikwete hata mkapa watu wengi tu waliuawa.ndo maana hapa mnapata negative comments nyingi Kwa maoni yenu yaliyo ovyo.nafuu mnyamazr Tu msijiaibishe.Ungeweza kuuliza swali kwa akili zaidi. Swali lako ni upuuzi mtupu.
Hivi hata wanaposema Hitler aliua wayahudi, ni marehemu wa kiyahudi ndio waliotamka? Hata polisi wanaposema kuwa kuna raia fulani ameuawa na majambazi, ni yule marehemu ndiyo huwa anatamka kuwa, mimi nimeuawa na majambazi? Hivi huyo unayemwuliza, kuwa alimwua yeye, kwa akili yako unaamini kuwa kama ingekuwa ni yeye ndiye aliyeuawa, angekuja kufufukia JF aje kulalamika? Kuuliza swali la kijinga kama hilo, unaonekana ama JF ina wagonjwa wa akili au huna swali, umeamua kuandika tu. Jifunzeni kujenga hoja na siyo kuropoka, mnaharibu jukwaa.
Ukiuuliza swali kama hili unaonekana ni mtu aliyekosa kabisa uelewa hata ule wa binadamu mwenye akili ndogo kabisa.
Tafuta swali lisilodhalilisha ubinadamu wako.
Huna akiliHe killed ur husband
Si mnasema Magufuli Kaiba onesheni alipoiiba na alipoweka.Where is 1.5trillion?