Hayati Magufuli alikuwa sahihi kwenye kupinga demokrasia hii tunayohubiri kwa ushahidi kinachotokea sasa kwenye siasa zetu

Hayati Magufuli alikuwa sahihi kwenye kupinga demokrasia hii tunayohubiri kwa ushahidi kinachotokea sasa kwenye siasa zetu

Huna taarifa kuna waliofungwa,waliokuwa mahabusu wameachiwa juzi juzi hapa!!!!

Walikuwa wauza pesa.

Unadhani kuna tajiri anakupenda wewe,serikali,ama mwanao???mwachie tajiri(mfanyabiashara)upenyo kidogo uone atakachokufanya.

Rudi juu,labda bado ulikuwa unahangaika na shule kipindi hicho.

Na wote hao wamerudishwa kazini,kwa akili zako unadhani shida ni magufuli,wao,au waliokwaruzana nao???
Unaweza mtaja hata mmoja ambaye alishitakiwa na kukutwa na hatia ya kuuza madawa?
Je wajua hata familia yake ilimshinda kuiendesha au na hili utahitaji ushahidi uwekwe hapa? Kama familia tu ilimshinda then wew unaamini kuwa aliweza kuendesha Taifa! CAG ambaye alikuwa kanyooka hakumtaka na baadhi ya sehemu za manunuzi yake hakutaka kukaguliwa ila leo wewe unamwita mzalendo na shujaa wako 😂😂😂
Huna taarifa kuna waliofungwa,waliokuwa mahabusu wameachiwa juzi juzi hapa!!!!

Walikuwa wauza pesa.

Unadhani kuna tajiri anakupenda wewe,serikali,ama mwanao???mwachie tajiri(mfanyabiashara)upenyo kidogo uone atakachokufanya.

Rudi juu,labda bado ulikuwa unahangaika na shule kipindi hicho.

Na wote hao wamerudishwa kazini,kwa akili zako unadhani shida ni magufuli,wao,au waliokwaruzana nao???
 
Unaweza mtaja hata mmoja ambaye alishitakiwa na kukutwa na hatia ya kuuza madawa?
Kutokutwa na hatia na kutofanya kosa ni mambo tofauti kabisa,endelea kujifunza.
yupo jamaa hapa na mkewe walishikwa kipindi cha magufuli wamekuja kutoka utawala wa mama.
Kwa mujibu wa sheria hao sio wahalifu,ila kiuhalisia ni wahalifu.
Je wajua hata familia yake ilimshinda kuiendesha au na hili utahitaji ushahidi uwekwe hapa?
weka tu ushahidi,kama unao.
mange anawaharibu sana nyinyi.
Kama familia tu ilimshinda then wew unaamini kuwa aliweza kuendesha Taifa!
wewe na wenzako ndio mnaona taifa lilimshinda,watanzania wenye akili wanaona taifa lilipata mtu.na yeyote atakayesimama pale juu atalinganishwa na jamaa ktk maamuzi,uongozi wa nchi sio uadmin wa group la watsapp.
CAG ambaye alikuwa kanyooka hakumtaka na baadhi ya sehemu za manunuzi yake hakutaka kukaguliwa ila leo wewe unamwita mzalendo na shujaa wako 😂😂😂
CAG ambaye aliamini hicho cheo ni haki yake ya kuzaliwa🤣🤣,mpaka kesho akihojiwa analalamika alionewa,huoni kuna shida kwa huyo CAG wako??
 
Habari wana-JF

Kama mnakumbukumbu vizuri wakati wa awamu ya Magufuli kipindi cha mwanzoni kulikuwa na uhuru mkubwa sana wa kuongea na hata vyama vya upinzani vikawa vinafanya shughuli za mikutano ya kisiasa unajua nini kilibadilika baadae?

Ni pale ambapo badala ya vyama vya upinzani vijikite kwenye hoja kushambulia awamu yake badala yake wakaanza kumtukana matusi mara wanamwita nyapara wa barabara n.k , walimzomea bungeni na kutoka nje wakati wa kuhutubia bunge, maneno yalikuwa mengi kwa upinzani kupinga uraisi wake.

Kupitia haya na mengine ndipo Magufuli kapiga marufuku mikutano ya kisiasa kwasababu badala ya watu wajikite kwenye hoja badala yake wanafanya personal attack na akaona kwa Tanzania wanaamini ili kuwe demokrasia ni pale tu kutakuwepo na uhuru wa kutukana na kudhalilishana ndio maana akaenda mbali zaidi.

Nikija kwenye huu uongozi wa Mama Samia ameona kuwa na uhuru wa kuongea na kuimairisha demokrasia ndio maana akaruhusu mikutano ya kisiasa, akawaachia wanasiasa wa upinzani walikuwa jela lengo ni kuifanya Tanzania wawe wamoja.Japo Mimi binafsi sio muumini wa hii awamu ila kwenye hili ni lakupongeza pamoja na kufanya hivi watu wanatumia uhuru huo vibaya ndio maana Magufuli aliona hili mapema.

Kwanini mnatukana huyu Mama kuna haja gani? Kwanini hatuwezi kuwasilisha hoja zetu bila matusi na udhalilishaji na kizuri ameshawaeleza kama kuna vitu hulizishwi navyo awamu yake ongea watavifanyia kazi, kama no kukosoa kosoa muhimu usivunje sheria na kuwe na mipaka kwa hivi mnavyomtukana nae akaamua kuchukua maamuzi ya awamu ya Magufuli kuhusu demokrasia mtasema amewaonea?


Nani wa upinzani kamtukana Mama? Maana Makonda juzi kasema mawaziri ndiyo wamemtukana Mama na Lema kasema hivyohivyo. Sasa ni wakina Nani hao ambao unasema ni upinzani wanatukana? Au CCM wakitukana wanaitwa upinzani?? Au Yule Dada wa Kipare Kimambi sasa ndiyo upinzani!?. Yaani badala ya kutatua matatizo mnajikita kila kitu upinzani hata kama waliosema ni CCM tena mawaziri!!!. Tukiwa na ubaguzi wa hizi hatuwezi kupata haki kwenye hii nchi ya machawa
 
Habari wana-JF

Kama mnakumbukumbu vizuri wakati wa awamu ya Magufuli kipindi cha mwanzoni kulikuwa na uhuru mkubwa sana wa kuongea na hata vyama vya upinzani vikawa vinafanya shughuli za mikutano ya kisiasa unajua nini kilibadilika baadae?

Ni pale ambapo badala ya vyama vya upinzani vijikite kwenye hoja kushambulia awamu yake badala yake wakaanza kumtukana matusi mara wanamwita nyapara wa barabara n.k , walimzomea bungeni na kutoka nje wakati wa kuhutubia bunge, maneno yalikuwa mengi kwa upinzani kupinga uraisi wake.

Kupitia haya na mengine ndipo Magufuli kapiga marufuku mikutano ya kisiasa kwasababu badala ya watu wajikite kwenye hoja badala yake wanafanya personal attack na akaona kwa Tanzania wanaamini ili kuwe demokrasia ni pale tu kutakuwepo na uhuru wa kutukana na kudhalilishana ndio maana akaenda mbali zaidi.

Nikija kwenye huu uongozi wa Mama Samia ameona kuwa na uhuru wa kuongea na kuimairisha demokrasia ndio maana akaruhusu mikutano ya kisiasa, akawaachia wanasiasa wa upinzani walikuwa jela lengo ni kuifanya Tanzania wawe wamoja.Japo Mimi binafsi sio muumini wa hii awamu ila kwenye hili ni lakupongeza pamoja na kufanya hivi watu wanatumia uhuru huo vibaya ndio maana Magufuli aliona hili mapema.

Kwanini mnatukana huyu Mama kuna haja gani? Kwanini hatuwezi kuwasilisha hoja zetu bila matusi na udhalilishaji na kizuri ameshawaeleza kama kuna vitu hulizishwi navyo awamu yake ongea watavifanyia kazi, kama no kukosoa kosoa muhimu usivunje sheria na kuwe na mipaka kwa hivi mnavyomtukana nae akaamua kuchukua maamuzi ya awamu ya Magufuli kuhusu demokrasia mtasema amewaonea?
Lakini yeye demokrasia ndo iliyompa naifasi, alizokuwa nazo

alifika hapo alipofikia kabla mauti kumfika kwa njia ya demokrasia

Labda nikuulize nchi yenye makabila 120+ na dini kibao utatawala kwa mgumo upi? ukizingatia tuliunganishwa na wakoloni siyo hiari yetu

Hiyo magufulification ilifail dogo kama zilivyofail siasa ya ujamaa za Nyerere

Dogo! Kaa fikiria vitu vyenye akili vya kuandika siyo huu upuuzi
 
Habari wana-JF

Kama mnakumbukumbu vizuri wakati wa awamu ya Magufuli kipindi cha mwanzoni kulikuwa na uhuru mkubwa sana wa kuongea na hata vyama vya upinzani vikawa vinafanya shughuli za mikutano ya kisiasa unajua nini kilibadilika baadae?

Ni pale ambapo badala ya vyama vya upinzani vijikite kwenye hoja kushambulia awamu yake badala yake wakaanza kumtukana matusi mara wanamwita nyapara wa barabara n.k , walimzomea bungeni na kutoka nje wakati wa kuhutubia bunge, maneno yalikuwa mengi kwa upinzani kupinga uraisi wake.

Kupitia haya na mengine ndipo Magufuli kapiga marufuku mikutano ya kisiasa kwasababu badala ya watu wajikite kwenye hoja badala yake wanafanya personal attack na akaona kwa Tanzania wanaamini ili kuwe demokrasia ni pale tu kutakuwepo na uhuru wa kutukana na kudhalilishana ndio maana akaenda mbali zaidi.

Nikija kwenye huu uongozi wa Mama Samia ameona kuwa na uhuru wa kuongea na kuimairisha demokrasia ndio maana akaruhusu mikutano ya kisiasa, akawaachia wanasiasa wa upinzani walikuwa jela lengo ni kuifanya Tanzania wawe wamoja.Japo Mimi binafsi sio muumini wa hii awamu ila kwenye hili ni lakupongeza pamoja na kufanya hivi watu wanatumia uhuru huo vibaya ndio maana Magufuli aliona hili mapema.

Kwanini mnatukana huyu Mama kuna haja gani? Kwanini hatuwezi kuwasilisha hoja zetu bila matusi na udhalilishaji na kizuri ameshawaeleza kama kuna vitu hulizishwi navyo awamu yake ongea watavifanyia kazi, kama no kukosoa kosoa muhimu usivunje sheria na kuwe na mipaka kwa hivi mnavyomtukana nae akaamua kuchukua maamuzi ya awamu ya Magufuli kuhusu demokrasia mtasema amewaonea?
Ukiwa na akili ndogo kama hizi kuipenda demokrasia ni vigumu sana. Magufuli alikuwa na akili ndogo ndo mana akafia kwenye bustani pale mzena akiwaacha makomandoo na mitutu yao mlangoni
 
Kama hauoni me sina msaada na wewe
Machawa hamjitambui. Umeandika blah blah nyiiingi, matusi unayosema hakuna.

Kama ulimaanisha Mange, yule ni ccm mwenzenu.

Acheni ujinga wa kujipendekeza.

Halafu rais ni mtumishi wa umma, kukosolewa haiwezi kuwa dhambi.
Ajabu kuna wajinga wengi mtawala akikosolewa wao hudai ni matusi
 
Habari wana-JF

Kama mnakumbukumbu vizuri wakati wa awamu ya Magufuli kipindi cha mwanzoni kulikuwa na uhuru mkubwa sana wa kuongea na hata vyama vya upinzani vikawa vinafanya shughuli za mikutano ya kisiasa unajua nini kilibadilika baadae?

Ni pale ambapo badala ya vyama vya upinzani vijikite kwenye hoja kushambulia awamu yake badala yake wakaanza kumtukana matusi mara wanamwita nyapara wa barabara n.k , walimzomea bungeni na kutoka nje wakati wa kuhutubia bunge, maneno yalikuwa mengi kwa upinzani kupinga uraisi wake.

Kupitia haya na mengine ndipo Magufuli kapiga marufuku mikutano ya kisiasa kwasababu badala ya watu wajikite kwenye hoja badala yake wanafanya personal attack na akaona kwa Tanzania wanaamini ili kuwe demokrasia ni pale tu kutakuwepo na uhuru wa kutukana na kudhalilishana ndio maana akaenda mbali zaidi.

Nikija kwenye huu uongozi wa Mama Samia ameona kuwa na uhuru wa kuongea na kuimairisha demokrasia ndio maana akaruhusu mikutano ya kisiasa, akawaachia wanasiasa wa upinzani walikuwa jela lengo ni kuifanya Tanzania wawe wamoja.Japo Mimi binafsi sio muumini wa hii awamu ila kwenye hili ni lakupongeza pamoja na kufanya hivi watu wanatumia uhuru huo vibaya ndio maana Magufuli aliona hili mapema.

Kwanini mnatukana huyu Mama kuna haja gani? Kwanini hatuwezi kuwasilisha hoja zetu bila matusi na udhalilishaji na kizuri ameshawaeleza kama kuna vitu hulizishwi navyo awamu yake ongea watavifanyia kazi, kama no kukosoa kosoa muhimu usivunje sheria na kuwe na mipaka kwa hivi mnavyomtukana nae akaamua kuchukua maamuzi ya awamu ya Magufuli kuhusu demokrasia mtasema amewaonea?
Matusi yapi katukanwa rais, sisi tunataka tume huru ya uchaguzi na katiba mpya, ww unatuletea huruma za kujipendekeza?! Kuna matusi makubwa kuliko kupora uchaguzi? Au kupora uchaguzi kwako ni sawa?
 
Habari wana-JF

Kama mnakumbukumbu vizuri wakati wa awamu ya Magufuli kipindi cha mwanzoni kulikuwa na uhuru mkubwa sana wa kuongea na hata vyama vya upinzani vikawa vinafanya shughuli za mikutano ya kisiasa unajua nini kilibadilika baadae?

Ni pale ambapo badala ya vyama vya upinzani vijikite kwenye hoja kushambulia awamu yake badala yake wakaanza kumtukana matusi mara wanamwita nyapara wa barabara n.k , walimzomea bungeni na kutoka nje wakati wa kuhutubia bunge, maneno yalikuwa mengi kwa upinzani kupinga uraisi wake.

Kupitia haya na mengine ndipo Magufuli kapiga marufuku mikutano ya kisiasa kwasababu badala ya watu wajikite kwenye hoja badala yake wanafanya personal attack na akaona kwa Tanzania wanaamini ili kuwe demokrasia ni pale tu kutakuwepo na uhuru wa kutukana na kudhalilishana ndio maana akaenda mbali zaidi.

Nikija kwenye huu uongozi wa Mama Samia ameona kuwa na uhuru wa kuongea na kuimairisha demokrasia ndio maana akaruhusu mikutano ya kisiasa, akawaachia wanasiasa wa upinzani walikuwa jela lengo ni kuifanya Tanzania wawe wamoja.Japo Mimi binafsi sio muumini wa hii awamu ila kwenye hili ni lakupongeza pamoja na kufanya hivi watu wanatumia uhuru huo vibaya ndio maana Magufuli aliona hili mapema.

Kwanini mnatukana huyu Mama kuna haja gani? Kwanini hatuwezi kuwasilisha hoja zetu bila matusi na udhalilishaji na kizuri ameshawaeleza kama kuna vitu hulizishwi navyo awamu yake ongea watavifanyia kazi, kama no kukosoa kosoa muhimu usivunje sheria na kuwe na mipaka kwa hivi mnavyomtukana nae akaamua kuchukua maamuzi ya awamu ya Magufuli kuhusu demokrasia mtasema amewaonea?
Kama alikuwa sahihi mbona kafa na udikteta wake.

UDIKTETA wanauweza walioingia madarakani kwa mtutu wa bunduki tu. Mfano akina Paul Kagame, Museveni au hawa miamba wa Burina Faso, Niger na Guinea.

Huyo mjinga wenu tulimpigia kura kidemokrasia halafu hazikutosha, ikabidi akina Januari na Kinana waited kura za Lowassa kupitia kituo cha Masaki. Baada ya hapo eti anataka awe DIKTETA??

Haiwezekani na ndiyo maana ALIKUFA
 
Habari wana-JF

Kama mnakumbukumbu vizuri wakati wa awamu ya Magufuli kipindi cha mwanzoni kulikuwa na uhuru mkubwa sana wa kuongea na hata vyama vya upinzani vikawa vinafanya shughuli za mikutano ya kisiasa unajua nini kilibadilika baadae?

Ni pale ambapo badala ya vyama vya upinzani vijikite kwenye hoja kushambulia awamu yake badala yake wakaanza kumtukana matusi mara wanamwita nyapara wa barabara n.k , walimzomea bungeni na kutoka nje wakati wa kuhutubia bunge, maneno yalikuwa mengi kwa upinzani kupinga uraisi wake.

Kupitia haya na mengine ndipo Magufuli kapiga marufuku mikutano ya kisiasa kwasababu badala ya watu wajikite kwenye hoja badala yake wanafanya personal attack na akaona kwa Tanzania wanaamini ili kuwe demokrasia ni pale tu kutakuwepo na uhuru wa kutukana na kudhalilishana ndio maana akaenda mbali zaidi.

Nikija kwenye huu uongozi wa Mama Samia ameona kuwa na uhuru wa kuongea na kuimairisha demokrasia ndio maana akaruhusu mikutano ya kisiasa, akawaachia wanasiasa wa upinzani walikuwa jela lengo ni kuifanya Tanzania wawe wamoja.Japo Mimi binafsi sio muumini wa hii awamu ila kwenye hili ni lakupongeza pamoja na kufanya hivi watu wanatumia uhuru huo vibaya ndio maana Magufuli aliona hili mapema.

Kwanini mnatukana huyu Mama kuna haja gani? Kwanini hatuwezi kuwasilisha hoja zetu bila matusi na udhalilishaji na kizuri ameshawaeleza kama kuna vitu hulizishwi navyo awamu yake ongea watavifanyia kazi, kama no kukosoa kosoa muhimu usivunje sheria na kuwe na mipaka kwa hivi mnavyomtukana nae akaamua kuchukua maamuzi ya awamu ya Magufuli kuhusu demokrasia mtasema amewaonea?
Ukiona mtu anatukana ujue mtu huyo ni chizi !
Maana uchizi sio mpaka mtu avue nguo zake !
Uchizi upo namna nyingi !
Hata kukosa adabu pia ni Uchizi !!
 
Matusi yapi katukanwa rais, sisi tunataka tume huru ya uchaguzi na katiba mpya, ww unatuletea huruma za kujipendekeza?! Kuna matusi makubwa kuliko kupora uchaguzi? Au kupora uchaguzi kwako ni sawa?
katibahaiwekichakula-jpeg.2965844
 
Kutokutwa na hatia na kutofanya kosa ni mambo tofauti kabisa,endelea kujifunza.
yupo jamaa hapa na mkewe walishikwa kipindi cha magufuli wamekuja kutoka utawala wa mama.
Kwa mujibu wa sheria hao sio wahalifu,ila kiuhalisia ni wahalifu.

weka tu ushahidi,kama unao.
mange anawaharibu sana nyinyi.

wewe na wenzako ndio mnaona taifa lilimshinda,watanzania wenye akili wanaona taifa lilipata mtu.na yeyote atakayesimama pale juu atalinganishwa na jamaa ktk maamuzi,uongozi wa nchi sio uadmin wa group la watsapp.

CAG ambaye aliamini hicho cheo ni haki yake ya kuzaliwa🤣🤣,mpaka kesho akihojiwa analalamika alionewa,huoni kuna shida kwa huyo CAG wako??
Pole sana mkuu, lakini kuna siku akili zitakukaa sawa na utajua kuwa bwana yule alikuwa hafai. Mtu ambaye hataki kukaguliwa ila wewe unamwita mzalendo wako, sasa wewe ni mtu wa aina gani! Lakini watu kama nyie kila sehemu mpo hamkwepeki.
 
Pole sana mkuu, lakini kuna siku akili zitakukaa sawa na utajua kuwa bwana yule alikuwa hafai. Mtu ambaye hataki kukaguliwa ila wewe unamwita mzalendo wako, sasa wewe ni mtu wa aina gani! Lakini watu kama nyie kila sehemu mpo hamkwepeki.
Hataki kukaguliwa???ripoti asadi aliitolea wapi??

Halafu swala la ubora wake litapimwa na viongozi wanaomfatia,kama wataendelea kuwa kama huyu mama yako mdogo,kazi ipo.
 
Hataki kukaguliwa???ripoti asadi aliitolea wapi??

Halafu swala la ubora wake litapimwa na viongozi wanaomfatia,kama wataendelea kuwa kama huyu mama yako mdogo,kazi ipo.
So sababu ya kumtoa ilikuwa ipi? Unakumbuka swali aliloulizwa Assad? Kwamba nasikia kina pesa zimeibiwa😂😂😂😂
Wakati akijua kabisa siyo kazi yake kusema kama zimeibiwa au lah. Ndege tu hakutaka kukaguliwa. Kifupi alikuwa hataki watu walionyooka ndiyo maana watu wake walikuwa watu kama Bashite, Saambaya,Gumbo na yule ambaye mpaka alivua akili na kujiita kuwa katoka jalalani
 
Kutokutwa na hatia na kutofanya kosa ni mambo tofauti kabisa,endelea kujifunza.
yupo jamaa hapa na mkewe walishikwa kipindi cha magufuli wamekuja kutoka utawala wa mama.
Kwa mujibu wa sheria hao sio wahalifu,ila kiuhalisia ni wahalifu.

weka tu ushahidi,kama unao.
mange anawaharibu sana nyinyi.

wewe na wenzako ndio mnaona taifa lilimshinda,watanzania wenye akili wanaona taifa lilipata mtu.na yeyote atakayesimama pale juu atalinganishwa na jamaa ktk maamuzi,uongozi wa nchi sio uadmin wa group la watsapp.

CAG ambaye aliamini hicho cheo ni haki yake ya kuzaliwa🤣🤣,mpaka kesho akihojiwa analalamika alionewa,huoni kuna shida kwa huyo CAG wako??
Ukiona reference yako ni Mange basi huna tofauti na wale mnao jiita wanyonge
 
Back
Top Bottom